Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao?

Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao?

Africa hasa TZ hatujawahi kujali michango ya wanasayansi na wasomi wetu wengi tu kwa sababu ya siasa za majitaka kwa mfano
1.Yule aliyetengeneza helcopta yuko wapi
2.Tabora kuna watengeneza bunduki wa kienyeji sanasana utafungwa,
3.Yule mhaya wa buguruni aliyetengeneza gari kasaidiwa nn
4. Yule mama wa NIMR kwetu hana faida sasa wanaojua elimu yake wamemdaka juu kwa juu

wapo wengi ila siasa zetu ndo kikwazo cha maendeleo hata mimi ningekuwa mgunduzi ningesasepa long time
Nakubaliana na wewe 100%. Tatizo la nchi zetu za Afrika tunaamini kwenye ramli na uchawi. Uchawi wa kisayansi (ugunduzi) kwetu ni kosa. Hebu tembelea mabanda ya Sabasaba au Nanenane uone wagunduzi wa Kitanzania wanavyoangaika. Hebu fikiria kwa mfano, kile kikundi kutoka Bagamoyo kinachotengeneza mkaa wa kupikia au wale wa kutoka Songea wenye kutengeneza majiko ya ktumia makaa ya mawe kutoka Liganga, vinasaidiwaje? Hebu waone Nyumbu (wanajeshi watengeneza magari), wanasidiwaje? Yule kijana aliyetengeneza ndege isiyokuwa na rubani, COTEC au TANTRADE wamesaidiaje? Na wengine wengi!
 
sakata la Dr/Profesa Masau RIP, bingwa wa upasuaji wa MOYO aliyea amua kuiacha kazi yake nzuri kule MArekani na kuja nchini mwake Tanzania na kila nikikumbuka masahibu alioyapata kuanzia lile jingo la TAZARA mali ya NSSF hua najikuta nawachukia sana wana siasa wa Tanzania hasa wa ccm, mmoja bila aibu alizungumza BUNGENI kwamba lazima Profesa Masau afukuzwe kwenye yale majengo na ikibidi wagonjwa wake wahame na drip zao to another hospital, huyu alikua profesa Juma Kapuya; mbaya zaidi eti vifaa vyake alivyo viagiza kwa pesa nyingi huko ughaibuni na vyenyewe serikali ilishindwa kumsaidia kuvitoa bandarini. Ninapo kumbuka haya na then niione hiyo statement yako hapo juu, natamani KULIA. Africa itaendelea kua masikini kwasababu ya viongozi au wana siasa tulionao madarakani, kwao vyama vyao ni muhimu kuliko nchi zao. Niishie hapo, nisije nikatukana bure.
hakika umetoa point kubwa hata mimi nakubaliana na wewe ni kitu cha kushangaza sana kama profesa kabisa anakitolea kufanya kazi lakini anazalilishwa kwenye nchi maskini wakati mwanzo alikuwa anaheshimika kwenye mataifa yaliyoendelea hakika tanzania inabidi kubadlilika
 
Africa hasa TZ hatujawahi kujali michango ya wanasayansi na wasomi wetu wengi tu kwa sababu ya siasa za majitaka kwa mfano
1.Yule aliyetengeneza helcopta yuko wapi
2.Tabora kuna watengeneza bunduki wa kienyeji sanasana utafungwa,
3.Yule mhaya wa buguruni aliyetengeneza gari kasaidiwa nn
4. Yule mama wa NIMR kwetu hana faida sasa wanaojua elimu yake wamemdaka juu kwa juu

wapo wengi ila siasa zetu ndo kikwazo cha maendeleo hata mimi ningekuwa mgunduzi ningesasepa long time
hao wamemodify hawajatengeneza kwa hao unaweza kutengeneza kiwanda cha magari au ndege kisa wamemodify ndege jibu nadhani ni hapana
 
Mimi siwajui. Na wataalamu wachache ninaowajua wamejikita kwenye social science.
angalia hizi nchi za sub sahara baada ya hapo cheki list ya wanasayansi utawaona
Firefox_Screenshot_2018-05-17T14-56-12.028Z.png
 
SIASA......

Pia huku kwetu, ukigundua kitu, kwanza lazima uwekwe ndani.... wakati wenzetu wanatengeneza mazingira ya kukufanya ulichogua kiwe bora zaidi

Niambi wanaotengeneza magobole yanayowakuta....
 
