#COVID19 Wanaouhubiri chanjo kumbe hawajachanjwa

#COVID19 Wanaouhubiri chanjo kumbe hawajachanjwa

Kivumishi Kielezi

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2019
Posts
1,028
Reaction score
2,451
Tangu zoezi la haya machanjo lianze, wajuvi tuliona kuna usanii mwingi na maigizo ndani yake.

Ukiachana na kituko cha wale manesi bandia walioshika sindano kama penseli tena bila gloves na tahadhari zingine za kiafya, leo hii kumezuka kitimbi kingine.

Mmojawapo wa 'wahubiri wa chanjo', Daktari Sospeter Bulugu, leo hii ameonekana akipepesuka na kutaka kuanguka akiwa kwenye kongamano la kuhubiri chanjo kwenye moja ya video iliyorekodiwa.

Baadae ikasikika sauti ya Waziri Dorothy Gwajima akitaka tukio lile lisirushwe na vyombo vya habari kwa sababu eti 'litaipaka tope' chanjo.

Baada ya mabishano ya hapa na pale, wengine wakisema kwamba Daktari Sospeter alitaka kuanguka kutokana na madhara ya chanjo, Wizara ya Afya imekuja na kanusho kwamba Daktari Sospeter hajachanjwa na hajawahi kuchanjwa.

Lakini cha ajabu Daktari huyu alikuwa kwenye kongamano la kuhubiri watu wakadungwe chanjo.

Na inawezekanaje watu wanaowashawishi watu wakadungwe michanjo ya Covid wao wenyewe hawataki kudungwa?

IMG-20210813-WA0026.jpg
 
Tangu zoezi la haya machanjo lianze, wajuvi tuliona kuna usanii mwingi na maigizo ndani yake.

Ukiachana na kituko cha wale manesi bandia walioshika sindano kama penseli tena bila gloves na tahadhari zingine za kiafya, leo hii kumezuka kitimbi kingine.

Mmojawapo wa 'wahubiri wa chanjo', Daktari Sospeter Bulugu, leo hii ameonekana akipepesuka na kutaka kuanguka akiwa kwenye kongamano la kuhubiri chanjo kwenye moja ya video iliyorekodiwa.

Baadae ikasikika sauti ya Waziri Dorothy Gwajima akitaka tukio lile lisirushwe na vyombo vya habari kwa sababu eti 'litaipaka tope' chanjo.

Baada ya mabishano ya hapa na pale, wengine wakisema kwamba Daktari Sospeter alitaka kuanguka kutokana na madhara ya chanjo, Wizara ya Afya imekuja na kanusho kwamba Daktari Sospeter hajachanjwa na hajawahi kuchanjwa.

Lakini cha ajabu Daktari huyu alikuwa kwenye kongamano la kuhubiri watu wakadungwe chanjo.

Na inawezekanaje watu wanaowashawishi watu wakadungwe michanjo ya Covid wao wenyewe hawataki kudungwa?

View attachment 1891039
WEWE NI GENIUS...
NAMI NIMEMSIKIA UYO DOGO AKISEMA YEYE HAJACHANJWA ILA SUKARI TU MWILINI NDIYO ILISHUKA, DAH NIMEJISIKIA HASIRA SANA, INAKUAJE SIKU ZOTE TANGU YULE BIBI APRETEND AKICHANJA AMBAYE KIUKWELI HAKUJACHANJA MPAKA IYO SIJUI JANA KTK ILO KONGAMANO LIKIFANYIKA ZIPITE BADO UYU ANAYEPIGIA CHAPUO HII CHANJO UKU YEYE AKIKIRI KUWA HAJACHANJWA???.
NAZIDI KUAMINI KUWA ATA MADAM AMESHIRIKI KUTUUZA ILI YEYE APIGE ELA ZA WAZUNGU
 
Paragraph ya moja.
Alikuwa ameenda kupata elimu ya COVID-19 au ndo alikuwa akitoa elimu ya COVID-19?
Mnapo jitahidi kudanganya umma,mkumbuke jamaa alienda kufanya nini?.
Kuna sehemu pia huku Songe,madaktari wanachanja watu ila wao ukiwahoji wanasema hawatathubutu.
 
Tangu zoezi la haya machanjo lianze, wajuvi tuliona kuna usanii mwingi na maigizo ndani yake.

Ukiachana na kituko cha wale manesi bandia walioshika sindano kama penseli tena bila gloves na tahadhari zingine za kiafya, leo hii kumezuka kitimbi kingine.

Mmojawapo wa 'wahubiri wa chanjo', Daktari Sospeter Bulugu, leo hii ameonekana akipepesuka na kutaka kuanguka akiwa kwenye kongamano la kuhubiri chanjo kwenye moja ya video iliyorekodiwa.

Baadae ikasikika sauti ya Waziri Dorothy Gwajima akitaka tukio lile lisirushwe na vyombo vya habari kwa sababu eti 'litaipaka tope' chanjo.

Baada ya mabishano ya hapa na pale, wengine wakisema kwamba Daktari Sospeter alitaka kuanguka kutokana na madhara ya chanjo, Wizara ya Afya imekuja na kanusho kwamba Daktari Sospeter hajachanjwa na hajawahi kuchanjwa.

Lakini cha ajabu Daktari huyu alikuwa kwenye kongamano la kuhubiri watu wakadungwe chanjo.

