Francis3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 462
- 1,629
- Thread starter
- #21
african are poor because are poorsidhani si wanajua kabisa wakiwaita na wao watakula wapi wakati wanataka washibe waoo
kabla ya kuwekeza kwenye science ingeundwaga hata organisation of african scientist (OAS) na sio ile OAU kwa sababu hakuna faida mpaka leo yaani sijaona sector yoyote ya amerca ambayo mwanasayansi kutoka africa hajachangia idea pale na kufanikisha mzigo je wangechangiaga tu hizo idea huku africa bila hata kufanya naamin tungehisi tumeshaaendelea kabisa sio tunatumia muda mrefu na pesa ndefu huku AU, EAC, ETC bila mafanikio ila ndio hivyo jf hapa huwezi jeuza maji kuwa juice