Uchaguzi 2020 Wanasheria, Tusaidieni. Je, kuna uwezekano wa Tundu Lissu kuenguliwa na NEC kugombea Urais kwa kutumia kigezo cha Uadilifu wa Mke wa Kaisari?

CCM wanachekesha sana, kama Lissu wakimzuia kugombea niitaongeza hasira kwa wananchi natutaenda na "KAZI NA BATA"
Kama mpaka sasa hawajajifunza namatokea ya kuiua CUF basi mtakua nisikio lakufa
 
Ccm wanachekesha sana, kama lisu wakimzuia kugombea niitaongeza hasira kwa wananchi natutaenda na "KAZI NA BATA"
Kama mpaka sasa hawajajifunza namatokea ya kuiua CUF basi mtakua nisikio lakufa
Nina wasiwasi watamzuia kugombea! Labd foreign forces ziwashinikize kutenda haki!
 
Hii ya kuzuia na kuweka masharti vyombo vya habari kureport habari za TL nayo inahusiana na tuhuma za kezi zinazomkabili?

Hii sheria inakua kali upande mmoja tu? Mbona ipo kimya sana kuhusu kesi ya shambulizi lake?

Kwa jinsi mabavu na ukiukwaji wa haki ulivyoshamiri kwa sasa, sitoshangaa kuona anaenguliwa mapema.
 
CCM ina mtu mmoja tu anayeweza kusimama na Lisu kama sio Leo ni kesho.

CCM hawana mtu zaidi ya JPM kwa sasa na kwa baadae.
2025 CCM itakua imebakiwa na wazee wachache sana ambao ndio wapiga kura wao.

Hata kelele za kuongeza muda ni sababu ya kukosa watu ndani ya CCM .

Tukubali tu Lisu wasimchukulie poa . Ana kila dalili ya kuushangaza ulimwengu.

Kuna dhambi kubwa amefanyiwa na hakuna wa kumlipia isipokua Mungu mwenye kuwamiliki viumbe wote.

Si wanataka Urais kwa dhulma basi ,basi ,basi,basi,basi,basa!
 
Mkuu Pasco samahani.
Labda nimepitiwa kuhusu kesi za jinai zinazomkabili Lissu. Naomba nikumbushe kesi hizo za jinai ambazo zitamfanya awekewe pingamizi
 
CCM wakifanya hivo nitawadharau Sana. Approach waliyoichagua ya kupiga kimya ime work out. Lissu ni Kama anafukuza upepo kila anachojaribu kinabuma, Watanganyika ni Kama hawamuoni na unaweza kuona yeye na wafuasi wake wameanza kupaniki, hawapati response waliyotegemea Sasa wanaanza kutumia nguvu kubwa ikiwemo hata humu.

Isipokuwa tu Serikali inapaswa kuwa makini baada ya watu kuonekana kutokumtilia manani anaweza kufanya chochote kibaya ili mradi kutafuta millage na huruma. Jana alisema anatishiwa, wenye akili wanajua what he is going to do next!
 
Raisi Jomo Kenyatta, Raisi Madiba Mandela walitokea gerezani kwa tuhuma nzito za kufanya vitendo vya ugaidi,kula njama kupindua serikali,kuuwa wakulima wa kizungu na askari wa utawala.

Waliitwa terrorists,arsonists, rapists, lakini mara waliporudi uraiani waliruhusiwa kushiriki uchaguzi wa uraisi na waliposhinda wakapewa Ukuu wa nchi hizo.

Tuseme tu sio NEC au Serikali,au Chadema au CCM walio perfect 100%.Kila mmoja ana mapungufu yake.

Jaji Kaijage asitumike kama scapegoat kwa mtaji wa teuzi za muda.
 
Lissu akienguliwa kwa sababu yoyote ile wananchi hawataielewa serikali na hii itasababisha vurugu kubwa na jiwe kupita bila uchaguzi kwani watu wengi sana watasusia uchaguzi.

Pamoja na vurugu kutakuwa na chuki kubwa dhidi ya jiwe na chama chake na atakuwa ameandika historia mbaya kuliko rais yeyote yule wa nchi hii.

Pia atapata wakati mgumu zaidi mbele ya jumuiya ya kimataifa ambayo mpaka sasa inaona serikali hii kuwa kinyume na demokrasia na haki za binadamu.

Pia kuna mengi yasiyotabirika yanaweza kutokea na kuifanya nchi hii isitawalike angalau kwa kipindi fulani. NEC wakiwa "huru" au chini ya serikali wasijaribu kumwengua Lissu, ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
 
Kuna jamaa alieahi kutuhumiwa(kwa maneno ya wanasiasa kuea, aliuza nyamba za serikali kwa bei za kutupwa), je alipogombea urais, sheria ya mke wa kaisari ilimbana.

Nimejibu bila kupitia comment, huenda kuna mdau keshahoji, hebu ngoja nipitie post zilizotangulia kujiridhisha.
 
Mbona unauchochezi wa nyodo hvyo.. Jiangalie mwaka huu wenye nyodo na Lissu mtajizika wenyewe, tena mapema
 
Nimekusoma siku chache zilizopita ulisema umesomea sheria! sasa unatupa jiwe gizani ili watu wajitupe na kukimbia pole sana huwezi kuzuia mafuriko kwa mavidole ya jiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…