Wanasayansi mbioni kugundua dunia nyingine


Wrap drive ndo nini kiongozi?..
 
Huwa najiuliza Kama ikitokea ikaonekana kuna watu wengine wanaishi kwenye sayari nyingine, sijui vitabu vya dini vitajitetea vp? Sidhani Kama kuna sehemu yoyote kwenye misahafu hiyo inayoeleza kuna binadamu wengine sayari nyingine.

Nina mashaka hata hujui ulichoandika.
Havina wajibu wa kujitetea maana havijazungumzia hayo mambo.

Maelezo yako yamejikanganya.
 
Wrap drive ndo nini kiongozi?..
Kuna theory na proof nyingi kua kitu chochote hakiwezi kwenda speed zaidi ya mwanga.. kwamba kikifika hiyo optimum speed bac kitu kitahitaji infinite energy.. kama ni hivo manake hata tukifanikiwa kukimbia hiyo speed bac hatutotoka kabisa milky way galaxy maana itatumia miaka 1600 kusafiri hadi kufika kwenye edge.. Warp drive sasa ndo inakuja, ukitreat space n time kama kitu kimoja, unaweza bend space kwa vitu kama wormholes ukaweza kusafiri toka upande moja hadi mwingine sio kwa speed ya mwanga lakini kwa kua umebend space yani mfano rahisi 100km ukazibend zikawa 2km manake ukawahi kufika.. sasa inafanya kazi kama hivi.. hii theory ndo wanasayansi walisuggest miaka mingi na wanaifanyia research, kwenye baadhi ya movies kama star trek ukiangalia utaona zile space ships zao wanatoka upande moja kwenda upande mwingine wa galaxy kwa haraka sana kutumia njia hii...
 

Mkuu asante sana kwa somo zuri,ukipata muda usisite kuja hapa kutupa elimu kuhusiana na mpangilio wa ajabu sana ulioko huko angani

Kutokana na maelezo yako ni wazi kuwa hizi nguzi ziko hapo maelfu ya miaka na napata ujasiri kutokana na maelezo yako kuwa hizo nguvu zina maana kubwa sana kwa usalama wetu ba hatuwezi kusema kuwa zipo zipo tu na zipo hapo kwa malengo maalum

Nimeweza kujua kutokana na maelezo yako kuwa hakuna kilichotokea bahati mbaya bali kila kilichopo kina madhumuni na kikipungua kimoja tu mambo yanaharibika kabisa


Nakushukuru sana,ngoja nitafakari halafu kama nitakuwa na swali nitakuuliza mkuu

Ubarikiwe sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…