Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,487
Reaction score
910
Nchi hii ina Rundo la Vituko, Kubwa zaidi ni kuzidi kuongezeka Kwa Wanasheria njaa, waganga matumbo, walafi wa kila kitu Kwenye Fani hii Muhimu sana.

Mimi nilikwepa sana kusomea Sheria ili kuepuka Na Aibu ya kuitwa mwanasheria njaa. Mtu ambaye anajikunja kutetea Uongo uaminike ni kweli. Ni jambo la fedheha Na aibu sana.

Taaluma ya Sheria inamtaka mwanasheria kuchambua vinasaba vya sintofaham Na maswali Ndani ya jamii Na kutengeneza mnyororo mmoja wa Kweli ambao utakaa hapo hata kizazi Cha kesho Na keshokutwa.

Kama mteja akija kwako kaua Mtu Na kuna Kesi inamwandama. Anakuelezea alivyomuua, Mfano anakwambia nilikuwa namdai nilipomfuata alinijibu kunya ndipo nilipomvamia mapigo mawili matatu kumbe yakampeleka akhera. Mwanasheria mweledi anaangalia shauri la mteja wake Na kutengeneza mustakabali wa utetezi kwamba ni Kweli uliua lakini hukukusudia (pseudologoi eneo la Androktasiai "man slaughters") Na Kwenye uteteZi wake ataegea hapo.

Au Mfano Jambazi kavamia nyumba ya Mtu, akamnyuka risasi au mapanga Na kumuua raia. Mteja Kama huyu naye akienda Kwa Mwanasheria Na kueleza kisa Chake Mwanasheria mwerevu atalitambua shauri Lake Pseudologia lakini kipengele Cha phonoi "Murders" Kesi ya Mauaji Na ataisidia mahakama kuweka rekodi vizuri ili mteja wake apatiwe haki inayomstahili Kama ni kunyongwa Basi ale kitanzi Na Kama ni maisha Basi anapatiwa haki yake..

Nisikilizie Sasa 'Phonoi' au ''androktasiai' zimkute Mwanasheria NJAA..! Yeye hajui chochote zaidi ya kumtetea mteja wake "HAJAUA..! HAJAUA..! Hana Hatia!!'" ni ujinga, Aibu Na njaa iliyopitiliza. Hilo jambazi unalolitetea likitoka jela linakuja kukuvamia wewe wewe ..!

Tuongelee Gulargate and Children Kidnapping Law. Kuna aina tele Za ubakaji lakini mbaya zaidi ni gulargate. Unampa Mtoto kitu kidogo unamtenza nguvu maskini huyo. Ni Kama aina ya makubaliano lakini Mtoto 18years under Bado hajapevuka kujua mapenzi, madhara Na weledi Wa tendo lenyewe. Na zaidi ya yote hawezi Kuwa mshiriki Bali mshirikishwaji.. Katika unazi mkubwa Wa Kuwekea kingo sheria hii, mwanafalsafa mmoja mkongwe akasema unaruhusiwa kutembea Na Mtoto "in some cases factor" iwapo utamtongoza Na kufanya makubaliano kupitia Kwa Wazazi wake. Eti unamtaka halima 17years, unamtongoza baba Yake akuruhusu utembee Na Bint Yake. Lakini ilifanya Kazi Kwa wanazi kadhaa Wa mashariki ya Kati lakini sio kutembea Bali kuoa.! Mpaka ilipoondolewa Baada ya kujitambua Kwamba Mtu ni Mali ya Taifa sio familia. Ukitaka Kuoa miaka 18 nenda Serikali ikuruhusu kwanza.

Inapotokea milionea kabaka wanasheria Njaa badala ya kumwongoza Kwenye Haki wanatunisha misuli kumtetea.."HAJABAKAAAA.." Na hela zake wanakula Kweli nakwambia malipo ni hapa hapa ukirudi nyumbani mwanao weshamtenda utaona uchungu wake. Embu njaa zetu zisitufanye tujikojolee mbele ya kadamnasi. Mwanasheria kamili lazima ujivunie Kuwa Mwanasheria.. Weka kila kitu hadharani.. Haki apewe Mwenye Hali Yake.

