Wanaotunza pesa ndani wachukuliwe hatua za kisheria

Wanaotunza pesa ndani wachukuliwe hatua za kisheria

Na nikwann mtu umpangie pakuweka pexa wakat namba yakuitafuta pexa hukumfundixha. Hiyo haijakaa poa, pexa weka popote unapotaka ww hatamakabulin xawatu xabab mwenye kuzitumia ni ww na mwenye kuzitafuta n ww
 
Moja kwa Moja kwenye mada rejea headline hapo juu.

Kuna raia wanaweka pesa ndani kiwe kiasi kikubwa au kidogo inabidi serikali itengeneze kifungu cha kuweza kuwa bana hawa watu kwasababu wanapunguza mzunguko wa fedha mitaani.

Ndiyo maana hali inaonekana kuwa ngumu kitaani, tukirejea pale Mwanza Shinyanga guest yule Mzee alivoungua na pesa zake ndani kwenye ndoo.

MKALITAZAME NA HILI PIA
tafuta zako mkuu
 
Moja kwa Moja kwenye mada rejea headline hapo juu.

Kuna raia wanaweka pesa ndani kiwe kiasi kikubwa au kidogo inabidi serikali itengeneze kifungu cha kuweza kuwa bana hawa watu kwasababu wanapunguza mzunguko wa fedha mitaani.

Ndiyo maana hali inaonekana kuwa ngumu kitaani, tukirejea pale Mwanza Shinyanga guest yule Mzee alivoungua na pesa zake ndani kwenye ndoo.

MKALITAZAME NA HILI PIA
Ukiweka pesa benk utakutana na haya:
-Majato yasiyokuwa na idadi
-kuambiwa muhujumu uchumi pesa ikiongezeka kidogo tu.
-Kuchunguzwa na vyombo vya usalama
-Kupanga fireni kwenye pesa yako.
-e.tc,..
NB: Pesa ikishaingia bank siyo yako wanaweza iblock mda wowote.
 
Back
Top Bottom