Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

Sioni kama kuna shida. Mimi huwa naweka sukari kwenye mtindi. Sioni tatizo lolote. Wewe mwenyewe itabidi tukushangae.
Sijawahi kuona mtu anaweka chumvi kwenye mtindi, watu huwa wanakunywa mtindi bila kuongeza chochote(plain) au kwa kuongeza sukari au asali. Hata yoghurt za asasi huwa zinawekwa sukari.
 
Wanaopaka ndimu kwenye mahindi ya kuchoma kisha kuyatia chumvi ndio wananishangaza zaidi!
Yale mahindi unakuta yamelala siku 1 au 2 kwa hiyo wanayatafutia taste.
 
Kuna binadamu wanapenda taste za ajabu sana!
unapotafuta radha kwa kuchanganya vitu zingzang ndiyo chanzo cha kupata magonjwa ya ajabu ajabu.

niliwai nunua chakula kwa shop moja hivi(CHIAPAS) wanauza Mexican food.

kile chakula kinaandaliwa kwa kutengeneza kitu fulan hivi kama chapati kubwa hivi.
basi,ile kitu kama chapati inakunjwa na katika kati yake Kuna kuwa na Uwazi mkubwa. wakimaliza hapo wanajaza zaidi ya vyakula (kama sikosei)kama 8 ama 9.
Kuna mahindi machanga.
maharage.
nyanya(zimekatwa kama kachumbali).
Kuna parachichi.
Kuna wali.
Kuna nyama(sijui ilikuwa nyama ya mnyama gani yule!.nyama ipo kama mizizi kiaina).
Kuna ujiuji fulan unachanganywa pia..
itoshe kusema kuwa one bite ya kile chakula unatafuna vitu vingi kwa wakati mmoja.Kuna vitu vingine vingi hata majina sikuvijua...sasa baada ya kule kile chakula usiku niliteseka sana,nilihalisha usiku kucha.
 
Yoda unashangaa kwenye tambi?
Bado hujakutana na wapishi wa usiku wanaweka asali mpk kwenye ‘’nonino” 😜
Tambi za sukari
Heri nizimie njaa kuliko kula.

Kuna kipindi tulitoka kwenye fasting
Kuangalia ftari,ni tambi za sukari..naomba chumvi niweke,eti haipo,nilishindwa kula.
 
Tambi za sukari
Heri nizimie njaa kuliko kula.

Kuna kipindi tulitoka kwenye fasting
Kuangalia ftari,ni tambi za sukari..naomba chumvi niweke,eti haipo,nilishindwa kula.
Nkamu mambo y’a pwani hayo 😂😂
 
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?

Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Mkuu hizo ni mambo za kawaida sana.

Tatizo haujakulia katika hayo mazingira ndio maana kwako inakuwa ngumu.

Au haujazowea kula hivyo vyakula tokea zamani.

Kuna maharagwe yanaliwa kama mboga hauwezi kutia sukari yaani maharagwe na ugali unatiaje sukari ?

TAtizo sio wao bali tatizo ni wewe ambaye unaweza kula maharagwe ya chumvi tu ila ya sukari hauyawezi.

Wenzio wanaokula maharagwe ya sukari bila shska wanaweza kula maharagwe yenye chumvi kama vile maharagwe na ugali,au maharagwe na wali.

Sasa hapa mkuu wewe ndio unatakiwa ujishangaee.

Sijawahi kuona chapati ikitiwa sukari ila sishangai maana najua ningezaliwa maeneo hayo ningezowea.

Haya maisha bhana kuna vitu tunaviona vinamake sense kwa sababu tu tumekulia katika hivyo vitu.

Sitaki kuchangis kihisia
 
Kumbe kuna walaji wa "nonino: huwa wanapenda kuuingiwa nonino kwa viungo mbalimbali, nilifikiri wote ni walaji raw! Sasa wakilamba wanameza au inakuaje??
😂😂😂 utajiju
 
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?

Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
watu wa Pwani. "watu mdebwedo"


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Utamaduni wa kuweka sukari katika maharage, tambi na makande ni wa wapi?
Utamaduni wa wapi kivipi?? Nyie watu wa Bara na mapishi wapi na wapi nyie endeleeni kuchemsha kupika wachieni watu wa pwani, sisi tunashozea hususan mwez wa ramadhan Harage lazima Liwe ns sukari kwa chapati au maamli, tambi bila sukari mm nawashangaa mnakulaje,
 
Back
Top Bottom