Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao?

Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao?

sidhani si wanajua kabisa wakiwaita na wao watakula wapi wakati wanataka washibe waoo
african are poor because are poor
kabla ya kuwekeza kwenye science ingeundwaga hata organisation of african scientist (OAS) na sio ile OAU kwa sababu hakuna faida mpaka leo yaani sijaona sector yoyote ya amerca ambayo mwanasayansi kutoka africa hajachangia idea pale na kufanikisha mzigo je wangechangiaga tu hizo idea huku africa bila hata kufanya naamin tungehisi tumeshaaendelea kabisa sio tunatumia muda mrefu na pesa ndefu huku AU, EAC, ETC bila mafanikio ila ndio hivyo jf hapa huwezi jeuza maji kuwa juice
 
nchi kama marekani ilitumia takribani miaka 80's mpaka nayo inajitambua na kujiona imeendelea na hawakutaka kupiga propaganda nyingi kwenye sekta ya maendeleo ya viwanda na kama wao wangehesabia cherehani ni kiwanda wangekuwa wapi leo hizi cherehani tunazoziona ni kiwanda hapa nchini utakuta ni kitu kilichotumiwa miaka hata 50 iliyopita eti sisi leo tunashtuka na kukumbuka nacho ni kiwanda aibu sanaa tena mnoo
wakati huo wa miaka ya hamsini iliyopita huko amerca kulikuwa na waafrica wanatoa idea za kutengeneza pikipiki 🙂🙂🙂🙂 kwao
 
african are poor because are poor
kabla ya kuwekeza kwenye science ingeundwaga hata organisation of african scientist (OAS) na sio ile OAU kwa sababu hakuna faida mpaka leo yaani sijaona sector yoyote ya amerca ambayo mwanasayansi kutoka africa hajachangia idea pale na kufanikisha mzigo je wangechangiaga tu hizo idea huku africa bila hata kufanya naamin tungehisi tumeshaaendelea kabisa sio tunatumia muda mrefu na pesa ndefu huku AU, EAC, ETC bila mafanikio ila ndio hivyo jf hapa huwezi jeuza maji kuwa juice
Sisi waafrika sio masikinikiasi hicho unachokisema tuseme ni sawa ila huu mfumo tunao uona kuhusu viwanda haujaanza leo bara la afrika lilikuwa bara la kuchukua raw materials na wazungu hapa ndipo walifanya rafu na kujua kama wangewekeza viwanda vyao huku kuna siku na sisi tungeamka na kudai uhuru kwahiyo ndio maana huku waliweka vile viwanda vya awali ambavyo mpaka leo ndio tunapambana navyo tuvifufue angalia sehemu wazungu walipo wekeza viwanda vikubwa vya uwekezaji nadhani hata uchumi wake ni tofauti na wa kwetu

Kwahio kikubwa ni tujitahidi kuvifufua na kuleta mashine zenye teknolojia ya kisasa na si kusema au kufungua cherehani na kuita viwanda eti hadi mashine ya popcorn aise Afrika king of dramas
 
ni ukweli ila nae ni hivyo hivyo alianza kuifanyia kazi united state
nadhani wanaenda mahala ambapo kunaPLATFORM nzuri ya wao kujiendeleza.
Kwa mfano pamoja na akili nyingi na uvumbuzi wako uweje huwezi kuwa exceptional kwa kutegema maabara za mfano COICT, ukilinganisha mtu huyohuyo akiwa MIT.

Na watu kwenda marekani sio waafrika, wenda kuna mazingira bora ya wao kufanya mambo makubwa.
 
ufike wakati nchi zetu ziwe na sera nzuri zitakazowavutia wataalamu wetu kurudi nyumbani lakini sisi Africa tumekomaa na blah blah tu
fact sisi tunawaangalia wenzetu kwenye luninga tuuu na kusoma historia za wakina vasco dagama wakati wenzetu wanaasoma historia einstein alikomea wapi kwenye experiment zake ili waziendeleza na kugundua mambo
 
Kama unataka kuwajua watanzania lete biashara yako hapa.kamuulize dangote mwezi wa tatu huu kiwanda kimesimama
 
Kwahio kikubwa ni tujitahidi kuvifufua na kuleta mashine zenye teknolojia ya kisasa na si kusema au kufungua cherehani na kuita viwanda eti hadi mashine ya popcorn aise Afrika king of dramas
mheshimiwa wa chato akikunyaka hakuna rangi utakayoacha kuiona yeye anawekeza kwenye bombadier na mwendokasi ndio anaitaa hayo ni maendeleo

tatizo pesa za kufungua hivyo viwanda zinatoka wapi yaani kumuweka mtanzania afanye kazi kwenye hicho kiwanda atahitaji pesa ndefu bila kujua kuwa pesa itakuja pale kiwanda kitakapo kuwa kikubwa yaani ingekuwaga watu wanakubali kufanya kazi kwa umoja kama china tusingekuwa hapa au mfano mwingine tungejituma kama kipindi kile tunalimishwa na kuchonga reli ya mkoloni tusingekuwa hapa
 
nadhani wanaenda mahala ambapo kunaPLATFORM nzuri ya wao kujiendeleza.
Kwa mfano pamoja na akili nyingi na uvumbuzi wako uweje huwezi kuwa exceptional kwa kutegema maabara za mfano COICT, ukilinganisha mtu huyohuyo akiwa MIT.

