Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Mipasho waachie akina mauzunde au ndio wewe?Nyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipasho waachie akina mauzunde au ndio wewe?Nyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Ongeza mtindi, kandeKwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Kande za sukari zinanoga sanaOngeza mtindi, kande
Kwa kweli hata mimi sijawahi kuwaelewa
🙂🙂Safi nilikua natafuta wanaoweka kwenye mtindi. Nikahisi au ni Mimi tu 😂😂 Enyi mnao weka sukari kwenye mtindi nani aliwafundisha? 😥😥Ongeza mtindi, kande
Kwa kweli hata mimi sijawahi kuwaelewa
Watoto tu hao, wakikua wataachaKwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Na nyie machoko wazenj mnafanyaje?Nyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Tena si sukari tu na maziwa ya unga. Kama enzi za boarding tu, naendeleza gurudumu 😅😅😅Wewe ndio mtu wa kwanza nasikia anaweka makande sukari!
Ili mradi vurugu tuKuna mmoja huyo anaweka sukari kwenye chai, aisee nashindwa kumuelewa
Aaaaaaaaahhhhh aunty kwelii 🙄Kuna watu wanaweka sukari hadi kwenye ...
INALAMBWA
Upumbavu mtupu..Sio matatizo
Maharage ukiweka sukari -huzuia ges
Tambi huongeza ladha