ndo maana zikitangazwa nafasi wanajaza watoto wao,wanakaa cozi miezi sita wakitoka wanajiunga afisa kadeti ili wawarithi.Kuna wanajeshi wa nchi fulani mtu mpaka ana staafu hata vita haijui
Ova
Hivi ratio ya cement na mchanga wa Yale matofali ikoje? Yana faa kweli kujengea ?Hivi ule ukomandoo wa kuvunja matofali kwa ngumi hatuwezi kuomba hata vita ya kirafiki na 'kwetu pazuri'? Tuchukue mateka dada zao!
Masoja wanakula bata tundo maana zikitangazwa nafasi wanajaza watoto wao,wanakaa cozi miezi sita wakitoka wanajiunga afisa kadeti ili wawarithi.
kozi wanafanya za maelekezo,ila ni sawa si nchi ya amani ukiwa soja ni kula starehe na kubadili magari
HIyo unit ya sayeret matkal ni balaa, kwakifupi wao ndio wana. perform zile impossible tough missions.Kwenye hiyo sayeret Matkal kulikuwa na kichwa kinaitwa Meir Har-Zion
1:8:12 yanafaa kujengea models zinazotuwiwa kwenye sinema,zikilipuliwa inakuwa kama ni real jengo.Hivi ratio ya cement na mchanga wa Yale matofali ikoje? Yana faa kweli kujengea ?
kibobori mahoroTandale kwa nani vile!!
Wanakula maisha si walikula kwatando maana zikitangazwa nafasi wanajaza watoto wao,wanakaa cozi miezi sita wakitoka wanajiunga afisa kadeti ili wawarithi.
kozi wanafanya za maelekezo,ila ni sawa si nchi ya amani ukiwa soja ni kula starehe na kubadili magari
Ahahahah weee jamaa jinga sana,,, kwetu pazur naskia na wenyew wanatutaman sana kujipima na sisi ,Kwa kwel tukapate mbegu mchanganyiko wa tz na kwetu pazurHivi ule ukomandoo wa kuvunja matofali kwa ngumi hatuwezi kuomba hata vita ya kirafiki na 'kwetu pazuri'? Tuchukue mateka dada zao!
Itakuwa Tajikistan huko.πππKuna wanajeshi wa nchi fulani mtu mpaka ana staafu hata vita haijui
Ova
Hivi ratio ya cement na mchanga wa Yale matofali ikoje? Yana faa kweli kujengea ?
Au umestuka nchi kuanza na Ta?Hahahah au sio
Ugomvi wao mkubwa chanzo madem na pombe πWanakaa kutusumbua mtaani mara ruka kichura kichura