Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

Yoda unashangaa kwenye tambi?
Bado hujakutana na wapishi wa usiku wanaweka asali mpk kwenye ‘’nonino” 😜
Kumbe kuna walaji wa "nonino: huwa wanapenda kuuingiwa nonino kwa viungo mbalimbali, nilifikiri wote ni walaji raw! Sasa wakilamba wanameza au inakuaje??
 
Wewe si hauweki mkuu? Sasa kwanini unakosa raha kwa watu wanaoweka na wanakula wenyewe? Au wakishaweka wanakulazimisha ule?

Watanzania sijui Lini tutajifunza ku mind our own businesses
Hizo businesses za ku mind kwani tunazo?
 
Back
Top Bottom