Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Mwanamke anaeongea mzuri huyo kelele ni sign ya kutaka uroda ukitaka anyamaze mpe tango akisha cheua atatulia tuli na hautasikia kelele zozote sasa unavyomkimbia ndio unamzidishia upwiru akakikutana na mafisi umekwisha
Eeeehhh sio mbaya mafisi wakila makombo
 
Oya jiheshimu bro 🤣🤣🤣
Na tutawanyanyasa mpk mlale bar kabisa msirudi
Hayo manyanyaso yule mrembo cha upole hana, naenjoy wewe,na wala sio domokaya .
Imagine akiongea kama anataka kulia.


Huyo shemeji asije kukimbia ,please acha manyanyaso,ukirudishwa kwa talaka nitakuongezea makofi.
 
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wake zao.
Mimi nitofauti kidogo, nikitoka job lazima nifike home kwanza niwasalimie watoto alaf ndo misele ianze. Jitahidi sana ktk maisha yako watoto wakuone mara kwa mara itawasaidia na kuwa guide kwa kiasi fulani wasiwe wakorofi/watundu sana sbb wanajua daddy is always around. Lkn pia itakupunguzia ww muda mwingi wa kukaa bar meaning utapunguza matumizi ya pesa na michepuko kwa kiasi fulani na itakufanya mara nyingi uwe bar za jirani na home sbb ni vigumu kwenda mbali kutokea home jioni/usiku.
 
Kuna wanawake wanakuwa wapole na wakimya sana...kuongea wanajifunza wakishakuolewa kwa sababu ya maudhi ya wanaume zao. Sio kila mwanamke anampigia mwanamme makelele kwa sababu anapenda, wanaume wengine mmezidi maudhi, mnawadharau wake zenu, kwa sababu tu mtu anatoka kutafuta mkate basi anakuwa ana kiburi utadhani riziki anatoa yeye na sio Mungu.
Na kwa taarifa yenu hayo mnayoyaita makelele ndio yanayotusaidia kuwa wavumilivu, wakati mwengine wewe mwanamme maudlin unayomfanyia mkeo kama angekufanyia wewe basi mwaka tu hutoboi tunakuzika.
Badilikeni, ukisema unaenda Bar kumkimbia mkeo na makelele yake. jua pia unawakimbia watt wako, so bond inakuwa hamna, we unakuwa mwanamme kutafuta tu lkn ile bond inayotakiwa na family yako inaondoka. Baadae mnakuja kulalamika wtt wenu hawawapendi licha ya kuwalisha na kuwavisha na kuwasomesha...wtt wanawapenda zaidi mama zao kwa sababu ndio wanaowaona muda wote na ndio wanaoona wana msaada zaidi.

Guys, you are not saints. Badilikeni na nyie
 
Mwakani utakuja uwashukuru mabamedi na wauza nyabe wote Kwa kukupunguzia mzigo wa shahawa ulizopaswa kumwaga nyumbani kwako lakini Huwa unapewa Kwa masimango.
Tuache utani wanasaidia mno!
Hivi hamna namna ya kuwepo kwa siku yao ?
 
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wake zao.
Sio kupita bar peke yake, kuna wale kama mimi, ambao kila baada ya muda, tunatengeneza safari ya kwenda mkoani au nnje ya nchi.

Hili jambo pia kuna siku nalo utalielewa. Ni swala la muda tu.
 
Pitia bar ila usisahau kumgonga mkeo kisawasawa mpaka ile kitu inampa kisirani aimwage yote
 
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wake zao.
Umechelewa sana kufahamu hilo, sikushangai kwasababu namimi pia nilichelewa kujua hilo.

Ukitaka kuvunja ndoa yako au kufa na stress wewe jidai kiherehere kuwahi nyumbani jioni au kushinda na Mkeo weekends zote, bora uchukue wanao kwa outings tu

Wanawake wengi wanaongea sanaa na wana kero nyingi sana
 
Back
Top Bottom