Wanasheria nisaidieni niweze kumpata mwanangu

Wanasheria nisaidieni niweze kumpata mwanangu

Ni miaka 7 (umri wa mtoto kuishi mbali na mama yake kisheria). Hakuna sheria wala mahakama (uamuzi wa mahakama) unaoelekeza iwe miaka 10. Na hiyo si Sheria ya Ndoa, ni Sheria ya Mtoto (1999). Yapo mazingira ambayo baba aweza ruhusiwa kumchukua mtoto katika (kwa amri ya mahakama) ktk umri wowote.
Katika hapo naomba kuuliza. Kwa mfano msichana na mvulana wanakutana na katika kufanya mapenzi anampa mimba na kuzaa mtoto mmoja. Wanaendelea anampa tena mimba na kupata mtoto wa pili. Baada ya hapo wanaachana na mama anaangaika na watoto wake bila kupata matumizi toka kwa baba. Watoto wanakua na kusoma kwenye mikono ya mama bila baba kujiangaisha kutoa matumizi.
Je kama hapo baadae akiolewa na mwanaume mwingine watoto wanaweza kuwa adopted na mwanaume aliyemuoa mama yao? Je huyu baba wa illegimate children (Non-marital children - lugha ya staha) anaweza kuja kudai watoto wake? Je mama akikataa kuna sharia inamlinda? Naomba msaada wa kisheria. Hii ni kwa wanasheria tu kama si mwanasheria husitoe maoni subiri wataaluma watupe ushauri wao
 
Nimeipenda hii Mkuu!

Mimi nimeshaanza kuitumia hii na sasa Weekend au likizo za shule mtoto anakuja kunitembelea....... Final ntamchukua kabisa coz Ilibidi nirudi kule nilipoanzia mwanzo.
Kama anakuja hadi kwako ina maana anatambua kuwa wewe ndo baba, sasa jichanganye eti umuibe ndo maza atakuwa mbogo. Mtoto kuja kwako ndo kiungo cha kumrejesha mkeo au ye humtaki.
 
Kama anakuja hadi kwako ina maana anatambua kuwa wewe ndo baba, sasa jichanganye eti umuibe ndo maza atakuwa mbogo. Mtoto kuja kwako ndo kiungo cha kumrejesha mkeo au ye humtaki.
Haimaniishi ntamuiba, means Ni rahisi kumtongoza mama ake Na kumwambia ukae Na mtoto!

Ilhari Kama hukuanza ulipoanzia ingekua ngumu.
 
ukiona anasema ivo juwa mtoto ajafikisha miaka 7 na kisheria mtoto akiwa na chini ya miaka Saba basi unakuwa chini ya uangalizi wa mama
 
Duh pole sana mkuu,,,Tumefanana kidgo japo mm mpka mzaz wa mwanamke aliingilia mm kunyimwa mtoto,lakin nilitumia busara na jeuri kdgo mpka nikafanikiwa,, mama wa mwanamke alinipiga biti na kusumbuliwa na polis kisa walikua wanauwezo,na msichana mwenyewe akaungana na mama yake kunidhulumu,,,nikaona isiwe tabu nikawa nanunua vitu vidogo vya kuchezea mtoto nampa mfanyakaz wao anapeleka wakijua nmenunua mm wanavichoma,kiukwel roho iliniuma sana,,mtoto akaanza chekechea nikawa namvizia kila akitoka shule maana anashusha barabaran msichana wa kaz anamfata na anampeleka home,BA's nikawa namnunulia ice cream kila siku,mpka akanizoea kabsa,bibi yake akiuliza nan kakupa anasema baba angu,,,Kila siku mpka wakamwamisha shule ili nisimwone na walikua wanamwambia maneno mabaya kua baba yako alishakufa na yule anaekununualia ice cream (yaani Mimi) ni mnyonya damu kwa hiyo anapaswa kuniogopa,kiukwel nilipitia magumu sana na vitisho BT mungu ana kuletea jarbu na baadae anakula njia ya kutatua, nikapata hela nyingi tu nikasema sasa ama zao ama zangu,nikaenda kununua kiwanja jiran kbsa na kwao,tulikua tunapishana km nyumba mbili tu Ila ili ufike kwao lazma upite kwangu,nikajenga nyimba nzuri tu,,Nikatulia lakin muda wote napigwa vita kwel kwel,mtoto akazoa kuja kila siku lazma aje maana tuliweka vimichezo vya watoto so ilikua lazma aje kucheza na watot wa majiran,alipofika darasa LA tano mbona wakasalimu amri na kuamua kumwambia ukwel maana Walishindwa kumkatalia tena na mpka Leo yupo form 3 naishi na mwanangu huku dar kirho safi.

Kwa hyo usiwe na haraka,mjengee mwanao ukaribu kabsa na wewe,mjali sana awe rafiki yako nakuambia hata ikipita miaka mingap mtoto atamtafuta baba tu.. Kua mvumilivu na utumie busara sana ndugu ,damu haipotei
Nimeipenda hii [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]big up kwa Sana [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom