Wewe huna akili ndio sababu hoja za kupinga hizo chanjo unadhan ni hoja za Kitanzania, wengine wanamsingizia Hayati JPM
Kwa kifupi kama huelewi chanjo hizi zinapingwa kwa efficiency yake,
Huko Marekani watu wamegoma kuchanja hadi wanahongwa dola mia mia lakin bado hawataki, hizo chanjo unazozitaja zilipingwa kama hii?
Watu wanechanja, wamepata Corona, wako Hospital kwny machine za upumuaji
Takwimu za UK za mwezi uliopita zilisema 52% ya Admitted patients wa covid ni wale waliokamilisha chanjo, kama una cha kutetea anzia hapo badala ya kujitungia hoja na kujibu
Marekan watu kibao wapo hospital wamelazwa na walishakamilisha chanjo na ndio sababu inayofanya watu kugoma
Kuhusu hiyo hoja yako ya kusema kama kutuua wangetuua zamani kwny chanjo tulizochukua, jibu rahisi ni kuwa akili yako ni ndogo ndio sababu hujiulizi Wimbi la Mabinti wadogo siku hizi kuwa na matatizo ya uzazi hadi kina Dr Mwaka kupata umaarufu, kasi ya kuongezeka matatizo ya figo, liver na kansa zisizo na idadi chanzo chake nini? Au tukisema wanatuua unadhan unaanguka pale pale baada ya kuchanja?
kuna watu mna akili chafu sana...hao freemasons wakuue laeo ili hali hospitalini unakwenda kila siku dawa zote unazotumia wanatengeneza wao. wangetaka kukuua wangekuua tangu hujazaliwa, maana mama yako alipotungwa amimba alipigwa chanjo kibao ili ukue tumboni na uzaliwe ukiwa na fya.
na ulipozaliwa tu ukapigwa chanjo ya dtp-polio, pepo punda, surua etc.....hizo zote zilitengenezwa na nani? acha kuamini videao clips za TicTok!
by the way nani alikwambia kuwa condom ni chanjo na ukimwi?