tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Wanataka ladha ya sukari mkuu?Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka ladha ya sukari mkuu?Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
The amount stupidity and nonsense in your head is concerning.Nyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Kila mtu anahisi ladha kitofauti mkuu. One man's meat is another man's poison.Waungie sukari mezani baada ya maharage kuiva, haifai kumkaribisha mtu maharage uliyounga kwa sukari.
definition of real zanzibarian haterNyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Ni asali mkuu...Kuna watu wanaweka sukari hadi kwenye ...
INALAMBWA
Mie kuna mmoja ananichanganyaga sana yani anaweka mafuta wakati wa kupika wali.Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Peanut butter na bluebandTena si sukari tu na maziwa ya unga. Kama enzi za boarding tu, naendeleza gurudumu 😅😅😅
Kipenzi Saint Anne umemaliza, hapo makande yanakuwa mazito, matamu balaa. Ambao hawajajaribu, wajaribu hawatojutia...Peanut butter na blueband
Yaani kande za sukari ni moto Sana.Kipenzi Saint Anne umemaliza, hapo makande yanakuwa mazito, matamu balaa. Ambao hawajajaribu, wajaribu hawatojutia...
Aione Yoda 😅😅😅😅
Mulemule hiyo radha yake aisee😋😋😋Tena si sukari tu na maziwa ya unga. Kama enzi za boarding tu, naendeleza gurudumu 😅😅😅