ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hizo error's za kawaida..... muhimu angalia address labda kama clouds siku hizi kuna Abash na HabashMawakili wenyewe hawako makini
Mwanzoni mwa barua jina limeandikwa GARDNER G. H ABASHI (Angali nafasi kati ya "H" na "A"
Baadaye kidogo limeandikwa Habashi bila kuacha nafasi.
Kisheria hao ni watu wawili tofauti na sijui wamemwandikia yupi?
Nje ya mada Sorry hicho kiuno ni na hizo pistol ni mali zako???mim ningekuwa JIDE ningemnyoosha angeeenda kuweka ile Gari Bondi kudadek si anataka tuonyeshane πππππ
mkuu wewe ni mwanasheria?wataliwa PO in the daylight hawataamini, hiyo demand notice inaflaws nyingi tu.
Wewe kiazi, hiyo JD ni Mimi nimefupishaLakini JD si wapo wengi ? mfano, JD =Jermain Dupri
Muulize Jide mkuu... mie nimeona magazetini;sijaelewa hapo mzee mwenzangu kukojoa hewani kukoje
Kwa wale wasioelewa hapo ndipo inapotumika circumstantial evidence na kushtukia Gardner chali.Kwani kwa yeye kumwomba radhi Jaydee ni nini kinapungua?Asidanganywe na hao wanawake waliomwingiza kingi akidhani watamsaidia gharama za kumlipa Jaydee na gharama zake si za pole pole.Siioni nafasi yake kushinda kesi.Kama umri wa Gardner ni mkubwa wa kuwa na binti wa kiasi hicho angeomba vipindi kwenye radio yao vinavyoendana na umri wake na kama elimu ndio tatizo akubali aibu kwani anaweza kuwaalika wadada studio na binti yake akawemo kipindi hakitanoga.Mtoto wa kike anaweza kuwa yoyote, na aliyefanya hayo kwa miaka 15 unaweza kupata jawabu alikuwa anamsema nani.
unaelewa unachoandika au arguments zako?Hiyo kesi ikifunguliwa jamaa anashinda mchana kweupe.Sidhani kama ni busara kwa mtu kufungua kesi huku ukitegemea kushinda kesi hiyo kwa kutumia circumstantial evidence.
Kushinda hiyo kesi bila additional evidence ni kazi ya ziada unless ana direct evidence kitu ambacho naona hapo ni kigumu.
haha sijalenga hiyo demand letter kupigwa PO hiyo haiwezi nilichokizungumzia ni umakini wa hao lawyers kuandaa document zao sawa sawa maana isije ikala kwao kutokana na some flaws kwenye hiy DNmkuu wewe ni mwanasheria?
hivi unajua ni wakati gani hizo POs zinaibuliwa mahakamani?na jee unajua sababu au hoja zipi zitakubalika kama ni POs na kuweza kumaliza kesi mahakamani?jee,ni kweli kwamba demand letter inaweza kupigwa PO?kama ndio, kwa misingi ipi?
Nadhani Gadna anajua, ngoja aje ajibuMzee hivi kukojoza maanake Nini???
hii game nzuri hakuna hata nyasi kuumia π΅π΅π΅π΅π΅π΅'...very hard to prove...' sentensi yako hii Mwishoni inamaanisha umenielewa! Aksantum!
mkuu swali lako gumu mno humu ndani ngoja Jide aje atatusaidia.Kwani sio kweli kuwa alimkojoza miaka 15?
Kwani sio kweli kuwa alimkojoza miaka 15?
najaribu kupiga picha hakimu anaulizaje mahakamani???Kwani sio kweli kuwa alimkojoza miaka 15?
kama unabariki carelessness ya namna hiyo kwenye sheria basi utakua na taahira ya akili.... ipo siku utasema mtu kufungwa miaka 1.5 na 15 ni error ya kawaida kwasababu mshtakiwa ni mtu huyohuyoNinachokiona
Hizo error's za kawaida..... muhimu angalia address labda kama clouds siku hizi kuna Abash na Habash
sawa mkuu,ila maelezo yako yamekaa kiutata kidgo,coz kwa ulivoyaandika ni umeweka direct link kati ya PO na flaws za kwenye DN kitu ambacho sio fatal ktk kesi kuu,nakubaliana na wewe ktk kuwa wawe makini hasa katika kuandaa docs nyengne zitazoimove court ktk main case(plaint na applications).haha sijalenga hiyo demand letter kupigwa PO hiyo haiwezi nilichokizungumzia ni umakini wa hao lawyers kuandaa document zao sawa sawa maana isije ikala kwao kutokana na some flaws kwenye hiy DN