Wanasayansi mbioni kugundua dunia nyingine

Wanasayansi mbioni kugundua dunia nyingine

Mkuu,sidhani kama umejibu swali langu ....!!

Mkuu Eiyer, ndio sikujibu partly kwa kuwa nili-assume kwa kuonesha tofauti ya umbali na muda basi lazima ungenielewa kwamba kuna tofauti nyingi za kimazingira ingawa inaweza kukaribiana kwa kufanana na dunia lakini si kwa kila kitu. Kuna vigezo vinavyotupa hali hii katika dunia mojawapo ni kuwa katika right place with right conditions (katika solar system). Tofauti kidogo tu ya chochote kuanzia place in terms of distance tuliyopo kutoka pale jua lilipo au tofauti ya size na luminosity ya jua inaweza kubadilisha mambo makubwa ambayo yanauwezesha uhai wa kawaida kwetu.

Mfano Kepler-186f ni kubwa kidogo kwa size ukilinganisha na Earth hii tayari inaleta tofauti katika atmosphere, kwa kuwa atmosphere ya Kepler-186f ni nene zaidi ya sayari yetu. Hapo tayari unaweza kuona kutakuwa na tofauti ya aina ya mawingu ambayo yana-play part kubwa katika kuzuia radiations kutoka kwenye host star kwa dunia mfano ni cirrus clouds. Alafu pia Kepler 186f inazunguka karibu sana na host star yake ambayo ingawa ni ndogo kwa size zaidi ya jua letu lakini ni active na radioactive activities zake ni zaidi ya za jua letu. Bado scientists wanajaribu kuisoma vizuri kuona mambo mengine mengi ambayo katika Earth ni natural processes kutokana na kuwepo katika right place with right conditions.
 
Mkuu Eiyer, ndio sikujibu partly kwa kuwa nili-assume kwa kuonesha tofauti ya umbali na muda basi lazima ungenielewa kwamba kuna tofauti nyingi za kimazingira ingawa inaweza kukaribiana kwa kufanana na dunia lakini si kwa kila kitu. Kuna vigezo vinavyotupa hali hii katika dunia mojawapo ni kuwa katika right place with right conditions (katika solar system). Tofauti kidogo tu ya chochote kuanzia place in terms of distance tuliyopo kutoka pale jua lilipo au tofauti ya size na luminosity ya jua inaweza kubadilisha mambo makubwa ambayo yanauwezesha uhai wa kawaida kwetu.

Mfano Kepler-186f ni kubwa kidogo kwa size ukilinganisha na Earth hii tayari inaleta tofauti katika atmosphere, kwa kuwa atmosphere ya Kepler-186f ni nene zaidi ya sayari yetu. Hapo tayari unaweza kuona kutakuwa na tofauti ya aina ya mawingu ambayo yana-play part kubwa katika kuzuia radiations kutoka kwenye host star kwa dunia mfano ni cirrus clouds. Alafu pia Kepler 186f inazunguka karibu sana na host star yake ambayo ingawa ni ndogo kwa size zaidi ya jua letu lakini ni active na radioactive activities zake ni zaidi ya za jua letu. Bado scientists wanajaribu kuisoma vizuri kuona mambo mengine mengi ambayo katika Earth ni natural processes kutokana na kuwepo katika right place with right conditions.

Nakushukuru sana mkuu kwa majibu yako murua

Haya yote yanaonekanaje?

Yaani yanaonekana kutokea tu ki ajabu ajabu bila ya kuonekana yana mpangilio au yanaonekana kimpangilio?

Asante ....!!
 
Nakushukuru sana mkuu kwa majibu yako murua

Haya yote yanaonekanaje?

Yaani yanaonekana kutokea tu ki ajabu ajabu bila ya kuonekana yana mpangilio au yanaonekana kimpangilio?

Asante ....!!

Mpangilio ni mkubwa na kushangaza kuliko jinsi engineer yeyote duniani na ulimwenguni anaweza kupanga au hata kutengeneza model yake. Inahitaji mada nzima kuchambua angalau kwa ufupi mpangilio huu ambao umerekebishwa kwa viwango vyenye umakini mzito sana. Hapa ndipo tunazikuta hizi Physics laws na nguvu nyingine zinazouendesha ulimwengu zote na kushangaa zimewekwaje maana zipo lakini hatujui kwa nini zipo.
 