HII NI LIST YA WANASAYANSI KUTOKA AFRICA NA KAZI WANAZOZIFANYA KWENYE MATAIFA MAKUBWA

EGYPT
1. Euclid of Alexandria
huyu ni founder wa geometry ni mzaliwa wa egypt
amefanya kazi katika European Space Agency's (ESA) na ameunda euclid space craft
220px-Euklid-von-Alexandria_1.jpg


2. Sameera Moussa
huyu ni ni mwanafizikia aliyebobea kwenye maswala ya nyukilia na ni mzawa wa egypty ana doctorate ya atomic radiation na alifia huko California, united state
220px-SameeraMoussa.jpg


3.Ahmed Hassan Zewail
Huyu ni wa Egypt ni mwanzilishi wa femtochemistry anafanya kazi amerca
185px-Ahmed_Zewail_HD2009_Othmer_Gold_Medal_portrait.JPG


Eritrean
1. Haile Debas
huyu ni mfanya sugery, mwanafizikia na ni academic adminstrator katika chuo kikuu cha California ni mzawa wa africa

Carthage
1. Abbas Ibn Firnas
huyu ni mwanafizikia mchemia na engineer alifanya kazi huko spain ila ni mzawa wa carthage africa

Morocco
1. Rachid Yazami
huyi ni morocan alifanya research kuhusu lithium battery na graphite anode anafanya kazi katika French National Centre for Scientific Research (CNRS) ni wa kwaza kugundua intercalation ya lithium kwenye graphite katika electrochemical cell
220px-Rachid_Yazami_2011.JPG

Ethiopean

1. Sossina M. Haile

huyu ni profesa na mchemia pia ni mwanafizika na ni mhandisi anafanya kazi california instute of technology huyu aligundua solid acid fuel cells

2. Kitaw Ejigu
Ethiopian engineer and Chief of Spacecraft and Satellite Systems engineer at NASA.
KENYAN
1. Calestous Juma
Huyu ni professor pia ni mfanya kazi katika havard university ni mzawa wa kenya

MALI
1. Cheick Modibo Diarra
Huyu ni aerospace engineer amechangia kukamilika kwa mission nyingi za NASA mfano kupatikana kwa njia ya kwenda kwenye sayari ya mars , galileo space craft na kuchunguza sayari ya mars
NIGERIAN
1. John Uzo Ogbu
huyu ni professor alikuwa anachunguza maswala ya intelligence kuendana na rangi ya ngozi (race) inasemekana alikuwa na IQ kubwa ni mzawa wa nigeria lakini alikuwa anafundisha na kuishi California

2. Bisi Ezerioha

huyu ni professor, engeneer huyu ndie mgunduzi na mtengenezaji wa honda pia ameshiriki katika utengenezaji wa Hyundai Motor America mhshimiwa huyu pia anatengeneza injini za magari pia
220px-Bisi_before_a_race-_2013-09-24_11-08.jpg


SOUTH AFRICA

1. Aaron Klug
Huyu ni mchemia na biophycist alijishindia tuzo kwa kugundua crystallographic electron microscopy pia amegundua structure ya tobacco mosaic virus huyu ni director wa maabara ya molecular biology huko cambridge

2. Sydney Brenner
huyu amebobea kwenye genetic alipata tuzo noble prize kwenye phsiology or medicine anafanya kazi kwenye maabara ya molecular biology huko cambridge england pia ni mwanzilishi na mmiliki wa California instute of molecular bilology kwa kipindi cha maisha yake

3. Christiaan Barnard
huyu ni mpasuaji bingwa wa moyo pia alifanikiwa kuhamisha moyo kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa mara ya kwanza duniani hajareportiwa sehemu aliyokuwa anafanyakazi nnje ya africa lakini alionekana kuondoka sana africa na alikufa mwaka 2001

SUDANI
1. Mohammed Ibrahim
Huyu engineer na ni billionaire pia aliwahi kuishi british na kufanya kazi huko katika vitengo vya telecomunication aliajiriwa na british telecom huyu ni mwanzilishi wa mtandao wa celtel
220px-Mo_Ibrahim.jpg


2. Ali M. El-Agraa
huyu ni mwanauchumi bingwa amefanya kazi british, usa, na japan nchi ambazo sasa zinaonekana kukua kiuchumi mno

200px-Editing_Ali_M._El-Agraa.JPG


3. Mohamed Osman Baloola
huyu ni biomedical engineer pia ni mtafiti na mwendesha research kuhusu diabetes anafanya kazi uarabuni katika Ajman University of Science and Technology

220px-Mohamed_Osman_baloola.jpg

TANZANIA
1. Felix A. Chami
Felix A. Chami is an archaeologist from Tanzania. He is a professor at Dar es Salaam University. Dr. Chami discovered, on the island of Mafia and Juani, artefacts that revealed East Africa as being integral to the Indian Ocean trade huyu yupo africa na anafanya kazi africa alichogundua imebidi nikiweke kwenye lugha ya fumbo ili mjiulize kwanini kabaki africa
220px-Professor_Felix_Chami.jpg

UGANDA
1. Kwatsi Alibaruho
Huyu ni director wa kurusha vifaa vya anga anafanya kazi National Aeronautics and Space Administration (NASA) alishadirect human spaceflight mwaka 2005 pia anahusika kumanage na kucarry space shuttle flight
220px-Kwatsi_Alibaruho_-_flight_director.jpg

AFRICA TUNA LIST YA WANASAYANSI WENGI AMBA O NI WAZAWA WA AFRICA LAKINI SASA WANAYATUMIKIA MATAIFA MAKUBWA BADALA YA TAIFA LAO PIA WENGINE WANAONEKANA KUTAFUTA URAIA KWENYE MATAIFA HAYO

1. Je hii ni akili na wanasababu mdhubuti kufanya hivyo? je kuna watu wa mataifa makubwa kama amerca wanakuja kulitumikia tafa dogo africa?

