#COVID19 Wanaouhubiri chanjo kumbe hawajachanjwa

#COVID19 Wanaouhubiri chanjo kumbe hawajachanjwa

Haya mkuu, kwanza hata hivyo hata ukipata madhara yenyewe huwezi kushtaki popote hivyo sio muhimu hayo malalamiko.
Hata kwenya michezo au mieleka ukitoka kwenye operation au homa na kuingia uwanjani unapewa fomu ya consent ujaze ili litakalotokea taasisi husika isiwe liable. Na kuna wachezaji wamesign sana tu recently Eriksen amepona kwenye tatizo la moyo kabla ya kurudi uwanjani atatakiwa kusign hyo fomu otherwise hatoruhusiwa kucheza tena.

Mie binafsi nimewahi pewa fomu kabla ya operation ya koo... Ilikua high risk so ilipaswa nijaze hiyo fomu. Hofu zangu zikafanya nikimbie but kma ninge sign ina maana unless uzembe utokee, ningekufa sababu ya complication za operation then sina wa kumlaumu.

Wabongo tunakosa exposure ndio maana tunakuwa watu wa lawama.... Hizo consent form zipo kila sekta.
 
Yani mtoa elimu anatoa elimu uku yeye ajachanjwa kweli? mbona alikuwa anaongea kama amechanjwa?
Huyu lazima alichanjwa sema wanaogopa kukiri kwakuwa itahusishwa na corona... bora wizara ingenyamaza maana watu watajua haya ni maigizo na watu hawachanjwi... inakuwaje mchukue mtoa elimu ambaye ajachanjwa?
Hata ile panic tu wenyewe ni sababu tosha ya kuwafanya media waweze kusambaza hii kitu na kuleta disinformation...Kusema ukweli ukiamua ku deceive kuna sehemu utakosea. Ningeshauri watoe elimu sahihi ya pande zote na yenye ukweli kisha watu watapata confidence na wapo ambao hawabanwi na imani watachanja tu...Tatizo wanataka kutumia deception kutoa chanjo bila kujua hiyo pia inaondoa confidence kwa hata wale wachache ambao wapo in between
 
Tangu zoezi la haya machanjo lianze, wajuvi tuliona kuna usanii mwingi na maigizo ndani yake.

Ukiachana na kituko cha wale manesi bandia walioshika sindano kama penseli tena bila gloves na tahadhari zingine za kiafya, leo hii kumezuka kitimbi kingine.

Mmojawapo wa 'wahubiri wa chanjo', Daktari Sospeter Bulugu, leo hii ameonekana akipepesuka na kutaka kuanguka akiwa kwenye kongamano la kuhubiri chanjo kwenye moja ya video iliyorekodiwa.

Baadae ikasikika sauti ya Waziri Dorothy Gwajima akitaka tukio lile lisirushwe na vyombo vya habari kwa sababu eti 'litaipaka tope' chanjo.

Baada ya mabishano ya hapa na pale, wengine wakisema kwamba Daktari Sospeter alitaka kuanguka kutokana na madhara ya chanjo, Wizara ya Afya imekuja na kanusho kwamba Daktari Sospeter hajachanjwa na hajawahi kuchanjwa.

Lakini cha ajabu Daktari huyu alikuwa kwenye kongamano la kuhubiri watu wakadungwe chanjo.

Na inawezekanaje watu wanaowashawishi watu wakadungwe michanjo ya Covid wao wenyewe hawataki kudungwa?

View attachment 1891039
Can You imagine!
 
Sio kila anayepinga chanjo anatumia hoja ya sijui wazungu wanataka kutuuwa inaonesha wewe umeishia kumsikiliza Gwajima tu hujui kama kuna hadi madaktari Maprofesa wenye kupinga chanjo kwa kutumia hoja za kisayansi.
Katika madaktar mia mmoja ndiyo katoa kasoro na kasoro zenyewe hazielewek ndo unataka kusema?
 
Ndio maana hajaweka sumu kwenye panado akaamua aiweke kwenye machanjo ya corona.

Angeweka sumu kwenye panado ungekuja hapa pia kuuliza kwanini ameweka sumu kwenye panado na sio kwenye machanjo ya corona!
Ana sababu gan ya kutuua?
 
Acha matusi jenga hoja bwana mdogo
hakuna tusi hapo...wengi mnaopinga chanjo mnadhani hamjawahi kuchanjwa. ndiyo sababu tunawaambia mwende kwa wazazi wenu mkawaulize mlipozaliwa mlichnjwa chanjo gani ili mjue chanjo si kitu kipya
 
hakuna tusi hapo...wengi mnaopinga chanjo mnadhani hamjawahi kuchanjwa. ndiyo sababu tunawaambia mwende kwa wazazi wenu mkawaulize mlipozaliwa mlichnjwa chanjo gani ili mjue chanjo si kitu kipya
Kwani ishu ni chanjo kama chanjo au ni chanjo hizi za corona?
 
Back
Top Bottom