Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Nyani my brother, taaluma ya sheria ni zaidi ya lugha...

Hata taaluma ya lugha ni zaidi ya lugha. So what's your point here?

Mtu anadhani anajua lugha basi anajua sheria,

Ni nani huyo anayedhani kujua lugha ndo kujua sheria?

basi ingekua mtu akisomea lugha anakua ni mwanasheria.

Hoja ya kitoto kabisa hii. Kwani hata wewe kwa vile unajua kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili hakukufanyi uwe mtaalamu wa lugha ya Kiswahili. Kujua kutoa na kujumlisha hakukufanyi uwe mwanahisabati. So again, what's your point?

Kwanini wachaguliwe baadhi tu kua wanasheria tena ngazi kwa ngazi?

Kwa nini wachaguliwe baadhi tu kuwa makomandoo, wahasibu, mafundi umeme, na kadhalika? Mbona una maswali ya kitoto sana wewe. Maana hujajibu hata hoja moja katika nukuuu uliyoinukuu na badala yake unauliza maswali ya jumla jumla tu. Come one now.

Kitu gani kinachowafanya walimu wa vyuoni wakaona fulani amefuzu? Ni lugha?

Mimi sijui maana sijafika wala kusoma chuo chochote. Niambie wewe msomi.

Tuchukue mfano kidogo, neno contract mtu anaweza kulitafsiri kama lilivyo kwa lugha yoyote ila ni wangapi wanaojua kua contract ni zaidi ya makubaliano ya watu wawili wenye akili timamu nk?

Contract ni zaidi makubaliano ya watu wawili wenye akili timamu tu? Kwa hiyo kwa mwanasheria contract ni nini na kwa mbeba maboksi kama mimi ni nini?

Wangapi unakuta anakuonyesha contract ambayo haifai kuitwa contract ilihali yeye anaita contract as agreement?

Sijui ni wangapi maana sijawahi kukutana na hata mmoja wa hivyo. Wewe umewahi?

Umeninukuu lakini hujajibu swali langu hata moja. Kwa nini? Kama umejibu naomba nionyeshe ulipojibu.

Kwa nini ni vigumu kuelewa kama mimi siyo mwanasheria? Kigumu ni nini? Ni lugha? Wanasheria wana nini cha zaidi katika akili yao hadi waweze kuwa na uwezo wa kutafsiri sheria ambao sisi wengine tusio wanasheria hatuna?

Wewe ni mwanasheria? Na kwani mwanasheria naye hawezi kufikiri kuwa anao uwezo au anajua kitu wakati kumbe hajui? Au mtu akiwa mwanasheria basi anageuka kuwa 'breed' tofauti na sisi mere mortals?

Hebu nipe mfano wa jambo ambalo ni gumu kwa 'layman' kama mimi kulielewa. Nipe mfano mmoja tu.

Sijaona popote ulipojibu.
 
Hata taaluma ya lugha ni zaidi ya lugha. So what's your point here?



Ni nani huyo anayedhani kujua lugha ndo kujua sheria?



Hoja ya kitoto kabisa hii. Kwani hata wewe kwa vile unajua kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili hakukufanyi uwe mtaalamu wa lugha ya Kiswahili. Kujua kutoa na kujumlisha hakukufanyi uwe mwanahisabati. So again, what's your point?



Kwa nini wachaguliwe baadhi tu kuwa makomandoo, wahasibu, mafundi umeme, na kadhalika? Mbona una maswali ya kitoto sana wewe. Maana hujajibu hata hoja moja katika nukuuu uliyoinukuu na badala yake unauliza maswali ya jumla jumla tu. Come one now.



Mimi sijui maana sijafika wala kusoma chuo chochote. Niambie wewe msomi.



Contract ni makubaliano ya watu wawili wenye akili timamu tu? Kwa hiyo mimi na wewe (najua mimi nina akili timamu na nahisi wewe pia) tukikubaliana kwenda kumegana tutakuwa tumeingia kwenye contract? Unanchekesha wewe:smile-big:.



Sijui ni wangapi maana sijawahi kukutana na hata mmoja wa hivyo. Wewe umewahi?

Umeninukuu lakini hujajibu swali langu hata moja. Kwa nini? Kama umejibu naomba nionyeshe ulipojibu.



Sijaona popote ulipojibu.

Acha ubishi usiokua na msingi. l am trying to make you understand kua si kila mtu anaweza kutafsiri sheria kama unavyodhani.
Rudi kwenye huo mfano wa contract niliotoa na usome tena, acha kukurupuka.
By the way, watoto wataulizwaje maswali ya kikubwa?
 