2. Je tukisema waafrica wanatamaa ya pesa na si wazalendo wa nchi zao tunakosea? unafikiri hawa wanasayansi wangefanya kazi kwenye mabara yao africa tungekuwa bado maskini?

3. Je unafikiri hawa wanasayansi wangefanya kazi africa kungekuwa na mgogoro mkubwa na mataifa makubwa na huenda wangefanikiwa kuwaua?

4. je wanasayansi wa africa wanalazimishwa kufanya kazi kwenye mataifa makubwa na kutishiwa kuuliwa hivyo wanaogopa kufa



ILA NIMEGUNDUA WANASAYANSI WENGI WA KIAFRICA WANAOJULIKANA DUNIA NA NI WAZAWA WA SOUTH AFRICA BADO WANAFANYA KAZI SOUTH AFRICA JAPO SIJAWAWEKA KWENYE LIST HAPO

UMEGUNDUA NINI? africa tunajiona tuna wanasayansi wengi lakini wanaofahamika ulimwenguni pote ni wachache mfano kwa tanzania anafahamika mmoja kwani tunamaporofesa wangapi kwenye vyuo vyetu je wametendewa haki kutotajwa kwenye hii list?


nawasilisha
ukitaka kujua wanapo pote uko.hizi scolaship mara nyingi utaka pure ndo kuhiba moja kwa moja na kumfanya asiwe na mawazo tena
 
hizo pesa zinazalishwa na hao hao wanasayansi wanaofanyishwa kazi kwanini wasizizalishe africa then wazitumie
hahahaaa kaka ingekuwa hvyo si karibu kila nchi ingekuwa mbali? maana siamin kama kuna nchi isio na wataalamu
 
hahahaaa kaka ingekuwa hvyo si karibu kila nchi ingekuwa mbali? maana siamin kama kuna nchi isio na wataalamu
tatizo wanasayansi wanaoachwa kwenye zile nchi zinazotaka kuendelea ni makapi unakuta mtu ni engeneer lakini hana hata uwezo wa kumiliki au kuendesha kiwanda cha kutengeneza vijiko vya kulia chakula
 
tatizo wanasayansi wanaoachwa kwenye zile nchi zinazotaka kuendelea ni makapi unakuta mtu ni engeneer lakini hana hata uwezo wa kumiliki au kuendesha kiwanda cha kutengeneza vijiko vya kulia chakula
mkuu mbn kuna wengine ni waalimu by profession wanalia njaa mtaani kwann hawajafungua shule wapige pesa? nadhan unaweza ukajua kwann hao mabwana hawawez hata kutengeneza vijiko, hio ndio shida kuu mkuu,
 
mkuu mbn kuna wengine ni waalimu by profession wanalia njaa mtaani kwann hawajafungua shule wapige pesa? nadhan unaweza ukajua kwann hao mabwana hawawez hata kutengeneza vijiko, hio ndio shida kuu mkuu,
mwalimu kwanza ndio anatakiwa awe ni mfano kwakuwa na maarifa na mbinu za kupata pesa si kulia njaa mtaani sasa kama anakosa maarifa atamfundisha nini huyo mwanafunzi ili nae apate maarifa na awe mgunduzi wa mambo makubwa

kikubwa bado walimu wetu tanzania wanasoma theory na hawana hizo skill za ualimu huwezi walinganisha na walimu wa huko kwa wenzetu hivi unafikiri kuwa mwalimu si lazima ukafundishe wanafunzi darasani? hata jamii inayokuzunguka unaweza kuifundisha na ikakuelewa na huenda mkafanya kitu cha maendeleo
 
mwalimu kwanza ndio anatakiwa awe ni mfano kwakuwa na maarifa na mbinu za kupata pesa si kulia njaa mtaani sasa kama anakosa maarifa atamfundisha nini huyo mwanafunzi ili nae apate maarifa na awe mgunduzi wa mambo makubwa

kikubwa bado walimu wetu tanzania wanasoma theory na hawana hizo skill za ualimu huwezi walinganisha na walimu wa huko kwa wenzetu hivi unafikiri kuwa mwalimu si lazima ukafundishe wanafunzi darasani? hata jamii inayokuzunguka unaweza kuifundisha na ikakuelewa na huenda mkafanya kitu cha maendeleo
ndo hvyo mkuu kikubwa tusiache kupambana kwakuwa hii hali tunayopitia hata wao walipitia pia enzi zao,tusione aibu kukazania elimu kilimo na viwanda vdg vdg huko kwngne tufnye taratibu
 
Back
Top Bottom