Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 867
- 847
Moja kwa Moja kwenye mada rejea headline hapo juu.
Kuna raia wanaweka pesa ndani kiwe kiasi kikubwa au kidogo inabidi serikali itengeneze kifungu cha kuweza kuwa bana hawa watu kwasababu wanapunguza mzunguko wa fedha mitaani.
Ndiyo maana hali inaonekana kuwa ngumu kitaani, tukirejea pale Mwanza Shinyanga guest yule Mzee alivoungua na pesa zake ndani kwenye ndoo.
MKALITAZAME NA HILI PIA
Kuna raia wanaweka pesa ndani kiwe kiasi kikubwa au kidogo inabidi serikali itengeneze kifungu cha kuweza kuwa bana hawa watu kwasababu wanapunguza mzunguko wa fedha mitaani.
Ndiyo maana hali inaonekana kuwa ngumu kitaani, tukirejea pale Mwanza Shinyanga guest yule Mzee alivoungua na pesa zake ndani kwenye ndoo.
MKALITAZAME NA HILI PIA