Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Moyo wa mtu umeumbwa kumpenda anaemfanyia wema.
Hali unayopitia hauko nayo peke yako ila ndo hivyo Mama ni mama kwa sisi watu wa Imani Mama mbele ya Mungu ananafasi ya upendeleo ya kutendewa haki na kuhurumiwa mara 3 zaidi ya Baba.
Tunapitia changamoto nyingi tujaribu tu kuzisamehe na kuwatendea wema wazazi wawili.
Hali unayopitia hauko nayo peke yako ila ndo hivyo Mama ni mama kwa sisi watu wa Imani Mama mbele ya Mungu ananafasi ya upendeleo ya kutendewa haki na kuhurumiwa mara 3 zaidi ya Baba.
Tunapitia changamoto nyingi tujaribu tu kuzisamehe na kuwatendea wema wazazi wawili.