Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game lumeisha Simbu kawa was 17.Yule mwingine nadhani hakumaliza.Kuna kuna mmoja ata kuwa kwenye tatu bora.
Kuna bustan za Enlightment Back zinadundaNyumba nyingi za uko zina structure za kizaman na imara , zimepangiliwa vizuri sana kwenye barabara na upandaji wa miti.
Hawapikii kuni/mkaa. Bongo mkipanda miti mnakata kwa ajili ya kuni/mkaa.Nimependa tu jinsi miti imepandwa kando ya barabara
Hili hata kwetu linawezekana kabisa highways zote kupambwa kwa miti ya vivuli
Hope hiyo program inaendelea kujenga wakina Simbu wengineHata Simbu kaanzia chini. Wa pili kushoto. Mwaka 2007
Wa kawaida sana nimeona wauza matunda na daladala kibao na mafundi ujenzi Kila kona ya ParisParis mji wa kawaida mno wazee
Kwahyo tunaludi kesho? Mbona tumeenda juzi?Game lumeisha Simbu kawa was 17.Yule mwingine nadhani hakumaliza.
Kutoboa sio tatizo. Baada ya hizi mbio ataalikwa kushiriki mbio zingine pia.Hope hiyo program inaendelea kujenga wakina Simbu wengine
Lakini pia hajatoboa hapo kwenye top ten
Anaihujumu nchi.Anamhujumu Mama Samia?
Nchi nayo inaplay part yake ipasavyo? Kama ndiyo sawaAnaihujumu nchi.
Kwa upande wa serikali kuu naona hakuna tatizo sana. Tatizo lipo kwenye kamati ya olimpiki. Unajua ili mwanariadha aweze kushiriki Olympic lazima awe ameshiriki mbio za kimataifa zinazotambulika na chama cha riadha cha dunia na kufikisha muda unaotakiwa ili kufuzu kushiriki Olympic. Sasa hapa Tanzania kuna utitiri wa marathon za kuchochea umalaya zisizotambulika kimataifa. Ukitoa Kilimanjaro Marathon hayo mashindano mengine ni ya kujifurahisha. Kamati ya Olympic ingepambana angalau marathon hata 3 zitambulike kimataifa ili vijana wakishiriki wapambane haswa kufikisha vigezo. Kupata muda mzuri kwenye Kilimanjaro Marathon ni ngumu sana kutokana na hali ya hewa na ile milima.Nchi nayo inaplay part yake ipasavyo? Kama ndiyo sawa
Hizo kamati zinasimamiwa na nani na kufatiliwa na nani kama sio wizara we kichwa maji...huyo waziri alienda kufanya nini huko Paris kama hahusiki na haya mambo...acheni ushamba na uchawa kwenye mambo ya msingiKwa upande wa serikali kuu naona hakuna tatizo sana. Tatizo lipo kwenye kamati ya olimpiki. Unajua ili mwanariadha aweze kushiriki Olympic lazima awe ameshiriki mbio za kimataifa zinazotambulika na chama cha riadha cha dunia na kufikisha muda unaotakiwa ili kufuzu kushiriki Olympic. Sasa hapa Tanzania kuna utitiri wa marathon za kuchochea umalaya zisizotambulika kimataifa. Ukitoa Kilimanjaro Marathon hayo mashindano mengine ni ya kujifurahisha. Kamati ya Olympic ingepambana angalau marathon hata 3 zitambulike kimataifa ili vijana wakishiriki wapambane haswa kufikisha vigezo. Kupata muda mzuri kwenye Kilimanjaro Marathon ni ngumu sana kutokana na hali ya hewa na ile milima.
Unadhani serikali inaingilia tu kiholela mambo ya michezo? Wewe baki kwenye siasa za kinyumbu. Kwenye riadha hujui kitu.Hizo kamati zinasimamiwa na nani na kufatiliwa na nani kama sio wizara we kichwa maji...huyo waziri alienda kufanya nini huko Paris kama hahusiki na haya mambo...acheni ushamba na uchawa kwenye mambo ya msingi
Huna akili...ujazo wa kisodaUnadhani serikali inaingilia tu kiholela mambo ya michezo? Wewe baki kwenye siasa za kinyumbu. Kwenye riadha hujui kitu.
Shida hapo ni kutaka kuitetea serikaliKwa upande wa serikali kuu naona hakuna tatizo sana. Tatizo lipo kwenye kamati ya olimpiki. Unajua ili mwanariadha aweze kushiriki Olympic lazima awe ameshiriki mbio za kimataifa zinazotambulika na chama cha riadha cha dunia na kufikisha muda unaotakiwa ili kufuzu kushiriki Olympic. Sasa hapa Tanzania kuna utitiri wa marathon za kuchochea umalaya zisizotambulika kimataifa. Ukitoa Kilimanjaro Marathon hayo mashindano mengine ni ya kujifurahisha. Kamati ya Olympic ingepambana angalau marathon hata 3 zitambulike kimataifa ili vijana wakishiriki wapambane haswa kufikisha vigezo. Kupata muda mzuri kwenye Kilimanjaro Marathon ni ngumu sana kutokana na hali ya hewa na ile milima.
Ccm hawajali,inabidi turudi tu.Simbu hadi kilometa 30 alikuwa ndani ya top five.Baadaye niliona pumzi I me kat a hadi mwisho da 17.Yule Eliud Kipchoge na Keninisa Bekele nyakati zao zimeishaKwahyo tunaludi kesho? Mbona tumeenda juzi?
😂😂😂Kuna wenzio uzi mmoja huko wanakwambia hao wana maisha magumu kuliko wao hapa Tanzania.
Shida hapo ni kutaka niandike comment unayoipenda. I don't live in your expectationsShida hapo ni kutaka kuitetea serikali
HoyeeShida hapo ni kutaka niandike comment unayoipenda. I don't live in your expectations