At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Ni hakika itakuwa hivyo.
Nitafurahi akienguliwa.
Nitafurahi akienguliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu katumwa na wabaya wa Lissu aje kupima upepo na kuwaandaa watu kisaikolojia.Wewe unatumika siyo bure!
Waache kumuengua anayegawa rushwa hadharani waje wamuengue Lissu?
Hakuna ushindi wa mezani hapa, kila kura lazima ipiganiwe!
Mods this is a malicious thread iondolewe
Huyu anataka kuset tune kwa watawala wafanye udhalimu kama alivyoset tune Kabendera akapata matatizo
Naomba hii mada ya kichawi iondolewe hapa!
Kesi zitasimama mpaka pale atakapotoka madarakani!Kuna Jambo lingine pia la kuliangalia,
Nini hatma ya kesi zake zilizojaa mahakamani kwa mfano akashinda.
Ndio tuseme kuwa ataamrisha mahakama izifute ??
Lissu anawapa shida hadi utakuwa unamuota ukilalaLissu hana sifa za kugombea. Muacheni arukeruke tu
alikua anaugulia maumivu ya wajumbe wa Kawe 🤣Ulaaniwe, umeibuka leo na Lisu! baada ya kupotea siku kadhaa!