Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Bond inakua kubwa zaidi between people pale ambapo hawaonani kwa muda mrefu.
Mimi naondoka saa kumi na moja narudi saa sita kasoro.
Nkifika mda huo mwenzangu alishalala usingizi ukapungua, ataamka, tutapiga stori mbili tatu, ntazima hadi next day.
Lakini at leasy once per week nawahi au nabaki kabisa ili kumpa muda pia wa kuenjoy nae.
Nmenotice hata mwanangu yuko karibu zaidi na mimi kuliko mama yake. Nlivoulizia wakongwe wakasema lazma iwe hvo coz anakua kakumiss kuliko mama yake alienae daily.
Umesema vyema , mkinusana kila dakika inasababisha mnachokana
 
Hata wao hawapendi mwanaume mshinda nyumbani.
We ukitoka kazini tu upo home, huna washkaji?? Huna marafiki?

Kukaa sana home waachie wanawake, Me jaribu kua unatoka toka umpe uhuru mkeo kidogo. Sio unabaaana hadi penati.
Atakusuprise lini, lini utakuta kaandaa manjonjo kama muda wote macho kodo unaulinda mpododu wake.
 
Mi nilipata mwanamke mwest Africa nilikoma.
Kurudi home unaona adhabu.
Nikikaa bar ili kupoteza muda nirudi kalala.
Polisi wanakudandia ukukae nao kituoni.
Miaka mi5,aisee siku ya kuondoka niliondoka na pajama na malapa sikurudi tena
 
Saa nyingine inawezekana asiwe hata anaongea sana (wapo wanawake wakimya japo wachache).
Ila ukweli ni kwamba mwanamke ukikaa nae muda mrefu utamchoka tu hata kama mzuri vipi... unakuwa hata humtamani tamani kama zamani lakini haimaaniishi humpendi.
Sometimes tunaenda bar ili kuvuta charge kwa kuchungulia mapaja.. hapo ukirudi om baadae unakua tayari excited.. inabaki kumalizia tu.
 
Siku hizi Ndoa imekuwa taasisi ngumu sana kwa mwanaume,hasa katika ulimwengu wa Leo ambao mwanamke anapiganiwa ili awe sawa na mwanaume.

Mwanamke amevunja uke msingi wa neno takatifu kutoka kwa Mungu la "enyi wanawake waheshimuni waume zenu".

Mwanamke ameacha kuwa submissive kwa mumewe,ndoa imegeuka ndoano.
Wakibisha waangalie mfano wa Christina Shusho..japo kwa namna flan kamsaidia mumewe asimpotezee muda,kwamba kila mtu achukue njia yake tutafute pesa.
 
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wake zao.
Mwanamke anaeongea mzuri huyo kelele ni sign ya kutaka uroda ukitaka anyamaze mpe tango akisha cheua atatulia tuli na hautasikia kelele zozote sasa unavyomkimbia ndio unamzidishia upwiru akakikutana na mafisi umekwisha
 
Back
Top Bottom