Acha ubishi usiokua na msingi. l am trying to make you understand kua si kila mtu anaweza kutafsiri sheria kama unavyodhani.
Rudi kwenye huo mfano wa contract niliotoa na usome tena, acha kukurupuka.
By the way, watoto wataulizwaje maswali ya kikubwa?

Achana na huyu jamaa ambaye anadhani kujua kiingereza kunamfanya ajue sheria kwa sababu sheria nyingi zimeandikwa kwa kiingereza.Majibu yake tu yanatosha kukuonesha kuwa yeye ni mtu wa aina gani
 
Acha ubishi usiokua na msingi. l am trying to make you understand kua si kila mtu anaweza kutafsiri sheria kama unavyodhani.
Rudi kwenye huo mfano wa contract niliotoa na usome tena, acha kukurupuka.
By the way, watoto wataulizwaje maswali ya kikubwa?

Acha longolongo. Put me to the test. Nimeishia form four tu. Sasa hebu niwekee sheria hapa inayohitaji tafsiri, niitafsiri, halafu utafute mwanasheria naye aitafsiri, halafu tuone nani ataitafsiri kwa usahihi (kama kuna usahihi wowote kwenye tafsiri).
 
Achana na huyu jamaa ambaye anadhani kujua kiingereza kunamfanya ajue sheria kwa sababu sheria nyingi zimeandikwa kwa kiingereza.Majibu yake tu yanatosha kukuonesha kuwa yeye ni mtu wa aina gani

Mimi siyo msomi hata kidogo achilia mbali kuwa kaka msomi wa sheria kama wewe.

Licha ya yote hayo, wewe na huyo dada wote hamjajibu hayo maswali yangu. Kibaya zaidi, wewe ni mchemkaji tu. Hujui Kiswahili wala Kiingereza.

"Inahakisi" maana yake nini?
 
Hata taaluma ya lugha ni zaidi ya lugha. So what's your point here?



Ni nani huyo anayedhani kujua lugha ndo kujua sheria?



Hoja ya kitoto kabisa hii. Kwani hata wewe kwa vile unajua kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili hakukufanyi uwe mtaalamu wa lugha ya Kiswahili. Kujua kutoa na kujumlisha hakukufanyi uwe mwanahisabati. So again, what's your point?



Kwa nini wachaguliwe baadhi tu kuwa makomandoo, wahasibu, mafundi umeme, na kadhalika? Mbona una maswali ya kitoto sana wewe. Maana hujajibu hata hoja moja katika nukuuu uliyoinukuu na badala yake unauliza maswali ya jumla jumla tu. Come one now.



Mimi sijui maana sijafika wala kusoma chuo chochote. Niambie wewe msomi.



Contract ni zaidi makubaliano ya watu wawili wenye akili timamu tu? Kwa hiyo kwa mwanasheria contract ni nini na kwa mbeba maboksi kama mimi ni nini?



Sijui ni wangapi maana sijawahi kukutana na hata mmoja wa hivyo. Wewe umewahi?

Umeninukuu lakini hujajibu swali langu hata moja. Kwa nini? Kama umejibu naomba nionyeshe ulipojibu.



Sijaona popote ulipojibu.

Lisome bandiko lako tena uangalie makosa ya kisarufi na kimantiki "come one now","nukuuu " ndio lugha gani hiyo mtaalam wetu
 
Lisome bandiko lako tena uangalie makosa ya kisarufi na kimantiki "come one now","nukuuu " ndio lugha gani hiyo mtaalam wetu

Tofauti na wewe, mimi ni muungwana. Na Waswahili husema ada ya mja hunena uungwana ni vitendo. Hivyo nakubali vidole kuteleza.

Lakini bado hujaniambia "inahakisi" ndo lugha gani hiyo?
 
Tofauti na wewe, mimi ni muungwana. Na Waswahili husema ada ya mja hunena uungwana ni vitendo. Hivyo nakubali vidole kuteleza.

Lakini bado hujaniambia "inahakisi" ndo lugha gani hiyo?

hapa nilitaka kukuonesha tu kuwa makosa madogo kama hayo usiyakomalie sana na kuacha kabisa kujadili swala la msingi lililokuwa linajadiliwa. Kitaalam watu wenye tabia hizo wanaitwa"------",na sitaki kuamini kuwa wewe ni mmoja wao
 
Acha longolongo. Put me to the test. Nimeishia form four tu. Sasa hebu niwekee sheria hapa inayohitaji tafsiri, niitafsiri, halafu utafute mwanasheria naye aitafsiri, halafu tuone nani ataitafsiri kwa usahihi (kama kuna usahihi wowote kwenye tafsiri).

