Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Mkuu uwezo wako wa ku-argue mdogo saaaaana, na ni mwepesi sana wa kupandwa na jazba!!!

Unantisha eti kabla mvua haijanishukia,, mvua ipi hiyo?

Unawezaje kuwa lawyer endapo unashindwa kujenga hoja kwa mambo unayoamini kuyasoma mpaka uka-qualify kuwa mwanasheria, kiukweli nimesoma comments zako nimegundua hujiamini na kwa sababu ya kutokujiamini unaishia kusema mara, ,, oooooh kuna issues nyingi bla bla bla,,,, kila la kheri lawyer.

Usitokwe povu ili tupime uwezo wetu wa kuargue mimi na wewe , tafuta mada then we argue na watu watajua kuwa nani ni kipanga na nani ni kilaza.
Nilikuwa naandika kwa sababu ya wanasheria na sikumwandikia kila mtu, kama hauelewi niachokiandika u simply ignore and proceed with your business. Huwezi kuniambia nianze kuorodhesha au kuelezea vitu for whose benefit? what will I gain then?

Mimi kama mwanasheria najua kuna ishu za kitaalam nyingi tu kwenye kila aspect ya kisheria niliyoitaja. Na ninatarajia kuwa "a reasonable lawyer" ataelewa kuwa nilikuwa nazungumzia nini. Kama hauelewi na unataka ufafanuzi zaidi, definitely it was not meant for you.
 
Mkuu uwezo wako wa ku-argue mdogo saaaaana, na ni mwepesi sana wa kupandwa na jazba!!!

Unantisha eti kabla mvua haijanishukia,, mvua ipi hiyo?

Unawezaje kuwa lawyer endapo unashindwa kujenga hoja kwa mambo unayoamini kuyasoma mpaka uka-qualify kuwa mwanasheria, kiukweli nimesoma comments zako nimegundua hujiamini na kwa sababu ya kutokujiamini unaishia kusema mara, ,, oooooh kuna issues nyingi bla bla bla,,,, kila la kheri lawyer.

hauna jipya the educated one , kila la kheri pia, wasalimie wenzako. Pia usisahau kuwa wenye akili zao wakiwa wanaongea, kilaza kaa pembeni.
 
hauna jipya the educated one , kila la kheri pia, wasalimie wenzako. Pia usisahau kuwa wenye akili zao wakiwa wanaongea, kilaza kaa pembeni.


Haya sasa twende pamoja, unaposema wenye akili ni akina nani hao, wepi wasio na akili kwa uelewa wako butu wa sheria, huyo jamaa aneijiita NN, kakutoa kamasi umeishia kupandwa jazba matokeo yake mitusi inakutoka kama punguwani, eti lawyer my foot!!!
 
Na ukifuatilia michango ya wengi utagundua kuwa wengi ni wafuata mkumbo na hawaelewi hata kile wanachokiongea. Inasikitisha sana kuona taifa linakuwa na vijana wanaofikiria namna hii. Tutafika kweli?
 
Hata hajacomplicate isipokuwa tu ukimuuliza layman "contract ni nini", simply atasema kuwa ni makubaliano kati ya watu wawili au zaidi. Sasa je ni kweli kuwa kila makubaliano kati ya watu wawili au zaidi ni mkataba.
Ni wanasheria pekee ndo wanafahamu vigezo vinginevyo vya kufanya makubaliano kuwa mkataba. kwa mfano sio offer,acceptance e.t.c, kwa mfano kuna ishu za capacity to contract za natural and legal persons wangapi ambao sio wanasheria wanaelewa hilo. Ni wangapi ambao sio wanasheria wanaelewa kuwa kuna watu hawaruhusiwi kuingia kwenye mikataba,ni watu gani na kwa nini?
Kwa kifupi maana ya mkataba kisheria ni pana zaidi kuliko watu wanavyouelewa huo msamiati

Nilipenda arudi kutoa hii maana ya contract ili nione yake ambayo haiko complicated lakini ameindoka thatha.
 
