Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

Paris paris paris paris !!!!
How many times did I call you!
Your beauty mesmerize me..
I will always choose paris over Dubai
 
Mashindano gani bongo tunaweza kuchukua medali🤣
Kwa Olympic hakuna Hawa wote ni program ukiangalia utaona wameanzia chini kabisa na si huku chini kabisa ni shule asubuhi hadi 12 jioni na shule hakuna kucheza ni kukaliri table na kusoma physics
 
Amejitahidi sana, hata mtangazaji kamzingumzia vizuri
 
Paris paris paris paris !!!!
How many times did I call you!
Your beauty mesmerize me..
I will always choose paris over Dubai
I am going there before this year ends.

Someone told me Dubai is overrated, nothing of value to see there.

Kwa Hii Olimpiki wafaransa wanafanya makusudi kutuonyesja mji wao ulivyokaa vizuri. Nitaenda mwaka huu.
 
Sasa ni muda wa watanzania kusahau yote. Na baada ya miaka minne kustuka tena tuna wawakilishi 5 tu[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Tatizo la watanzania ni kwenye finishing. Pale mwishoni kwenye kumaliza mbio kuna kitu kinaitwa KICK.. yaani inatakiwa atumie nguvu zake zote kukimbia kwa kasi ili amalize nafasi nzuri. Wabongo wengi hawawezi. Simbu angekuwa namba 7 ila nguvu za kumaliza mbio akawa hana.
Maandalizi...budget ya michezo inaendaga wapi? Lile fungu la Korea wangepushiwa Hawa tungepata medal...simbu maandaliz yake ni hafifu..wenzie waliwahi Paris wanafanya mazoezi na makocha wa ukweli
 
"[emoji1241] kichwa cha mwendawazimu" kwa sauti ya mzee Ruksa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simbu pekee ndio alikuwa fit kimwili ila Geay alikuwa na injury ndio maana hajamaliza kabisa....chama Cha riadha kitijitathimini kupeleka mtu mgonjwa na wakijua kabisa...
 
Back
Top Bottom