Endapo tu itakua ni oral test, unataka ulete tafsiri toka google?
Watu hawapo kwenye mashindano ya kujua nani zaidi, wapo kwaajili ya kujifunza zaidi.
Hatuitaji kujua education level ya mtu, haitusaidii. Mawazo yake yanatosha kujifunza.
Ni mbaya sana mtu anapodhani anajua kila kitu ilhali sivyo hivyo.
 
hapa nilitaka kukuonesha tu kuwa makosa madogo kama hayo usiyakomalie sana na kuacha kabisa kujadili swala la msingi lililokuwa linajadiliwa. Kitaalam watu wenye tabia hizo wanaitwa"------",na sitaki kuamini kuwa wewe ni mmoja wao

Kwa nini nisiyakomalie? I can walk and chew gum at the same time.

Haya turudi kwenye hoja. Nipatie basi zile kanuni halafu nambie maana ya "inahakisi", tafadhali sana kaka msomi.
 
Endapo tu itakua ni oral test, unataka ulete tafsiri toka google?
Watu hawapo kwenye mashindano ya kujua nani zaidi, wapo kwaajili ya kujifunza zaidi.
Hatuitaji kujua education level ya mtu, haitusaidii. Mawazo yake yanatosha kujifunza.
Ni mbaya sana mtu anapodhani anajua kila kitu ilhali sivyo hivyo.

Haya, hilo lipotezee.

Jibu basi yale maswali ya lile bandiko langu ulilolinukuu. Sawa?
 
Mimi siyo msomi hata kidogo achilia mbali kuwa kaka msomi wa sheria kama wewe.

Licha ya yote hayo, wewe na huyo dada wote hamjajibu hayo maswali yangu. Kibaya zaidi, wewe ni mchemkaji tu. Hujui Kiswahili wala Kiingereza.

"Inahakisi" maana yake nini?
Acha blah blah ,eti mchemkaji,hujui kiswahili wala kiingereza...dah unatokwa povu kwa ishu zisizo na maana hata kidogo. Huu uzi ulikuwa haujadili utaalamu wa lugha bali sheria. Umeshindwa kujibu hoja za kisheria,unatafuta mapungufu madogo kwenye lugha ambayo yanarekebishika kirahisi tu. Mimi sikusomea Linguistics hivo sijiskii kuwa offended hata kidogo ukiniambia sijui lugha.
 
Umeshindwa kujibu hoja za kisheria,

Kuna hoja gani za kisheria hapa ambazo nimeshindwa kuzijibu? Nionyeshe moja baada ya nyingine.

unatafuta mapungufu madogo kwenye lugha ambayo yanarekebishika kirahisi tu. Mimi sikusomea Linguistics hivo sijiskii kuwa offended hata kidogo ukiniambia sijui lugha.

Sihitaji kujua ambacho hujasomea. Wewe nionyeshe hizo hoja za kisheria ambazo nimeshindwa kuzijibu.
 
Mimi siyo msomi hata kidogo achilia mbali kuwa kaka msomi wa sheria kama wewe.

Licha ya yote hayo, wewe na huyo dada wote hamjajibu hayo maswali yangu. Kibaya zaidi, wewe ni mchemkaji tu. Hujui Kiswahili wala Kiingereza.

"Inahakisi" maana yake nini?

Wengine tunapenda sana Indirect answers ambayo inahitaji mtu mwenye kichwa kizuri kujua kua amejibiwa.
 
Wengine tunapenda sana Indirect answers ambayo inahitaji mtu mwenye kichwa kizuri kujua kua amejibiwa.

Wewe huna majibu ya yale maswali. Ungekuwa nayo usingeninukuu na kuongelea mambo tofauti kabisa na nilichouliza.

Huna majibu ya maswali yangu. Ungekuwa nayo ungeyajibu moja kwa moja.
 
Wewe huna majibu ya yale maswali. Ungekuwa nayo usingeninukuu na kuongelea mambo tofauti kabisa na nilichouliza.

Huna majibu ya maswali yangu. Ungekuwa nayo ungeyajibu moja kwa moja.

dah kama ungekuwa mwanangu ningekutoa kafara
 
Other professions are noble too. When you need security protection, you call on the police, you call on the military. Theirs too is noble, not ignoble.

When you get sick, you go to healthcare professionals. Don't tell me theirs is ignoble.

Is teaching ignoble? Hell no. What about farming? Well, they feed your ass.

Most professions are noble. So stop acting like the whole world revolves around lawyering. It doesn't.

Natamani mwanao mpenzi awe mwanasheria labda utapunguza negative attitude dhidi ya wanasheria!
 
Back
Top Bottom