Hamjamuelewa mtowa mada. Wanasheria ni msomi wa sheria na haijalishi kaisoma ipi. Hapa kamjadili wakili ktkt kesi ya mauaji ama ubakaji.
Angekwenda mbali zaidi Jaji ama Hakim " kesi hii naifuta ushahidi ulotowa hajaridhisha mahakama. Unaweza kukata rufaa". Na ni hakika mtu huyo ametenda kosa. Lakini hukumu inakuwa hivyo. Wasojua kuzungumza mahakamani ndo wanaofungwa gerezani..
Wazungumzaji na wenye pesa majamaa hawa hawana nyimbo. Tazama kesi wizi ktk bank name dawa za kulewa. Huu unga wa ngano. Jiteteeni lakni msg sent
 
Aspirin, Nyani, Mgunduziforeva na wengine wengine... lets say tulikua tukifundishana badala ya kulumbana... ndani ya moyo wangu sina hasira wala kinyongo na mtu itapendeza kama ikiwa hivyo kwa wote waliokua wanachangia humu (siusemei moyo wa mtu, hayo ni mawazo yangu), tusameheane tu.
Zaidi ya yote, simchukii mtu, nawapenda JF members wenzangu wote.
KAZI NJEMA.
 
uwezo ndo wako umeishia hapo, huwezi kuelezea zaidi ya hapo na hiyo ni kwa sababu umedesea google. Kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract ambazo huzifahamu sio kutaja tu hao ambao umewataja, ambao pia kuna watu wengine umewasahau ambao wewe unaweza kuingia nao mkataba pia. Kubali tu haujui

Mmh. Learned brother wewe vipi ? NN angalau kaorodhesha wale ambao anafahamu huwezi kuingia nao mkataba,japo kasahau minor anaweza kuingia mkataba wa ''Necessity'' lakini wewe mbona unakusanya kwenye neno moja bila hata kuelezea chochote au mtu yoyote ? Disclaimer: Mimi sio learned brother plz.
 
ukiona mpaka nimefikia hatua ya kukutukana publically ni kuwa unaboa mbaya

nishakuambia sio mimi ambayo amepost hayo matusi, kama ningekuwa mimi sasa nimerudi kufanya nn

Hizo posts za matusi sijaandika mimi, mimi siwezi kumtukana mtu...fuatilia michango yangu yote humu JF uone kama nimeshawahi kumtukana mtu pamoja na kutofautiana mawazo

Wewe ni learned wa ukweli...
 
Nchi hii ina Rundo la Vituko, Kubwa zaidi ni kuzidi kuongezeka Kwa Wanasheria njaa, waganga matumbo, walafi wa kila kitu Kwenye Fani hii Muhimu sana.

Mimi nilikwepa sana kusomea Sheria ili kuepuka Na Aibu ya kuitwa mwanasheria njaa. Mtu ambaye anajikunja kutetea Uongo uaminike ni kweli. Ni jambo la fedheha Na aibu sana.

Taaluma ya Sheria inamtaka mwanasheria kuchambua vinasaba vya sintofaham Na maswali Ndani ya jamii Na kutengeneza mnyororo mmoja wa Kweli ambao utakaa hapo hata kizazi Cha kesho Na keshokutwa.

Kama mteja akija kwako kaua Mtu Na kuna Kesi inamwandama. Anakuelezea alivyomuua, Mfano anakwambia nilikuwa namdai nilipomfuata alinijibu kunya ndipo nilipomvamia mapigo mawili matatu kumbe yakampeleka akhera. Mwanasheria mweledi anaangalia shauri la mteja wake Na kutengeneza mustakabali wa utetezi kwamba ni Kweli uliua lakini hukukusudia (pseudologoi eneo la Androktasiai "man slaughters") Na Kwenye uteteZi wake ataegea hapo.

