Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

We shida yako ni nini mbona unahitaji nijue kwamba we ni empty set unaendeshwa na mihemko,ebu achana na mimi
Huna hadhi ya kubishana na mimi,kajifunze kwanza kuandika.
Nisamehe Sana me mwenye sio Tabia yangu ya kuwajibu wajinga wajinga kama we imekuwa mara ya kwanza na imekuwa bahati kwako uwenda ikakusaidia kubadilisha mtazamo wa akili yako mbovu
 
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Hata usipomjali ni haki yako tu.
 
Kipindi cha utoto Mzazi ndîo ana umuhimu Mkubwa.
Uzee siô Umri wa kuona umuhimu wa waliokuzaa Bali NI Umri wa kuweka Sawa wale uliowazaa(waliotoka kwako)

Mtoto anahitaji Malezi na kukuzwa na Mzazi.
Mzee atahitaji kitu gàni Kwa Mzazi wake Wakati wôte washazeeka?
Huwezi ukaelewa kwakuwa bado unanuka maziwa.
 
Wazazi wa hivi inabidi umtake akueleze sababu za yeye kukukimbia. Usipozielewa mteme mazima kwa sababu hakuna connection.
Seriously unamshauri hivi
Yaaan amteme mazima mamaake aisee

Dunia ya sasa kuna shida sehemu that's why tunapata tabu kila sector kuanzia mapenzi maradhi ridhiki yaan tabu tupu
Mana tunapoelekea huko ni hatari zaidi
Ikiwa mamaake hvyo je mtu baki si unaweza unaweza ukamshsuri hata amchinjilie mbali

Anyway mkuu The choosen one1
Sijajua kama wa imani ipi
Ila katika IMANI yetu ya KIISLAM ikiwa stuation kama hiyo tunarudishwa kwenye kisa cha NABII IBRAHIM
ama kisa cha mtume MUHAMMAD na AMMY(mjomba) ake alomlea

Nianze kisa cha NABII IBRAHIM (ABRAHAM)
Babaake NABII IBRAHIM alikuwa miongoni mwa wanaoabudu masanamu
Hivyo NABII IBRAHI wakati wa kulingania
kabla hajakwenda kumlingania BABAAKE
MWENYEZIMUNGU alimuambia NABII IBRAHIM
Ewe IBRAHIM pamoja ya kuwa BABAAKO ni muabudu MASANAMU lakini utakapokwenda kumlingani basi umueendee kwa ADABU NIDHAMU na HESHIMA
kuabudu yeye MASANAMU isiwe 7bu ya kumkosea HESHIMA 7bu yule ni BABAAKO

Hvyo kwa uchache wa hicho kisa
Kinatufundisha kuwa pamoja na YOTE wazazi wetu ni wazazi wetu haijarishi kama walikuwa WANGA WACHAWI ama walikuwa katika namna yoyote wakaumiza MIOYO yetu wakati ambao tunawahitaji still bado ni WAZAZI
tuwape kile wanachostaili kama WAZAZI
MWENYEZIMUNGU ndio mwenye kuhukumu

Hvyo mkuu@The choosen one1 jitahidi kwenda nae sawa mamaako kwa namna yoyote vile inavyowezekana bira kuumiza moyo wake
kwani MWENYEZIMUNGU ndio mwenye kujua yaliyo moyoni mwake

Muombee sana MAMA yako Umri mrefu na AFYA NJEMA
na kabla ya wewe au yeye Mauti hayajachukua OMBA sana kwa MWENYEZIMUNGU mpate kuwa sawa
Na mm nawaombea mpate kuwa sawa
Hii DUNIA tu tunapita vyoote tutaviacha
Haipaswi kuishi na CHUKI na VINYONGO
vinyongo vingi vinaleta maradhi amabayo yanafupisha MAISHA
FB_IMG_1727520899239_1.jpg
 
Hakuna kitu Kama hicho.
Wàpo Wanawake maelfu wametelekeza Watoto, Wengine wameua Kwa Kutoa Mimba na kutupa vichanga alafu unasema kitu gàni l.
Wadanganye wasiojua jinsi binadamu alivyo.

Mama au Baba huwa na uchungu na Mtoto aliyemzaa na kumlea na siô vinginevyo.
Tenà aliyelea anakuwa na uchungu zaidi ya Yule aliyezaa.

Kubeba Mimba hata Wanyama wanabeba,

Upendo na uchungu msingi wake Mkûu siô kuzaa Bali Malezi, Muda uliotumika kumkuza Mtoto ndîo unafanya thamani na Mzazi kuona uchungu Kwa Mtoto.

Fikra potofu Kabisa.
Na ongezea kidogo hapo.

Hata mtoto anapo fariki akiwa mdogo uchungu wake sio sawa na yule ulie mliea mpaka akafikia utu uzima.
 
Kama walikuwa na ugomvi na mume wake, kwanini baada ya kuondoka akakata mawasiliano na kijana wake wa kiume? Kijana wake ndio mume wake?

Kwani wapi umeona mleta mada analalamika mama yake kumuacha baba yake. Wazazi wamegombana, mama kamsusa mwanae wa kiume kaenda na wa kike na akakata mawasiliano na wa kiume. Sasa kwanini asitafutwe na wa kike aliokuwa anawasiliana nao tu?
Mama ni mama tuu.Sioni kama ni fahari sana kumzila mzazi wako kwa makosa.kuna watu walikataliwa na baba zao ila baadaye wakafanikiwa wakasamehe wazazi wao
 
Brother achana na huo uchafu unaokutafuta pale tu unaposikia either umefikia kilele cha mafanikio ya maisha yako au unakaribia kufikia kilele cha mafanikio ktk maisha yako.
Ishi maisha yako..ridhiki na baraka anazitoa Mungu pekee sio huu uchafu wa hapa duniani..
 
Mama ni mama tuu.Sioni kama ni fahari sana kumzila mzazi wako kwa makosa.kuna watu walikataliwa na baba zao ila baadaye wakafanikiwa wakasamehe wazazi wao
Hajaona fahari wewe hata hujamuelewa kazi kulaumu na kushutumu tu. Au umeona anajitapa na kujitamba kutokuwa na mahusiano mazuri na mama yake?

Wewe telekeza watoto uko uje na uswahili wa "mama ni mama" uone
 
Huwezi ukaelewa kwakuwa bado unanuka maziwa.

Nimekaa na Wazee.
Mtoto anamhitaji Mzazi
Mzee anahitaji Watoto kuona wakiwa wamefanikiwa.

Sasa Mzee anamiaka 60 atamhitaji vipi Mzazi mwenye Miaka 80 àmbaye umri wake WA kuishi Umeisha?

Labda kama unaongelea Hisia na maonî yako binafsi Sawa. Lakini Kwa Facts upo Mbali sana
 
Mkuu mamako anatafuta kupendwa sehemu ambayo hakupanda upendo.
Usiingie kwenye mtego wa kutaka kuonesha kuwa yeye ni muhimu sana kwenye maisha yako.Alichopanda anayo haki ya kuvuna.
Hakikisha msingi wa maisha yako hautegemei hisia za watu wengine.
Amua na kufanya unachoona ni sahihi kwako na hauvunji sheria za nchi.
Nimependa sana mchango wako, huwa nawaambia wazazi wote tu, wababa kwa wamama. Waleeni watoto wenu kwa upendo, sababu ndio mbegu unapanda utakayovuna baadae uzeeni nguvu zikikuisha.

Ona sasa mtoto anamuona mama kama mgeni tu, huwezi kumlaumu. Mama just seems to be a narcissist. Amuweke tu mbali
 
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Pole kwa changamoto unayopitia. Inawezekana mama yako alipitia hali ngumu alipohama na watoto wa kike, na hivyo kushindwa kudumisha mawasiliano na nyie. Jaribu kumuelewa na kuanzisha mawasiliano bila kuangalia sana yaliyopita. Ingawa hujawahi kuona juhudi kubwa kutoka kwake, unaweza kumjulia hali wewe kwanza. Usilaumu, bali jaribu kutafuta namna ya kuimarisha uhusiano wenu kwa sasa na baadaye. Kukarabati uhusiano na wazazi ni mchakato unaohitaji muda, uvumilivu, na juhudi zako binafsi. Kumbuka una Mama Mmoja tu.
 
Hivi kuna watu humu ambao wamezaliwa kwa dawa? Yaani uzazi ilikuwa shida hadi wazazi wao wakatumia madawa mpaka kuzaliwa kwao?
 
Pole kwa changamoto unayopitia. Inawezekana mama yako alipitia hali ngumu alipohama na watoto wa kike, na hivyo kushindwa kudumisha mawasiliano na nyie. Jaribu kumuelewa na kuanzisha mawasiliano bila kuangalia sana yaliyopita. Ingawa hujawahi kuona juhudi kubwa kutoka kwake, unaweza kumjulia hali wewe kwanza. Usilaumu, bali jaribu kutafuta namna ya kuimarisha uhusiano wenu kwa sasa na baadaye. Kukarabati uhusiano na wazazi ni mchakato unaohitaji muda, uvumilivu, na juhudi zako binafsi. Kumbuka una Mama Mmoja tu.
Nafikiria ilikuwa wajibu wa mama kipindi cha kutengana kuhakikisha mawasiliano na mtoto wake yapo, na yapo hai na vizuri
Hata kama baba alikuwa na mwanamke mwingine
 
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi

Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.

Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.

Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.

Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.

Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Ni swala la muda tu utakuwa sawa na mama yako Usijilaumu sana kwa hali iliyopo sasa.

Historia imeathiri jinsi unavyomwona mama yako. Jitahidi kujipa muda na kuwa tayari kufanya mabadiliko taratibu.

Anza taratibu kuwasiliana naye na usisubili yeye aanze wewe mtumie sms hata fupifupi za salamu.

Kuwa na subra na uwe na nia ya kuwa na mahusiano mapya na mama yako basi utapata amani ya ndani na kuimarisha uhusiano mpya na mama yako.
 
Back
Top Bottom