Mbunge Luswe
Member
- Jan 23, 2018
- 56
- 23
Salam wakuu.
Ikitokea mtu akahukumiwa kwa kosa la mauaji, hukumu ya miaka 30 jela. Na akatumikia yote. Siku anatoka jela ghafla akamuona mtu aliye tuhumiwa kuwa aliimuua, akapata hasira na kumpiga hadi kumuua. Kisheria hii inakuwaje?? Atahukumiwa tena au??
Karibu wakuu.
Ikitokea mtu akahukumiwa kwa kosa la mauaji, hukumu ya miaka 30 jela. Na akatumikia yote. Siku anatoka jela ghafla akamuona mtu aliye tuhumiwa kuwa aliimuua, akapata hasira na kumpiga hadi kumuua. Kisheria hii inakuwaje?? Atahukumiwa tena au??
Karibu wakuu.