Tunaweza Kuwa Na kumbukumbu Kwamba kipindi flani billionea mmoja Wa Marekani Mwenye Mtoto mmoja pekee Na mrithi Wa Mali zake alipata kashfa ya mauaji. Aliua Kwa bastola kijana mwingine mwafrica. Billionea huyu alihaha kutumia zaidi ya nusu ya fedha zake kuajiri mawakili nguli marekani, Hispania Na PNG.. Kuokoa jahazi mwanae asifungwe.. Malipo makubwa sana walipokea Na wakamsaidia sana billionea huyo Kwenye njia ya Sheria Na Mpaka Leo Mtoto alishafungwa miaka tele gerezani. Mawakili wanaojua uwakili ni Nini ..
 
tatizo lako liko wapi, kwenye kutetea uongo, au njaa zao. kama tatizo ni njaa zao, sidhani kama wenye taaluma ya sheria ndio wenye njaa kuliko wengine hapa tz au duniani kote. HAUWEZI KUJUA HILO HADI UWE MWANASHERIA, na kwasababu hukubahatika kusoma sheria, hautakuja kujua faida za kuwa mwanasheria. halafu, unaonekana kama unahasiran a wanasheria, walikushitaki nini au walitetea mbaya wako,....pole mzee, punguza hasira au wasamehe ndio kazi yao. www.sheriakwakiswahili.blogspot.com
 
Kama kichwa chako kipo vizuri nenda kasome japo ka diploma ka sheria ukitoka hapo utakuwa umepata jibu la hoja yako. kwa hivyo ulivyo huwezi kuelewa hata ukielezwa namna gani coz you have already pre empted your mind.
 
Fair hearing includes the right to be represented by an advocate, further, the burden of proof lies on the prosecution, and the proof must be beyond doubt, therefore the duty of defence counsel is to look for those doubts and reveal the same to the court during cross examination, I should also state that the advocate should address the client's interest when it comes to legal technicalties when it comes to admission of evidence, trial within a trial. FINALY IT IS THE DUTY OF THE COURT TO ADMINISTER JUSTICE, THE ADVOCATE SHOULD NOT ASSUME THE MAGISTRATE'S ROLE. HUJUI KWAMBA KWENYE MURDER CASE SERIKALI HUMLIPIA GHARAMA ZA WAKILI MTUHUMIWA?This is a proffesion which has many technicalties and most lay people need assistance
 
Fair hearing includes the right to be represented by an advocate, further, the burden of proof lies on the prosecution, and the proof must be beyond doubt, therefore the duty of defence counsel is to look for those doubts and reveal the same to the court during cross examination

Is that the standard of proof in all cases?
 
Mwanasheria anaweka record sawa na wala hatetei mwovu kma unavolazimisha watu wakuamini...kwa maana yako mawakili hawana kazi...
 
Nikupe pole sana mana hujui fani hii inasifa zipi.na ndo maana unatulaum tu.
Wewe ni sawa na mtu anaepeleka gari gereji halafu unamwambia fundi asigonge na nyundo gari litaharibika.
Au unampleka mgonjwa kwa daktari halafu unamwambia asioshe kidondo mana mgonjwa anazidi kuumia.
Hakuna mwasheria anaetetea uovu bali anajenga hoja kulingana na tukio na sheria za nchi zilivyo na uzoefu katika fani ya sheria.
Utambue wakili si mwenye kutoa hukumu hukum hutolewa na jaji au hakimu.
Please note. This is among the noble profession in the world.
 
Huyu tumwache. kubishana nae twapoteza muda. Bora angekuwa msomi.
 

simply is that
lawyers never hastate to work hard for those in need. It is the only career which assure you to have some one on your side,they do a lot for the public like judges prosecuters public defenders. In private sectors they help individuals to solve their misunderstandings which they could not settle it on their own.
Please,kindily read The Tanzania law Human Rights Report 2012،for more information
 
And so what?
Hujui hata unaloongea, unakurupuka tu, sijui usiku uliopita ulikua na nightmare...
Wape heshima yao wanasheria, kutetea haki ya mtu isipotee unadhan ni kazi ndogo?
Unasema mtu anamtetea jambazi na upande wa pili unaomtetea huyo victim ni madocter?
Fikiria kabla ya kuanza kupiga kelele.
 
Back
Top Bottom