#COVID19 Wanaouhubiri chanjo kumbe hawajachanjwa

#COVID19 Wanaouhubiri chanjo kumbe hawajachanjwa

Wapi nimepinga kuwa sio madhara ya chanjo? Nachosema ni kwamba wangekiri kachanjwa basi hta kma ana kifafa wangesema ni madhara ya chanjo na operation ingefia hapo.

The thing is waliokufa au kupata madhara ya chanjo ni 0.003 ya wote waliochanjwa duniani. So sio kweli kwamba chanjo ina madhara unless ziwe long term.

Kingine JPM alipinga chanjo lakini akatumia kifaa cha kusaidia kuboost moyo ssa kma hamuamini mzungu ila Mungu hiyo defibrillator alitumia ya nini?? Anyway I confirmed from credible sources kuwa kilichomuondoa ni Covid tena variant ya sauzi!!
Nachosema ni kwamba ninyi mnahusisha vifo vya watu na covid pasina kuwa na ushahidi wowote ilimradi tu Kwa sababu kuna covid basi mnaamua tu kuhusisha vifo vya watu na huo ugonjwa kwa sababu zenu binafsi na ndio nikatoa mfano wa Magufuli, mnahusisha kifo chake na corona tena kwa kulazimisha pasina ushahidi wowote na kujifanya wenyewe mmezinyaka taarifa nyeti kama hizo na cha kushangaza ndio nyie nyie mlikuwa mnasema mmepata taarifa kuwa Magufuli kachanjwa kisirisiri ndio maana haogopi corona hivyo anawatoa wenzie kafara.

Sasa kwenye issue ya chanjo nyinyi mnapinga kuhusishwa chanjo na matatizo wanayopata watu ambao walichanjwa kama ambavyo ninyi mnavyohusisha vifo vya watu na corona, yani mtu aliyechanjwa akipata tatizo mtaanza kujitetea kuwa mara chanjo haihusiani hilo tatizo mara sijui huyo mtu alikuwa na matatizo yake mengine hivyo sio chanjo iliyosababisha hivyo, kwa kifupi yamewekwa mazingira ya kukwepa hayo malalamiko ya madhara ya chanjo halafu mnajisifu kwa uchache wa malamiko ya madhara ya chanjo. Sasa kama hilo tukio mwenyewe unasema kuwa inawezamekana alichanjwa ila wameamua kuficha ili isiharibu zoezi la chanjo, sasa katika mazingira kama hayo unategemea kweli tutajua madhara wanayopata watu kwa sababu ya chanjo?
 
Yani mtoa elimu anatoa elimu uku yeye ajachanjwa kweli? mbona alikuwa anaongea kama amechanjwa?
Huyu lazima alichanjwa sema wanaogopa kukiri kwakuwa itahusishwa na corona... bora wizara ingenyamaza maana watu watajua haya ni maigizo na watu hawachanjwi... inakuwaje mchukue mtoa elimu ambaye ajachanjwa?
 
Kelele zote hadi leo wamechanja watu laki na 60 tu wakati chanjo zililetwa 2m, tena hiyo lali na 60 inajumuisha waliofoji kuchanja

Hizo chanjo 11 million wanazoleta labda chanjo itajumuisha na miti na mifugo ili kuridhisha mabeberu

Hii nchi ya kizazi cha Wachamungu italindwa tu na mola dhidi ya hila na husda zote
 
Kelele zote hadi leo wamechanja watu laki na 60 tu wakati chanjo zililetwa 2m, tena hiyo lali na 60 inajumuisha waliofoji kuchanja

Hizo chanjo 11 million wanazoleta labda chanjo itajumuisha na miti na mifugo ili kuridhisha mabeberu

Hii nchi ya kizazi cha Wachamungu italindwa tu na mola dhidi ya hila na husda zote
Nachosema ni kwamba ninyi mnahusisha vifo vya watu na covid pasina kuwa na ushahidi wowote ilimradi tu Kwa sababu kuna covid basi mnaamua tu kuhusisha vifo vya watu na huo ugonjwa kwa sababu zenu binafsi na ndio nikatoa mfano wa Magufuli, mnahusisha kifo chake na corona tena kwa kulazimisha pasina ushahidi wowote na kujifanya wenyewe mmezinyaka taarifa nyeti kama hizo na cha kushangaza ndio nyie nyie mlikuwa mnasema mmepata taarifa kuwa Magufuli kachanjwa kisirisiri ndio maana haogopi corona hivyo anawatoa wenzie kafara.

Sasa kwenye issue ya chanjo nyinyi mnapinga kuhusishwa chanjo na matatizo wanayopata watu ambao walichanjwa kama ambavyo ninyi mnavyohusisha vifo vya watu na corona, yani mtu aliyechanjwa akipata tatizo mtaanza kujitetea kuwa mara chanjo haihusiani hilo tatizo mara sijui huyo mtu alikuwa na matatizo yake mengine hivyo sio chanjo iliyosababisha hivyo, kwa kifupi yamewekwa mazingira ya kukwepa hayo malalamiko ya madhara ya chanjo halafu mnajisifu kwa uchache wa malamiko ya madhara ya chanjo. Sasa kama hilo tukio mwenyewe unasema kuwa inawezamekana alichanjwa ila wameamua kuficha ili isiharibu zoezi la chanjo, sasa katika mazingira kama hayo unategemea kweli tutajua madhara wanayopata watu kwa sababu ya chanjo?
endelea kujidanganya. hata ukimwi miaka ya mwanzoni mwa 1980 wajinga kama wewe walidhani ni ugonjwa wa wahaya tu uko mkoa wa kagera tu na haupo sehemu zingine tanzania.
 
