nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
hapo kwenye red, ni vigumu sana kuelewa nilichoongea kama wewe sio mwanasheria, hapo ulipo unaweza kufikiri unao uwezo au unajua kitu kumbe haujui na hautakuja kujua ninachoongea hadi uwe mwanasheria.
ningekupa like mwanawane ila bahat mbaya natumia simu
