Wanaowakataa watoto damu zao waliowazaa nje/kabla ya ndoa kuna kitu wanakijua ambacho sisi hatukijui

Wanaowakataa watoto damu zao waliowazaa nje/kabla ya ndoa kuna kitu wanakijua ambacho sisi hatukijui

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Wanaume wanao wakataa watoto damu zao walio wazaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa Kuna kitu wanakijua ambacho sisi viherehere tunao wakubali Na kuwalea watoto wa nje/kabla ya ndoa hatukijui.

Please fungukeni wakuu ni kitu Gani hicho mnacho kijua ambacho sisi wengine hatukijui
 
Hawataongea ukweli hapa maana wanawake siku zote ni watu wakuonewa huruma ila tukiita wanaume waliotekeleza majukumu yao halafu baadae mtoto akapewa baba mwingine zile panton za feri zinajaa

Tatizo jamii imeamua kuwasikiliza wanawake kuliko wanaume ndio maana waliobambikiwa watoto wanaamua kukaa kimya tu hata wakiongea nani atawasikiliza zaidi ya kusimangwa tu na midume wenzao.
 
Mtoto mara nyingi halali kwa mama tu
 
Baba ni mlezi tu.

Hakuna mwanaume ambaye ni mzazi.

Unaweza kataa mtoto ambaye ni real wako na ukalea mtoto wa mwanaume mwingine uliyebambikiwa na mkeo.

Mwanamke yeyote ambaye nililoweka ni tarehe zikaendana siwezi kataa akiniambia Ana mimba au mtoto.

Mwanaume usikatae mtoto.

Na siku hizi asilimia kubwa wanaoolewa Wana watoto.

Na unalazomishwa umtambue na huyo mtoto umlee.
 
U J I N G A TU

Kuna wale wanajua kabisa hii ngoma sio yangu, wanaamua kupiga chini..

DNA zenyewe bongo ni takataka tu hamna trust,, wanatoa matokeo kwa vibe
mkuu mbona kuna dna pori?!

1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!

2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!

3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!

Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!

Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
 
Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!

Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu
emoji45.png

No, Thank you
 
Kaah ***** wewe ni mganga eeh!!!
mkuu mbona kuna dna pori?!

1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!

2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!

3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!

Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!

Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
 
mkuu mbona kuna dna pori?!

1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!

2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!

3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!

Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!

Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
Duuuh
 
mkuu mbona kuna dna pori?!

1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!

2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!

3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!

Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!

Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
LIKUD
 
Back
Top Bottom