Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
- Thread starter
- #161
Yaani umeandika kama vile unanijua. Documents ninazo.Ataendaje hospital wakati hana documents?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani umeandika kama vile unanijua. Documents ninazo.Ataendaje hospital wakati hana documents?.
Embu njoo pm nikusaidie nduguUbalozini nilienda juzi lakini kwa ajili kuomba emergency travel document. Hili swala sijawai kulipeleka ubalozini. Sababu moja kubwa inayonitatiza ni kuonekana ni ugonjwa wa akili
Habari hii Ina funza
Mkuu Kaveli
Kuna mambo ambayo nimejifunza kwenye ili swala langu;
1)Wakati sisi priority yetu ni kujiboresha sisi na familia zetu. Wenzetu PIA wanaangalia kuboresha mazingira ya vizazi vyao vijavyo. Mfano, sisi tunaweza kupewa pesa ambazo zitasaidia kununua gari zuri au nyumba tukafanya maamuzi ambayo yataleta matatizo katika vizazi vyetu vijavyo.
2)Nimejifunza watu fulani kama swala fulani linaweza kuwafaisha wao, vizazi vyao, nchi yao au bara lao. Kutoka kwa vizazi fulani. They can join forces, turn a blind eye, breaking some their laws etc
3)Watanzania wengi hasa waliopo London hawajichanganyi sana watu wengine. la sivyo ili swala lingekuwa limeshafika uku.
4)Tamaa ya pesa ndio inatuangusha sana sisi weusi
5) Kama unataka kumwumiza mtu kwenye mambo ambayo yatakuwa hayana ushahidi wa moja kwa moja. Fanya kampeni kwanza mfano kumwita PARANOIA. Chochote hatakacho kuja kusema hapo baadae kitakuwa dismiss kirahisi
Kuokota makopo ni title sasa hivi ni ajira mkuu, usikariri maisha.Ukija huku ndio utaokota na kopo barabarani, nenda hospitali ukaangaliwe afya ya akili.
Since you happen to be aware of your own mental health challenges, then why the heck aren't you seeking professional help but instead going around venting about it on a public forum? What's the point?Mkuu, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ulichokiongelea hapo kuhusu kusingizia ugonjwa wa akili ili wanirudushe. It is quite opposite na sheria za hapa zilivyo. Ukiwa na ugonjwa wa akili inawapa shida immigration kukuondoa. Na sidhani kama kuna nchi yoyote inaweza kumrudisha mtu kwao kwa sababu ya ugonjwa wa akili
Amini sana katika Mungu, thou nyie wa ulaya Huwa mnahisi ni kama Mungu alibaki afrika, mnapolomoka Sana imani,Ila Mungu Akupe neema yakeNiombee uzima mkuu. Mengine baadae
Hakika, nimeelewa hivo piaMaana amesema aliwahi kufanya kazi kwenye health institution hapo UK so kuna probability wamemfanya kama Guinea pig katika clandestine research bila yeye kujua
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Could you please point out where I mentioned my mental health in the quoted post? I am unable to find the specific reference.Since you happen to be aware of your own mental health challenges, then why the heck aren't you seeking professional help but instead going around venting about it on a public forum? What's the point?
Kama wamekufanya sample wangekupaje ruksa utoke eneo la mbali?Mkuu, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ulichokiongelea hapo kuhusu kusingizia ugonjwa wa akili ili wanirudushe. It is quite opposite na sheria za hapa zilivyo. Ukiwa na ugonjwa wa akili inawapa shida immigration kukuondoa. Na sidhani kama kuna nchi yoyote inaweza kumrudisha mtu kwao kwa sababu ya ugonjwa wa akili
Uru KishumunduUK ukimaanisha Ukonga au?
Ukikaribia kufa tutumie picha ili ukifa tukupost mwanetuBaada ya muda mrefu kunyanyaswa, kubaguliwa, kudharauliwa na mengine mengi. Leo ndio nimedhibitisha kuwa wanaamini mimi DEVIL hapa UK.
Niliwahi kufungua huu uzi: Yanayonikuta London (UK)
Nilielezea kwa kifupi kwamba nimekuwa nina tumiwa waves ambazo nina hisi kama electrical shocks na sharp needle pain. Hii baadae imekuja kuwa worse. Zina sababisha fuvu la kichwa kinauma na inabidi nitumie dawa za maumivu.
They are enjoying torture me. Mapaka nimeishia kulala kıla sehemu.
Nina hasira sana na hii.
🤣🤣🤣Hapo ndio ikaja possibility ya kuwa inawezekana wanatumia app na mobile rear camera ku emit waves.
😂😂😂Umeshawahi kuwa na line mbili za simu zipo kwenye handset tofauti. Halafu simu yako moja inajipiga yenyewe kuipiga namba yako nyingine