Na inawezekanaje watu wanaowashawishi watu wakadungwe michanjo ya Covid wao wenyewe hawataki kudungwa?

View attachment 1891039
Kuna uwezekano amechanja ila kukubali kwamba amechanjwa.... Ina maana hta kma ataugua Malaria au kisukari kishuke/kipande then watu wataamini ni chanjo tu imemdhuru na sio kingine. So kukiri amechanjwa kweli ita jeopardise operation nzima.

Mbona Maalim au JPM hawakuchanjwa na walifariki ''ghafla'' ila leo hii akifariki Mbowe au Mpango utaskia "chanjo zimejibu".

WaTanzania ni watu wasio wadadisi so kuchanganua ni ngumu sana tofauti na Kenya au Uganda. Tunapenda sana umbea so whether amechanjwa or not haina maana sukari inapotea. No wonder imesikika akipewa pipi na soda hapo kwa clip.

Tuache misinformation zisizo kuwa na tija na kutishana. Unaogopa chanjo kuliko hata corona yenyewe?? Mionzi tu ya smartphone inatuua taratibu lakini unakuta jitu limeshika hyo hyo smartphone linapovuka mabeberu wanataka kutuua!!

Funny
 
Kuna uwezekano amechanja ila kukubali kwamba amechanjwa.... Ina maana hta kma ataugua Malaria au kisukari kishuke/kipande then watu wataamini ni chanjo tu imemdhuru na sio kingine. So kukiri amechanjwa kweli ita jeopardise operation nzima.

Mbona Maalim au JPM hawakuchanjwa na walifariki ''ghafla'' ila leo hii akifariki Mbowe au Mpango utaskia "chanjo zimejibu".

WaTanzania ni watu wasio wadadisi so kuchanganua ni ngumu sana tofauti na Kenya au Uganda. Tunapenda sana umbea so whether amechanjwa or not haina maana sukari inapotea. No wonder imesikika akipewa pipi na soda hapo kwa clip.

Tuache misinformation zisizo kuwa na tija na kutishana. Unaogopa chanjo kuliko hata corona yenyewe?? Mionzi tu ya smartphone inatuua taratibu lakini unakuta jitu limeshika hyo hyo smartphone linapovuka mabeberu wanataka kutuua!!

Funny
Umeongea vizuri, ila pia sio kila anaekufa sasa hivi anakufa kwa corona, maana magonjwa mengine bado hayajaacha kuua.
Hata ruge na mengi wangekufa Sasa hivi mngesema ni corona
 
Tangu zoezi la haya machanjo lianze, wajuvi tuliona kuna usanii mwingi na maigizo ndani yake.

Ukiachana na kituko cha wale manesi bandia walioshika sindano kama penseli tena bila gloves na tahadhari zingine za kiafya, leo hii kumezuka kitimbi kingine.

Mmojawapo wa 'wahubiri wa chanjo', Daktari Sospeter Bulugu, leo hii ameonekana akipepesuka na kutaka kuanguka akiwa kwenye kongamano la kuhubiri chanjo kwenye moja ya video iliyorekodiwa.

Baadae ikasikika sauti ya Waziri Dorothy Gwajima akitaka tukio lile lisirushwe na vyombo vya habari kwa sababu eti 'litaipaka tope' chanjo.

Baada ya mabishano ya hapa na pale, wengine wakisema kwamba Daktari Sospeter alitaka kuanguka kutokana na madhara ya chanjo, Wizara ya Afya imekuja na kanusho kwamba Daktari Sospeter hajachanjwa na hajawahi kuchanjwa.

Lakini cha ajabu Daktari huyu alikuwa kwenye kongamano la kuhubiri watu wakadungwe chanjo.

Na inawezekanaje watu wanaowashawishi watu wakadungwe michanjo ya Covid wao wenyewe hawataki kudungwa?

View attachment 1891039
 
Hapo ndio utajua kekundu kekundu😜!
Pata potea na wajinga ndio waliwao😜😂!
Nendeni kadungwenj ninyi panya 1000!
Tangu zoezi la haya machanjo lianze, wajuvi tuliona kuna usanii mwingi na maigizo ndani yake.

Ukiachana na kituko cha wale manesi bandia walioshika sindano kama penseli tena bila gloves na tahadhari zingine za kiafya, leo hii kumezuka kitimbi kingine.

Mmojawapo wa 'wahubiri wa chanjo', Daktari Sospeter Bulugu, leo hii ameonekana akipepesuka na kutaka kuanguka akiwa kwenye kongamano la kuhubiri chanjo kwenye moja ya video iliyorekodiwa.

Baadae ikasikika sauti ya Waziri Dorothy Gwajima akitaka tukio lile lisirushwe na vyombo vya habari kwa sababu eti 'litaipaka tope' chanjo.

Baada ya mabishano ya hapa na pale, wengine wakisema kwamba Daktari Sospeter alitaka kuanguka kutokana na madhara ya chanjo, Wizara ya Afya imekuja na kanusho kwamba Daktari Sospeter hajachanjwa na hajawahi kuchanjwa.

Lakini cha ajabu Daktari huyu alikuwa kwenye kongamano la kuhubiri watu wakadungwe chanjo.

Na inawezekanaje watu wanaowashawishi watu wakadungwe michanjo ya Covid wao wenyewe hawataki kudungwa?

View attachment 1891039
 
vipi ule mtambo wa Nyungu pale Muhimbili bado upo na unafanyakazi?
 
Back
Top Bottom