Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

Nikajua utakua umeshatoboa kumbe bado Bora utupe stori ya mademu wa SA tu hizo 3M ulizotafuta kwa miaka mitatu huko kwa hapa bongo mbona ungeweza pia, mm sina raman ya kueleweka lakin ndani ya miaka mi5 hapahapa bongo nimefanya mambo ya karibu 26M kumbe nikienda SA ntakua narudi nyuma tu
 
Amina amina... hapa unabidi unipe na mchanganuo niifanyie nini? Dua peke yake haitoshi .. mtakatifu
Ingia kwenye udalali wa nyumba na viwanja...ili iongezeke then fungua na duka la vifaa vya ujenz..watu wanajenga sana saivi
 
Nikajua utakua umeshatoboa kumbe bado Bora utupe stori ya mademu wa SA tu hizo 3M ulizotafuta kwa miaka mitatu huko kwa hapa bongo mbona ungeweza pia

Kwa upande wangu ni mwanzo mzuri sanaa.. kiongozi.. kuhusu ..mkorohonyi SA mademu ni sawa na bure sema wengi wao wamezaliwa na wanaishi na VVU... na wanaishi navyo na sio wachoyo kabsa.. watakutongoza wenyewe
 
Sina sehemu nimezungumzia levels ama kuwezana huo ni mtazamo wako

Karibu mkuu.. na pole kwa kukukanganya na haya maisha magumu.. tuendelee kulipa TOZO taifa lisonge mbele
 
Ingia kwenye udalali wa nyumba na viwanja...ili iongezeke then fungua na duka la vifaa vya ujenz..watu wanajenga sana saivi

Asante sana na sina cha kukuambia zaidi ya kukuongeza asante nyingine.. karibu sana
 
Bora wewe umeamua kututoa kwenye siasa Job na Dadake na kutuleta kwenye mada pendwa za NITARUDI au ITAENDELEA...
 
Bora wewe umeamua kututoa kwenye siasa Job na Dadake na kutuleta kwenye mada pendwa za NITARUDI au ITAENDELEA...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora wewe umeamua kututoa kwenye siasa Job na Dadake na kutuleta kwenye mada pendwa za NITARUDI au ITAENDELEA...

Wanagombania nchi jamaa hawa... daaah tuwaache maana maidhi yakiendelea kuwapanda wataiuza bure... na watoto wa kike kwa kususa ngoja tuone [emoji23][emoji23]
 
Kwa upande wangu ni mwanzo mzuri sanaa.. kiongozi.. kuhusu ..mkorohonyi SA mademu ni sawa na bure sema wengi wao wamezaliwa na wanaishi na VVU... na wanaishi navyo na sio wachoyo kabsa.. watakutongoza wenyewe
Kuna jamaa mmoja alikuja kutupa stori za mademu wa SA nikataman sana nifike huko kwasababu hiyo tu maana aliwasifia haswa
 
Kuna jamaa mmoja alikuja kutupa stori za mademu wa SA nikataman sana nifike huko kwasababu hiyo tu maana aliwasifia haswa

Na hizo sifa unazotaka kuziweka wazi hapa... wanazo kweli.. karibu sana mtakatifu
 
Nimesomaa mwanzo mwisho lkn cjakuelewaaa unawezaa rudia tenaa kuandika upya mkuu,
Huyo na wewe hamna tofauti, mwenzako kajiunga juzi JF na kajitahidi sana kuandika ikiwa ni thread yake ya kwanza in short term ahahahaa...
 
Huyo na wewe hamna tofauti, mwenzako kajiunga juzi JF na kajitahidi sana kuandika ikiwa ni thread yake ya kwanza in short term ahahahaa...

Mkuu unaeleweka sana.. hawafikiriagi wanakosoa tu .. wanatufanya tushindwe kutoa mawazo yetu pendwa tuliyonayo.. tufe nayo kooni
 
Ntaendelea kuwapongeza hawa jamaa wenye jf mmeweza sana wakuu .. pongezi kwenu
 
Back
Top Bottom