Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Wazungu wanajaza Asali kwenye nyama, kuku, turkey, kitimoto nkKwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
achaga dharau mshamba weweNyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Chapati sawa lakini tambi na maharage that too muchKwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Weka magadi au baking powder kama unataka kuondoa gesi kwenye maharage.
Duh!Kuna watu wanaweka sukari hadi kwenye ...
INALAMBWA
Basi hapo umekaa miguu juu unajiona bonge la mpishi,ninyi CHOGO BUTU mngekuwa mnajua kupika mngekufa na njaa zenu za kula Kasa wabichi wasioiva hadi mnakufa kwa sumu zaoNyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
Ukishaanza kumsikiliza janabi and the likes utaona kila anachokula mwenzako ni sumu na kwamba unachokula wewe ni sahihiWewe si hauweki mkuu? Sasa kwanini unakosa raha kwa watu wanaoweka na wanakula wenyewe? Au wakishaweka wanakulazimisha ule?
Watanzania sijui Lini tutajifunza ku mind our own businesses
na nyie machogo pasi ndio maana hamna akili miaka yote mnakuwa wa mwisho kitaifa kwenye mitihaniNyie machogo wa bara kwani mnapika au mnakoroga
uongo huoKuna watu wanaweka sukari hadi kwenye ...
INALAMBWA
uongo huo