kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
akili hamna kabisa, alikuwa anaongozana kabisa na leading group.Hatimaye...Simbu kawa wa 17
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili hamna kabisa, alikuwa anaongozana kabisa na leading group.Hatimaye...Simbu kawa wa 17
Maajabu wakishinda atakayepongezwakuliko wote ni mgombea wa 2025Kila la kheri kwako kupindua meza ila naona mwisho wa siku tutampongeza Mmoja kwa kuingia kumi Bora.
Kwani upo nchi ganiBasi, nikalale sasa.
Umemsikiliza vizuri mtangazajiNo matter who you are further time wait for nobody
Goodbye Kipchoge and Bekele
A.F.SIMBU kamaliza wa 17LEO, saa 3:30 asubuhi sehemu ya wanariadha watakaokimbia katika Olympics wamo Watanzania pia Alphonce Felix Simbu na Gabriel Gerald Geay
Mashindano haya Olympic yanaruka mbashara kupitia #ZBC2
#Olympic #Olympicgame #Paris
Umemsikiliza vizuri mtangazaji
Tatizo la watanzania ni kwenye finishing. Pale mwishoni kwenye kumaliza mbio kuna kitu kinaitwa KICK.. yaani inatakiwa atumie nguvu zake zote kukimbia kwa kasi ili amalize nafasi nzuri. Wabongo wengi hawawezi. Simbu angekuwa namba 7 ila nguvu za kumaliza mbio akawa hana.Simbu hadi kilomita 39 alikua wa 3, kilomita 3 tu kama wa 17, duh
Kipchoge bado tu