Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

Binafs asubuhi nikitaka kupiga Maharage na chapati au Maharage na Vitumbua/maandazi lazima niweke sukari ili kuongeza Utamu.
Hata wakat nakula Makande kama Lunch or Dinner napata Utamu zaid nikiweka Sukari. Ila nikitumia Maharage kama mboga uwa nakula bila sukari
 
Nikikumbuka ni basi tu nilikuwa Yale maharagwe yenye sukari ila na mimi niliwashangaa sana Hawa watu hususani wako dar na zenj
Siku ingine wakataka kuweka kwenye tambi nikawaambia wacheni upumbavu mnatengeneza pipi au mnapika chakula au kama vipi pikeni afu mjikorogee wenyew mezani
Wanatengeneza pipi ! 🤣🤣🤣
 
Inategemea hayo maharage kwa wakati huo unayotumia kama mboga au kama ilivyo misosi mwingine, huyo huyo anayeweka sukari Kuna mazingira anaweka chumvi endapo atatumia kama mboga lets say kula Kwa wali au ugali. Na yanayowekwa sukari hata upikwaji wake ni tofauti pia sio kama Yale ya kuweka vitunguu na Nyanya (though Bado mwingine ukiunga maharage kwa Nyanya kuna mtu atakushangaa pia)
 
Mimi huwa namwagia asali (kuna umwagaji wake lakini kisha ndo nailamba)
Unalimwagia hilo lishangazi
IMG-20240913-WA0004.jpg
 
Wewe unaweza kula mchicha uliochemshwa ukajazwa asali?
Hapana at all.

Mimi huwa nazingatia nini kinaliwa na nini, na ni wakati gani, Kuna mchanganyiko wa milo fulani haiendani, mfano uweke maharage sukari halafu umpe mtu ale na ugali 😀🗑️

However kistaarabu kuna mapishi ya asili, ni vizuri kutenga pembeni ukawawekea wala sukari na wala chumvi, kutenga sio jambo gumu sababu ni kuivisha halafu kugawa. Wapishi tusiassume kila mtu anaweza kula kwa namna fulani.
 
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?

Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Sioni kama kuna shida. Mimi huwa naweka sukari kwenye mtindi. Sioni tatizo lolote. Wewe mwenyewe itabidi tukushangae.
 
Sioni kama kuna shida. Mimi huwa naweka sukari kwenye mtindi. Sioni tatizo lolote. Wewe mwenyewe itabidi tukushangae.
Unaweza kuweka sukari kwenye makande?
 
Niliingia Spar kununua maziwa wakati naelekea kwa kaunta kulipa nikaona rost nzuri ya Nyama Plus vitu vingi vingi ambavyo sijawai kula.kwa macho vinavutia aswaa.nikakusanya kadili yangu then nikalipa.
wakati naanza kula naweka nyama mdomoni,nyama ni Tamu kama Nakula NANASI.
ikabidi niulize..wakasema wametia SUKALI KWENYE NYAMA.
nilikuwa bored sana aisee. ndiyo mara ya kwanza kukutana na Nyama yenye Sukari.
 
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?

Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Brother chakula ni sehem ya utamaduni na ubunifu, mm pia nashangaaa watu wanaoweka parachichi na chumvi kwnye makande, watu wanaokula kichuli na watu wanaokula ugali kama chakula cha asubuhi!!
 
Niliingia Spar kununua maziwa wakati naelekea kwa kaunta kulipa nikaona rost nzuri ya Nyama Plus vitu vingi vingi ambavyo sijawai kula.kwa macho vinavutia aswaa.nikakusanya kadili yangu then nikalipa.
wakati naanza kula naweka nyama mdomoni,nyama ni Tamu kama Nakula NANASI.
ikabidi niulize..wakasema wametia SUKALI KWENYE NYAMA.
nilikuwa bored sana aisee. ndiyo mara ya kwanza kukutana na Nyama yenye Sukari.
Kuna binadamu wanapenda taste za ajabu sana!
 
Brother chakula ni sehem ya utamaduni na ubunifu, mm pia nashangaaa watu wanaoweka parachichi na chumvi kwnye makande, watu wanaokula kichuli na watu wanaokula ugali kama chakula cha asubuhi!!
Utamaduni wa kuweka sukari katika maharage, tambi na makande ni wa wapi?
 
Wanaopaka ndimu kwenye mahindi ya kuchoma kisha kuyatia chumvi ndio wananishangaza zaidi!
 
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?

Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Kwa nini mnakula?

Alisikika mtia sukari mmoja 😪😪
 
Back
Top Bottom