Huwa najiuliza Kama ikitokea ikaonekana kuna watu wengine wanaishi kwenye sayari nyingine, sijui vitabu vya dini vitajitetea vp? Sidhani Kama kuna sehemu yoyote kwenye misahafu hiyo inayoeleza kuna binadamu wengine sayari nyingine.
 
Mpangilio ni mkubwa na kushangaza kuliko jinsi engineer yeyote duniani na ulimwenguni anaweza kupanga au hata kutengeneza model yake. Inahitaji mada nzima kuchambua angalau kwa ufupi mpangilio huu ambao umerekebishwa kwa viwango vyenye umakini mzito sana. Hapa ndipo tunazikuta hizi Physics laws na nguvu nyingine zinazouendesha ulimwengu zote na kushangaa zimewekwaje maana zipo lakini hatujui kwa nini zipo.

Kwa mtazamo wako mkuu,unaonaje....

Je kwa namna mpangilio ulivyo unaweza kuwa umetokea tu bahati bahati au kuna zaidi ya hapo?

Lakini pia,umeongelea nguvu,je ni nguvu za aina gani hizo?

Maana hapa tuna watu wa uelewa tofauti tofauti,je unaweza kuelezea japo kwa kifupi tu hizo nguvu ni kitu gani na zina umuhimu gani kwa usalama wa maisha yetu na ulimwengu kwa ujumla?

Asante ....!!
 
Nasa chini ya utawala wa ccm hawatafika popote teh.

Aisee! Kweli JF imekusanya "vichwa"! Kumbe NASA wako kule usukumani tena ni CCM damu?! Nilikuwa napita tu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa hiyo ukienda watu wa huku duniani inabidi wakufanyie msiba kabisa maana ndio hutorudi tena.....hahahahaaaa

Wakufanyie, wasikufanyie hakuna kurudi! labda kujuliana hali maana nina uhakika wanasayansi wanaweza pia kubuni njia za kuwasiliana na duniani kama ilivyokuwa mwezini. Ila zaidi ya hapo hakuna, kwani utakuwa "kuzimu".


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huwa najiuliza Kama ikitokea ikaonekana kuna watu wengine wanaishi kwenye sayari nyingine, sijui vitabu vya dini vitajitetea vp? Sidhani Kama kuna sehemu yoyote kwenye misahafu hiyo inayoeleza kuna binadamu wengine sayari nyingine.

Na wao pia watakuwa wameumbwa na Mungu, kwani vitabu vyote vimeshasema Mungu ndiye aliyeumba vyote vilivyomo, vilivyo nje ya dunia, vinavyoonekana na visivyoonekana!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii ni moja ya tofauti kati ya Membe na Lowasa. Lowasa akiwa waziri wa maji ndoo alisimamia kutoa maji ziwa Victoria kupeleka mkoa Wa shinyanga.
na akija kuwa rais pengine atafanya makubwa kuliko haya. jamaa ni mtu wa kuthubutu.
 
Muende huko kwani mmegundua nyie? thubutuuuu !

Huko watajitangazia umiliki wa asilimia mia moja kama walivyoigundua America ingawa walikuwepo wahindi wekundu.

Gesi, mafuta, dhahabu na utajiri wote utakuwa wa kwao!

Watatukimbia na kuondokana na adha za ugaidi, mabomu, kuomba omba , wahamiaji haramu, kelele za gesi ya kwetu, mara hoo mafuta na madini ya kwetu , tunaonewa na mikataba ya kilaghai wakati hata chepeo la kuchimbia ulanga tunashindwa kutengeneza.

Nakwambia wakiondoka na kutuacha duniani kwa akili zetu tutakimbilia London, Newyork, Paris na miji yote ilioendelea etc baaada ya muda tutakula kila kitu, tutakuunywa wee, kula na kuvimbiwa lakini hakuna uzalishaji tena, viwanda vitakufa tutachafua miji na miundo mbinu na miji itanuka kama ya kwetu, mwisho wa siku tutaanza kuwaomba warudi waje watutawale tu. lol.

Oooh sina mbavu miye! Yaani nimecheka hadi mate kunipalia! Ama kweli JF ni burudani maana imekusanya kila rika katika jamii.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa mtazamo wako mkuu,unaonaje....

Je kwa namna mpangilio ulivyo unaweza kuwa umetokea tu bahati bahati au kuna zaidi ya hapo?

Lakini pia,umeongelea nguvu,je ni nguvu za aina gani hizo?

Maana hapa tuna watu wa uelewa tofauti tofauti,je unaweza kuelezea japo kwa kifupi tu hizo nguvu ni kitu gani na zina umuhimu gani kwa usalama wa maisha yetu na ulimwengu kwa ujumla?

Asante ....!!

Mkuu, mpangilio naomba radhi nisijibu hapa kwa kuwa ni mpana na nitauweka mada tofauti nipatapo wasaa. Naomba nijitahidi kuelezea maguvu kwa njia nyepesi sana na fupi.

Kuna maguvu mengi tunayoyajua na kubwa kama gravity ni Law kwa kuwa tunaijua uzuri na tunaipima bila shida. Lakini hizi nguvu kubwa zaidi ni hypothesis, bado hamna kitu firm kutokana na ukubwa wa issue yenyewe. Natumia lugha nyepesi na kuita nguvu (inaweza ikawa kitu kingine) maana sipati mamneno mazuri ya kuelezea.

Nikiziweka nguvu hizi katika percentages kutokana na recent studies ni kwamba kubwa kabisa ni Dark energy (cosmological constant) hatuijui vizuri ila ipo. Yani uwiano wa elimu au information tusizonazo/tusiyojua kuhusu hii kitu ni mkubwa sana kulinganisha na ule wa yale machache tunayojua. Kwa nini hatuijui? Ni ngumu kupima, kuiona, kuishika, kuinua yani tunaona matokeo yake tu. Kwa nini ipo? kwa sababu tuna ushahidi wa kutosha jinsi universe inavyo-expand na kuna nguvu inayofanya hii process (expansion). Ni kubwa kiasi gani, ni takribani 68% ya kila kitu kilicho ulimwenguni au katika universe.

Nguvu ya pili au kitu cha pili cha ajabu ambacho kipo inaitwa Dark matter. Hii ipo ila haiwezi kuonekana kwa kuwa kila kitu hata mwanga unapenya kati yake yani hai-interact na kitu chochote. Hii ndio inashikilia universe kwa kuwa isingekuwepo basi ile dark energy ingetutawanya ndani ya sub-second. Ulimwengu ukiangaliwa kwa ujumla unaonekana kuwa na umbo kama nyuzi (web) zilizoshikana hii kitu inadhaniwa kuwa behind this phenomena. Hii ni asilimia takribani 27 (27%) ya kila kitu ulimwenguni.

Alafu ndio tuna matter hii tunaijua na sisi, mawe, maji, gas, sayari, nyota na chochote kinachooneka ndio part yake. Hii ni asilimia takribani 5 tu ya kila kitu katika universe.

Kwa hiyo kila kitu kinachoonekana katika universe ni asilimia tano tu ya kile tusichokiona lakini kipo kwa hakika kutokana na yale tunayoona kama matokeo yake.

Kutokana na jinsi tusivyojua mengi kuhusu hii area ni vigumu kuelezea kwa hakika umuhimu au usalama wake kwa sisi lakini jinsi tulivyo ni matokeo ya kuwapo kwa hizi kitu ama sivyo universe na mambo yake hakika yasingekuwa hivi.
 
hili linaweza kufanikiwa labda karne mbili zijazo!
 
hivi kumbe mungu aliumba dunia nyinginyingi?..ngoja nijiandae kuomba uhamisho!
 
Huwa najiuliza Kama ikitokea ikaonekana kuna watu wengine wanaishi kwenye sayari nyingine, sijui vitabu vya dini vitajitetea vp? Sidhani Kama kuna sehemu yoyote kwenye misahafu hiyo inayoeleza kuna binadamu wengine sayari nyingine.
mbona hata sayari zingine hazijatajwa.
 
hivi kumbe mungu aliumba dunia nyinginyingi?..ngoja nijiandae kuomba uhamisho!

" And our galaxy is ever-evolving,
with "about five or 10 new stars
being born per year in our Milky
Way," Mather said."

na nyingi zingine zinakuja
 
Wakuu swali langu ni hivi Kwanini waende wasirudi plz nijuzeni.
 
Back
Top Bottom