Mke wa kasisari anahusika vipi upatikanaji wa kaisari? kaisari hajapatikana, mke wake anahusika vipi? Ni wapi katika katiba yetu inayosema ukigombea lazima mke wako awe mtu wa maadili yasiyo na shaka? Ni wapi... Innocent till proven guilty.. hata wakimpata na hatia, mlolongo wa appeal ni mrefu, haki yaki hainyimwi wala kuzuiliwa na guilty ni mpaka pale appeal process zote zimekuwa exhausted.
Kosa la kumuondoka Lissu ni hilo tu la kukiukwa taratibu na miendeno ya maadii ya viongozi wa uma kama wanaweza kuli-prove.. wamashikie hapo tu ...
Paskali, wewe umesoma sheria na unaijua katiba ya Tanzania, labda ututajie kipengere kinacho wapa nafasi NEC ya kumuengua , sio hizi dhana za kufikilika...