LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Wanaume wanao wakataa watoto damu zao walio wazaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa Kuna kitu wanakijua ambacho sisi viherehere tunao wakubali Na kuwalea watoto wa nje/kabla ya ndoa hatukijui.
Please fungukeni wakuu ni kitu Gani hicho mnacho kijua ambacho sisi wengine hatukijui
Please fungukeni wakuu ni kitu Gani hicho mnacho kijua ambacho sisi wengine hatukijui