Kwa nini nisiyakomalie? I can walk and chew gum at the same time.
Haya turudi kwenye hoja. Nipatie basi zile kanuni halafu nambie maana ya "inahakisi", tafadhali sana kaka msomi.
nimekwambia zitafute google,utanilipa shilingi ngapi kwa hiyo kazi unayonipa.
Inashangaza pia haujui maana ya kuakisi