Ndio sababu hata kwenye shirki linatakiwa jina lako na la mama tu, jina la baba halihitajiki.Mtoto mara nyingi halali kwa mama tu
mkuu mbona kuna dna pori?!U J I N G A TU
Kuna wale wanajua kabisa hii ngoma sio yangu, wanaamua kupiga chini..
DNA zenyewe bongo ni takataka tu hamna trust,, wanatoa matokeo kwa vibe
Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!
Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu
mkuu mbona kuna dna pori?!
1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!
2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!
3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!
Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!
Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
Duuuhmkuu mbona kuna dna pori?!
1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!
2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!
3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!
Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!
Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
LIKUDmkuu mbona kuna dna pori?!
1-Chukua ungo mpya ambao hauja pepeta chochote!
2-mlaze kichanga uchi uso ukiangalia juu!!
3-simama uelekeo ambao kivuli chako kitaufunika ule ungo!
Kama mtoto sio wako Atakufa!
Kama ni wako atakuchekea!
Kama huna uhakika na huyo mtoto usijaribu[emoji45]
@LIKUD aliomba apigwe ban yanga akifungwa huwez muona humu
Mbona yupo alikua anakula rotation humu@LIKUD aliomba apigwe ban yanga akifungwa huwez muona humu