Je hawa wanaotuminisha chanjo ni salama na wakadiriki kucheza futuhi kumchoma mama ili watu tuamini ni salama
Halafu cha ajabu wao wenyewe hawajachanja?
Yule Nesi nashauri apotezwe haraka sana,maana aliigiza sana kwenye eti kukchanja Malkia wa nyuki.

Yaani alishindwa hata kuvuta kikonyo cha sindano kidogo ahahahah hii nchi hii,hapana
 
Kwa hiyo wote ambao hawakuvaa Condom miaka hiyo wakipiga michepuko walikufa kwa Ukimwi?

Hizi ni chanjo za kukupa matumaini tu lakin kama Corona inakubeba kama kawaida na wenywe wamekiri na watu wamelazwa muda huu huko huko zilipoanzia chanjo

Umepewa kichwa kufikiri sio kuwa kapu la kuhifadhia propaganda za ma Freemasons
endelea kujidanganya. hata ukimwi miaka ya mwanzoni mwa 1980 wajinga kama wewe walidhani ni ugonjwa wa wahaya tu uko mkoa wa kagera tu na haupo sehemu zingine tanzania.
 
Mk
Kuna uwezekano amechanja ila kukubali kwamba amechanjwa.... Ina maana hta kma ataugua Malaria au kisukari kishuke/kipande then watu wataamini ni chanjo tu imemdhuru na sio kingine. So kukiri amechanjwa kweli ita jeopardise operation nzima.

Mbona Maalim au JPM hawakuchanjwa na walifariki ''ghafla'' ila leo hii akifariki Mbowe au Mpango utaskia "chanjo zimejibu".

WaTanzania ni watu wasio wadadisi so kuchanganua ni ngumu sana tofauti na Kenya au Uganda. Tunapenda sana umbea so whether amechanjwa or not haina maana sukari inapotea. No wonder imesikika akipewa pipi na soda hapo kwa clip.

Tuache misinformation zisizo kuwa na tija na kutishana. Unaogopa chanjo kuliko hata corona yenyewe?? Mionzi tu ya smartphone inatuua taratibu lakini unakuta jitu limeshika hyo hyo smartphone linapovuka mabeberu wanataka kutuua!!

Funny
Mkuu elimu ya kudhibiti Covid-19 ipo,mmoja wapo ni chanjo.
Asiyetaka chanjo na anaetaka chanjo wote wana uhuru wa kuamua,ila sina uhakika kwa siku za mbeleni kama msafiri kwenda baadhi ya nchi kama atakubarika bila chanjo.
Kwa sasa chanjo ni adimu,lakini zikipatikana chanjo za kumwaga sijui kama huo uhuru wa kutochanja utakuwepo.
 
Paragraph ya moja.
Alikuwa ameenda kupata elimu ya COVID-19 au ndo alikuwa akitoa elimu ya COVID-19?
Mnapo jitahidi kudanganya umma,mkumbuke jamaa alienda kufanya nini?.
Kuna sehemu pia huku Songe,madaktari wanachanja watu ila wao ukiwahoji wanasema hawatathubutu.
Wazazi wangu wote, baba daktari,mama nesi,rfk angu daktari wamesema hawachanji!
Mi ndo nijifanye nachanja?
#mi na familia yangu hatuchanji,tuko upande wa laa in Gwajima voice!#

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Kuna uwezekano amechanja ila kukubali kwamba amechanjwa.... Ina maana hta kma ataugua Malaria au kisukari kishuke/kipande then watu wataamini ni chanjo tu imemdhuru na sio kingine. So kukiri amechanjwa kweli ita jeopardise operation nzima.

Mbona Maalim au JPM hawakuchanjwa na walifariki ''ghafla'' ila leo hii akifariki Mbowe au Mpango utaskia "chanjo zimejibu".

WaTanzania ni watu wasio wadadisi so kuchanganua ni ngumu sana tofauti na Kenya au Uganda. Tunapenda sana umbea so whether amechanjwa or not haina maana sukari inapotea. No wonder imesikika akipewa pipi na soda hapo kwa clip.

Tuache misinformation zisizo kuwa na tija na kutishana. Unaogopa chanjo kuliko hata corona yenyewe?? Mionzi tu ya smartphone inatuua taratibu lakini unakuta jitu limeshika hyo hyo smartphone linapovuka mabeberu wanataka kutuua!!

Funny
Yaan chakushangaza ni kuwa watu wanatumia nguvu kubwa kupinga chanjo ukiuliza sababu kubwa hakuna ni ilimradi tu kasikia[emoji848] kwani huyo mzungu anayetaka kutuua anashindwa kuweka hiyo sumu kwenye panado? Au hata kwenye bia tu
 
Kelele zote hadi leo wamechanja watu laki na 60 tu wakati chanjo zililetwa 2m, tena hiyo lali na 60 inajumuisha waliofoji kuchanja

Hizo chanjo 11 million wanazoleta labda chanjo itajumuisha na miti na mifugo ili kuridhisha mabeberu

Hii nchi ya kizazi cha Wachamungu italindwa tu na mola dhidi ya hila na husda zote
Sasa hivi wanasema yoyote anayetaka chanjo aende, wameondoa makundi maalum. Labda namba itaongezeka kidogo
 
Watu hawaitaki chanjo lakini kutwaa kuifungulia thread
 
Back
Top Bottom