Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

Joined
Dec 13, 2023
Posts
67
Reaction score
238
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
 
Mkuu mamako anatafuta kupendwa sehemu ambayo hakupanda upendo.
Usiingie kwenye mtego wa kutaka kuonesha kuwa yeye ni muhimu sana kwenye maisha yako.Alichopanda anayo haki ya kuvuna.
Hakikisha msingi wa maisha yako hautegemei hisia za watu wengine.
Amua na kufanya unachoona ni sahihi kwako na hauvunji sheria za nchi.
 
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
"Mpende adui yako Muombee anayekuudhi".wewe hujui kilichomtoa mama yenu hapo nyumbani.usitake akusimulie maana unaweza ukampiga baba yako.ameamua kunyamaza ili muendelee kumheshimu baba yenu.Wewe hujiulizi kwa nini aliamua kuondoka na watoto wa kike tuu akawaacha nyinyi wa kiume.Huyo ni mama yenu yaani hamna mama mwingine.Endeleeni kumtia moyo ili amalize maisha yake yaliyobaki kwa amani
 
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Bond tokea zamani haipo,ni mtihani sana watoto kama ninyi maana mnaweza kusaidia watu baki ambao umejuana nao ukubwani na wala hauna undugu nao lakini mnakuwa wagumu kusaidia mama zenu.

Sio ajabu umewahi kumfanyia mtu baki wema ambao hata huyu mama yako haujawahi kumfanyia..

Sio ajabu una washikaji(sio ndugu)unawasiliana nao mara kwa mara ila kuwasiliana na mama yako aaaaa.

Mama yako ni mwema sana,angekuwa mbaya angeharibu mimba yako na leo ungekuwa umeshakufa kitambo.

Kilichopo ni kwamba unamchukia mama yako,una sumu rohoni juu ya mi maza.

Kama unaweza kutengeneza bond na kuzoeana na watu wengine huko chuoni wakati huu ukiwa mkubwa basi vipi ushindwe kutengeneza bond na kuzoweana na mama yako ?

WAtu wa hovyo kabisa
 
Humchukii Mama yako.
Ila hamna Bond, connection.

NI hali ya kawaida.
Usijaribu kuibadilisha Kwa sababu Hali hiyo imejengwa Kwa Miaka mingi.

Kama wanakulaumu Sana kiasi kwamba unaona mzigo funga Vioo.

Ikiwa wewe huwalaumu Kwa nini waô wakulaumu?

Umama au Ubaba siô kitu. Upendo na bond hauna uhûsiano wowote na mambo ya DAMU au Mzazi sijui mama sijui Baba.
Upendo hujengwa na mazoea na kuwa pàmoja.

Ushauri, usimlaumu Wala usiitumia Nafasi hiyo kulipa kisasi
 
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Mzazi ni mzazi tu hata akiwa na mapungufu yake ila ndio aliokuweka tumboni kwake miezi tisa lazima umpende kwa hali zote
Na hujui alivyoathirika kisaikolojia alivyopewa talaka na baba yako kwa hiyo mpende na mjali mama yako huyo ndio mungu wako wa duniani
 
Mzazi ni mzazi tu hata akiwa na mapungufu yake ila ndio aliokuweka tumboni kwake miezi tisa lazima umpende kwa hali zote
Na hujui alivyoathirika kisaikolojia alivyopewa talaka na baba yako kwa hiyo mpende na mjali mama yako huyo ndio mungu wako wa duniani

Hakuna uhûsiano wa Upendo na kumzaa Mtu.
 
Back
Top Bottom