Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Wa Tanzania wengine lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho wanawake marathon,Wa Tanzania wengine lini?
Wana appreciate juhudu za mtu.Nimependa spirit ya wazungu mpaka wa mwisho wanampigia makofi ingekuwa uku kwetu wangekuwa wanatoa matusi tu
Hata huyu simbu anaporudi inatakiwa tukampokee kama mshindi kwetu ilikuendelea kumpa moyo yeye na vizazi vya baadayeWana appreciate juhudu za mtu.
Kumbuka Akwari alikua wa mwisho mwaka 1968 Mexico city olimpiki lakini alipofika tu alishangiliwa na kila mtu.
Paris paris paris paris !!!!
How many times did I call you!
Your beauty mesmerize me..
I will always choose paris over Dubai
Yeah. Kaumia kiunoKipchoge aliishia njiani
Mji mzuri sana. Mwaka huu lazima niende huko.
Huyu Geay anazingua. Hizi ni mbio kama za tatu hamalizi. Huu sio uzalendo.Sio masihara marathon Mmongolia ana miaka 42 kamaliza, ila watu kadhaa hawajafika finish lineView attachment 3065984
He is the fastestMtangazaji anasema he is a fastest man on earth. Ametoka kuchukua medali hivi karibuni
Hata Simbu kaanzia chini. Wa pili kushoto. Mwaka 2007Kwa Olympic hakuna Hawa wote ni program ukiangalia utaona wameanzia chini kabisa na si huku chini kabisa ni shule asubuhi hadi 12 jioni na shule hakuna kucheza ni kukaliri table na kusoma physics
Ni wa wapi huyu mshikaji? Kwa nini hamalizi mashindano?Huyu Geay anazingua. Hizi ni mbio kama za tatu hamalizi. Huu sio uzalendo.
Ni wa Arusha. Mastaa wengi wakiona watamaliza kwa namba zenye aibu huwa hawamalizi. Hata Kipchoge hajamaliza. Geay kwenye Marathon ni staa wa dunia sema akiwa bongo anachukuliwa kama mwananchi wa kawaida.Ni wa wapi huyu mshikaji? Kwa nini hamalizi mashindano?
Anamhujumu Mama Samia?Huyu Geay anazingua. Hizi ni mbio kama za tatu hamalizi. Huu sio uzalendo.