Wanasema mimi ni Shetani na pia ninahofia maisha yangu yapo hatarini hapa UK

Wanasema mimi ni Shetani na pia ninahofia maisha yangu yapo hatarini hapa UK

Ubalozini nilienda juzi lakini kwa ajili kuomba emergency travel document. Hili swala sijawai kulipeleka ubalozini. Sababu moja kubwa inayonitatiza ni kuonekana ni ugonjwa wa akili
Embu njoo pm nikusaidie ndugu
 
Mkuu Kaveli
Kuna mambo ambayo nimejifunza kwenye ili swala langu;
1)Wakati sisi priority yetu ni kujiboresha sisi na familia zetu. Wenzetu PIA wanaangalia kuboresha mazingira ya vizazi vyao vijavyo. Mfano, sisi tunaweza kupewa pesa ambazo zitasaidia kununua gari zuri au nyumba tukafanya maamuzi ambayo yataleta matatizo katika vizazi vyetu vijavyo.
2)Nimejifunza watu fulani kama swala fulani linaweza kuwafaisha wao, vizazi vyao, nchi yao au bara lao. Kutoka kwa vizazi fulani. They can join forces, turn a blind eye, breaking some their laws etc
3)Watanzania wengi hasa waliopo London hawajichanganyi sana watu wengine. la sivyo ili swala lingekuwa limeshafika uku.
4)Tamaa ya pesa ndio inatuangusha sana sisi weusi
5) Kama unataka kumwumiza mtu kwenye mambo ambayo yatakuwa hayana ushahidi wa moja kwa moja. Fanya kampeni kwanza mfano kumwita PARANOIA. Chochote hatakacho kuja kusema hapo baadae kitakuwa dismiss kirahisi

Hiyo inaweza ikawa kweli kwa kiasi fulani, hiyo ya kujijali ni human nature and behaviour. Sema wenzetu wamefauli (especially westernworld) kudhibiti tabia za mtu mmoja mmoja au kikundi kwa kuweka sheria ambazo lazima zifuatwe. Matokeo yake tabia zikawa kwenye mstari mmoja.
Hilo la mtu mmoja kuharibu au kutia hasara kizazi baada ya kizazi, linafikirisha sana.
 
Ukija huku ndio utaokota na kopo barabarani, nenda hospitali ukaangaliwe afya ya akili.
Kuokota makopo ni title sasa hivi ni ajira mkuu, usikariri maisha.
Tafuta neno mbadala la hao 'wendawazimu' pamoja na wehu.
 
Mkuu, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ulichokiongelea hapo kuhusu kusingizia ugonjwa wa akili ili wanirudushe. It is quite opposite na sheria za hapa zilivyo. Ukiwa na ugonjwa wa akili inawapa shida immigration kukuondoa. Na sidhani kama kuna nchi yoyote inaweza kumrudisha mtu kwao kwa sababu ya ugonjwa wa akili
Since you happen to be aware of your own mental health challenges, then why the heck aren't you seeking professional help but instead going around venting about it on a public forum? What's the point?
 
Since you happen to be aware of your own mental health challenges, then why the heck aren't you seeking professional help but instead going around venting about it on a public forum? What's the point?
Could you please point out where I mentioned my mental health in the quoted post? I am unable to find the specific reference.
 
Mkuu, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ulichokiongelea hapo kuhusu kusingizia ugonjwa wa akili ili wanirudushe. It is quite opposite na sheria za hapa zilivyo. Ukiwa na ugonjwa wa akili inawapa shida immigration kukuondoa. Na sidhani kama kuna nchi yoyote inaweza kumrudisha mtu kwao kwa sababu ya ugonjwa wa akili
Kama wamekufanya sample wangekupaje ruksa utoke eneo la mbali?

Nafikiri wangegoma sababu ukirudi bongo mionzi haitafika.
 
Baada ya muda mrefu kunyanyaswa, kubaguliwa, kudharauliwa na mengine mengi. Leo ndio nimedhibitisha kuwa wanaamini mimi DEVIL hapa UK.

Niliwahi kufungua huu uzi: Yanayonikuta London (UK)
Nilielezea kwa kifupi kwamba nimekuwa nina tumiwa waves ambazo nina hisi kama electrical shocks na sharp needle pain. Hii baadae imekuja kuwa worse. Zina sababisha fuvu la kichwa kinauma na inabidi nitumie dawa za maumivu.

They are enjoying torture me. Mapaka nimeishia kulala kıla sehemu.

Nina hasira sana na hii.
Ukikaribia kufa tutumie picha ili ukifa tukupost mwanetu
 
wewe mtoa mada umeona jinsi wabongo walivyokuwa wajinga ni wengi na umewakamata hasa
 
Back
Top Bottom