Au Mfano Jambazi kavamia nyumba ya Mtu, akamnyuka risasi au mapanga Na kumuua raia. Mteja Kama huyu naye akienda Kwa Mwanasheria Na kueleza kisa Chake Mwanasheria mwerevu atalitambua shauri Lake Pseudologia lakini kipengele Cha phonoi "Murders" Kesi ya Mauaji Na ataisidia mahakama kuweka rekodi vizuri ili mteja wake apatiwe haki inayomstahili Kama ni kunyongwa Basi ale kitanzi Na Kama ni maisha Basi anapatiwa haki yake..

Nisikilizie Sasa 'Phonoi' au ''androktasiai' zimkute Mwanasheria NJAA..! Yeye hajui chochote zaidi ya kumtetea mteja wake "HAJAUA..! HAJAUA..! Hana Hatia!!'" ni ujinga, Aibu Na njaa iliyopitiliza. Hilo jambazi unalolitetea likitoka jela linakuja kukuvamia wewe wewe ..!

Tuongelee Gulargate and Children Kidnapping Law. Kuna aina tele Za ubakaji lakini mbaya zaidi ni gulargate. Unampa Mtoto kitu kidogo unamtenza nguvu maskini huyo. Ni Kama aina ya makubaliano lakini Mtoto 18years under Bado hajapevuka kujua mapenzi, madhara Na weledi Wa tendo lenyewe. Na zaidi ya yote hawezi Kuwa mshiriki Bali mshirikishwaji.. Katika unazi mkubwa Wa Kuwekea kingo sheria hii, mwanafalsafa mmoja mkongwe akasema unaruhusiwa kutembea Na Mtoto "in some cases factor" iwapo utamtongoza Na kufanya makubaliano kupitia Kwa Wazazi wake. Eti unamtaka halima 17years, unamtongoza baba Yake akuruhusu utembee Na Bint Yake. Lakini ilifanya Kazi Kwa wanazi kadhaa Wa mashariki ya Kati lakini sio kutembea Bali kuoa.! Mpaka ilipoondolewa Baada ya kujitambua Kwamba Mtu ni Mali ya Taifa sio familia. Ukitaka Kuoa miaka 18 nenda Serikali ikuruhusu kwanza.

Inapotokea milionea kabaka wanasheria Njaa badala ya kumwongoza Kwenye Haki wanatunisha misuli kumtetea.."HAJABAKAAAA.." Na hela zake wanakula Kweli nakwambia malipo ni hapa hapa ukirudi nyumbani mwanao weshamtenda utaona uchungu wake. Embu njaa zetu zisitufanye tujikojolee mbele ya kadamnasi. Mwanasheria kamili lazima ujivunie Kuwa Mwanasheria.. Weka kila kitu hadharani.. Haki apewe Mwenye Hali Yake.

Tunaweza Kuwa Na kumbukumbu Kwamba kipindi flani billionea mmoja Wa Marekani Mwenye Mtoto mmoja pekee Na mrithi Wa Mali zake alipata kashfa ya mauaji. Aliua Kwa bastola kijana mwingine mwafrica. Billionea huyu alihaha kutumia zaidi ya nusu ya fedha zake kuajiri mawakili nguli marekani, Hispania Na PNG.. Kuokoa jahazi mwanae asifungwe.. Malipo makubwa sana walipokea Na wakamsaidia sana billionea huyo Kwenye njia ya Sheria Na Mpaka Leo Mtoto alishafungwa miaka tele gerezani. Mawakili wanaojua uwakili ni Nini ..

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Isanga Mbeya.
 
Mmh. Learned brother wewe vipi ? NN angalau kaorodhesha wale ambao anafahamu huwezi kuingia nao mkataba,japo kasahau minor anaweza kuingia mkataba wa ''Necessity'' lakini wewe mbona unakusanya kwenye neno moja bila hata kuelezea chochote au mtu yoyote ? Disclaimer: Mimi sio learned brother plz.