Na watu kwenda marekani sio waafrika, wenda kuna mazingira bora ya wao kufanya mambo makubwa.
ni ukweli sasa mtu kama huyo tungemtumia africa akafanya utafiti kila kona ya africa na kuleta ptroleum site tukazilinda fresh tukajikokota na kuanza kudrill tusingefikirika leo sema saivi tayari kakata uraia wa united state
 
kwani wangebaki kwenye nchi zao wakayafanya hayo waliyoenda kufanya kwenye mataifa makubwa si ipo siku kazi za mikono yao zingewalipa au tuseme wana tamaa ya pesa?

Mkuu wengine wanakua na tamaa ya pesa ila pia ku-conduct research kuna changamoto nyingi ikiwemo za kipesa na nchi nyingi Africa hazina budget yakusupport hizo research
 
Kama unataka kuwajua watanzania lete biashara yako hapa.kamuulize dangote mwezi wa tatu huu kiwanda kimesimama
fact ila uanajua kuna waafrica ni washauri wa kiuchumi amerca , japan na englad lakini ukiangalia walipotoka ni shida hapa ndio tunasema mtu anajaribu kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzake wakati kwnye jicho lake ameshindwa kutoa
 
Sijamuona mtoto wa kighoma malima hapo,maana nae ni mwanasayansi mvumbuzi kule USA.

Hapa kama serikali haitengi fedha za R&D wataalamu lazima walale mbele tu.

Nchi zingine kwenye vyuo vikuu ndo vitu hugunduliwa na kutengezwa,
kenya wao wameanza kujitambua na wanatenga pesa za Research and development ndo maana sasa wanavyuo wanaunda satelaiti,gari etc.

Sisi tuko busy kucontain post za facebook
 
Tunaweza kusema hawana tamaa ya pesa na utakuta asilimia kubwa ya hao hapo hawajasoma nchini kwao,sasa kama mtu amesoma mambo ya anga na kurusha space objects huko juu na ni mzaliwa wa Uganda je lini uganda itaweza kugharamia utengenezwaji hata wa satellite yake yenyewe au kuweza kufanya utafiti wa anga na kuleta takwimu nchini kwao kikubwa ni kwamba waafrica tunapewa nafasi ya kwenda kusoma nchi zilizoendelea vitu ambavyo ni vikubwa na vinatakiwa maandalizi mazuri yakifedha na miundombinu lakini nchi zetu hazitaki kuwekeza kwenye hayo mambo ambayo sisi tunayasoma sasa utakuta mtu kama huyo au hao hawawezi kurudi nchi zao kinachotokea anachukuliwa na nchi zilizojipanga na asilimia kubwa huwa wanajitahidi pindi wanapopata hizo nafasi.

Kwahio tujipange tuu ili wasomi pindi wanapomaliza wawe na uhakika na mtu unakuta anashauku kweli ya kuisaidia nchi yake sema ndo hivyo hatuna hiyo miradi wala fedha za kuwekeza
Fact ""
 
Ni sawa ila nchi za africa mara nyingi hazigharamii michango ya watu wanaosoma labda wao wanakuwa kama daraja la wewe kwenda huko ila sio mbaya tukisema wanagharamia,Lakini kama tunataka warudi nchi zao au bara la Africa basi tujiandae kuwekeza fedha kwenye hiyo miradi na si prpaganda tena usije ukashangaa wanarudi huku kazi yao inakuwa kila siku semina za kuaandaa wanasayansi chipukizi,watu kama hao wakirudi wanatakiwa waanze kutupa maarifa yao asilimia kubwa kwa vitendo maana hii ni sekta ya sayansi uliyoielezea sasa kama wakija na kuanza maneno sidhani kama tutafika tutabaki kuwasikia na kuwapongeza huku wakiinua nchi walizoenda kusoma au kuajiriwa
very true mkuu""
 
Sijamuona mtoto wa kighoma malima hapo,maana nae ni mwanasayansi mvumbuzi kule USA.

Hapa kama serikali haitengi fedha za R&D wataalamu lazima walale mbele tu.

Nchi zingine kwenye vyuo vikuu ndo vitu hugunduliwa na kutengezwa,
kenya wao wameanza kujitambua na wanatenga pesa za Research and development ndo maana sasa wanavyuo wanaunda satelaiti,gari etc.

Sisi tuko busy kucontain post za facebook
fact sisi tumegundua kucomment picha kwa kasi fb joke


inabidi tujitathimini na sio siasa kwenye maendeleo huku vitendo ni finyu
 
nchi kama marekani ilitumia takribani miaka 80's mpaka nayo inajitambua na kujiona imeendelea na hawakutaka kupiga propaganda nyingi kwenye sekta ya maendeleo ya viwanda na kama wao wangehesabia cherehani ni kiwanda wangekuwa wapi leo hizi cherehani tunazoziona ni kiwanda hapa nchini utakuta ni kitu kilichotumiwa miaka hata 50 iliyopita eti sisi leo tunashtuka na kukumbuka nacho ni kiwanda aibu sanaa tena mnoo
Nakazia '""
 
Back
Top Bottom