niilikuwa nawaandikia wanasheria ambao wanafahamu nilikuwa nazungumzia nini. Labda kwa faida yako wewe na huyo NN ni kwamba pia hauruhusiwi kuingia kwenye mkataba na watu waliofilisika (bankrupt),entities ambazo hazina legal personality e.g clubs e.t.c,.Pia kwa Tanzania mkataba wa necessities na minor na mtu asiyekuwa timamu ni halali, isipokuwa tu wajibu wa minor na mtu asiye timamu kwenye mkataba huo unatofautiana na mikataba ya kawaida. Katika mikataba ya necessities watu hao hawalipi actual price of the goods or services supplied under the agreement isipokuwa a reasonable sum.
 
haeleweki alikua anaongelea nini. Mimi naona amejichanganya tu

mtoa mada alikuwa na hoja nzuri tu, tatizo lake ameambatanisha hoja yake na kashfa, hasira,maneno ya kuudhi na kudhalilisha, matokeo yake watu hususani wanasheria waliotupiwa lawama wakaanza kujenga hoja kwenye viambata vya hoja badala ya hoja yenyewe

kama ambavyo wewe mwenyewe umekiri "haeleweki alikuwa anaongelea nini" lakini mheshimiwa umetupia post nyingi tu katika uzi huu,hivyo umechangia hoja ktk kitu ambacho wewe mwenyewe umekiri kushindwa kuelewa alikuwa anazungumzia nini.....hivyo basi unaweza kuona mawazo ya wengi pia hayajakidhi hoja ya mtoa mada.

ndio maana nikaanza kwa kuuliza kama kuna anayedhani amemuelewa mtoa mada aseme,na wote tujadili kiini cha hoja yake.karibu tuwekane sawa mheshimiwa
 
mtoa mada alikuwa na hoja nzuri tu, tatizo lake ameambatanisha hoja yake na kashfa, hasira,maneno ya kuudhi na kudhalilisha, matokeo yake watu hususani wanasheria waliotupiwa lawama wakaanza kujenga hoja kwenye viambata vya hoja badala ya hoja yenyewe

kama ambavyo wewe mwenyewe umekiri "haeleweki alikuwa anaongelea nini" lakini mheshimiwa umetupia post nyingi tu katika uzi huu,hivyo umechangia hoja ktk kitu ambacho wewe mwenyewe umekiri kushindwa kuelewa alikuwa anazungumzia nini.....hivyo basi unaweza kuona mawazo ya wengi pia hayajakidhi hoja ya mtoa mada.

ndio maana nikaanza kwa kuuliza kama kuna anayedhani amemuelewa mtoa mada aseme,na wote tujadili kiini cha hoja yake.karibu tuwekane sawa mheshimiwa

mimi sikuwa nachangia hoja ya mtoa mada ila mada ndogo ndogo zilizojitokeza kwenye hoja hiyo isiyoeleweka,ikiwemo ya watu kuwaponda na kuwadharau wanasheria
 
mimi sikuwa nachangia hoja ya mtoa mada ila mada ndogo ndogo zilizojitokeza kwenye hoja hiyo isiyoeleweka,ikiwemo ya watu kuwaponda na kuwadharau wanasheria

ok,na hapo ndio wachangiaji tulipokosea,tumejikita ktk mijimada vilivyoletwa na mada kama alivyosema nameless girl!kama nilivyosema uletaji wa hoja ulioambatana na kashfa,dharau na maneno ya kuumiza ndio ulioharibu uzi huu!ingawaje naamini mtoa mada ana ujumbe mzito ndani yake
 
Ooh God!! Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Hili jukwaa la sheria huwa unalipitia??

Btw nini kimekufanya umuone si mwanasheria? Hajaandika kisomi au hajajiita msomi?
mie huwa nashindwa kuelewa kwann baadhi ya memba humu ndani huona uanasheria, udaktari ndio fani pekee............
ukweli najivunia kuwa mwl manake kwa kuwa hivi naweza kujua fani za baadhi ya memba wengi tu humu na kujua uwezo wa kuelewa mambo katika fani zao.
nafikiri huyu nameless girl ni miongoni mwa wale wanaodhani kuwa msomi ni lazima uwe umesoma sheria.
hebu mwel;eze kwamba EMT si tu kwamba anaijua sheria bali anafundisha sheria.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom