Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

Unless unataka kuonekana mshindi katika hoja hii, Swali lilikuwa juu ya mtaraka, Gadner hana mtaraka zaidi ya JD. Mtoto (Mkubwa) unayemzungumzia alimpata Mwanza kabla ya kuwa na Jd wala hajapata kuishinaye au kuwa na ugomvi naye wa kimahusiano
point of correction jd sio mtalaka pekee wa Gadna...gadna anawatalaka wawili jide na mamake caren
 
point of correction jd sio mtalaka pekee wa Gadna...gadna anawatalaka wawili jide na mamake caren
Sijui tafsiri yako juu ya taraka, Mama yake Caren ni mzazi mwinziwe, na hata mtoto amelelewa naye. Alikuwa anaishi na wazazi wake, official taraka ni ya juzi iliyotolewa kisheria mahakamani na ndiyo hivyo ikawa Ndi ndi ndi ndii
 
Naona kwa namna fulani suala hili suala limewafanya watu wamechukua "sides". Kuna watetezi wa Jide na wengine wa Gadnar. Hata hivyo, nafikiri sio busara sana kuegemea upande wowote. Maoni yangu mimi ni kwamba whether Gadnar alimlenga Jide or not (?!of course kimsingi alimlenga Jide na ni haki yake kukana kosa kwa lengo la kuepuka kuingia hatiani ?!) jamaa ameonyesha immaturity iliyotukuka. Ni matarajio yangu kuwa atakuwa amejifunza.
Karusha moja tu mnamind kwani jide karusha mangapi?
 
Mkuu,ndio maana gadna kamshushia hiyo scud kumtuliza inaonekana anajua vzr mdomo wake.
Anamjua sana tu. Kamtungia Gadna nyimbo nyingi sana za kejeli, lakini jamaa alijipa uanaume na kukauka kimya. Sasa aliposema kamkojoza miaka 15 imekua kesi ya nchi nzima, hii si haki.
 
Aliwahi kuoa kabisa na kumwacha mke wa kwanza

Huyu Gadner aliharibiwa na yule mama wa Tanrose ambako Gadner alikuwa anafanyakazi dukani kwake akiuza CD.
Huyu mama ndiye aliyemfundisha umarioo na hadi akamvunjia ndoa yake na mkewe ambaye ndugu yake na Hashim Lundenga.
Ndio akawa ashazoea kulelewa, hata Kusaga alipompeleka Clouds nako akaanza kulelewa na Faudhia.
Yuko Clouds hadi leo ana nywele za Kisomali hivi, nakumbuka wakati ule alimpa hadi gari ya kutembelea, Mark II box.
Kwa kupenda kulelewa, Gadner baada ya Jide kupiga hela tu ndo akajipeleka kwake na kuleta mgogoro kwa Jide na Faudhia.
Gadner akawa hasomeki mara kwa Faudhia mara kwa Jide, ndio ikaja ngoma ya Wanaume kama Mabinti na ile remix ya Siwema.
Lakini tabu kubwa ya huyu jamaa ni umarioo, na ndio maana baada ya kuachwa na Jide akawa na hali mbaya sana.
Alikuwa hajazoea kujilipia kodi ya nyumba na huduma zingine na hata mkopo wake wa NBC. Yaani Kusaga alifanya kumsaidia tu arudi Clouds.
Kusaga kampa nyumba, kampa gari ya kutembelea ili kumpunguzia makali na aendelee kulipa mkopo wake.

Ova
 
Gadner kama unatusoma au kuna watu watasoma humu mna mawasiliano wakuambie uachana kabisa na huu upuuzi wa jidy, she wont stop until you are finished. Kama angekuwa mungu its obvious angekunyima breath! anachotaka hapo mshindane kutoa pesa kwa mawakili bila shaka akutoe kabisa kwenye reli yako! believe or not its a game with a full budget. inavyoonyesha alikuacha kwa media huko rohoni ana hali mbaya bado anakutaka, anajidai ana furaha ambayo hana. wanaojiita mashabiki wake wako very narrow minded, wanataka wewe tu uwe gunia la mchanga la mazoezi ya ngumi.
siku zote anaamini pesa ina value kuliko utu wa mtu, kwani kuzaliwa mwanaume ni dhambi kutokuwa na hela kama mwanamke! kwani kuna wanawake wangapi wanafadhili game na waume zao lakini utadhani mfadhili ni mwanaume anavyoheshimiwa! man will always be a man. kama kuna wa kumuomba msamaha gadner ni muumba wako sio hiki kibibi kinachotaka ukipigie magoti after everything ili kikutungie nyimbo tena ukiwa umepiga magoti, hahaha. akuache ufanye yako bana, kina roho mbaya kama sura yake, alaaa. kama vipi toa namba au account tupitishe donei uweke mawakili wakukutetea huko mahakamani. mbele kwa mbele
Wewe Ni Kibonde?
 
Miaka 15 alikua na mahusiano na nani?na ile ndindindi iliopigwa akacheza inakamilisha picha mbona mkuu
So long as he didn't mention any name hizo miaka 15 na sijui ndindi.. Sio exhibit kwenye sheria... Huwezi kumhukumu mtu kwa assumptions. Kwa kukojoza ni nini?? Sio kiswahili hata
 
Huyu Gadner aliharibiwa na yule mama wa Tanrose ambako Gadner alikuwa anafanyakazi dukani kwake akiuza CD.
Huyu mama ndiye aliyemfundisha umarioo na hadi akamvunjia ndoa yake na mkewe ambaye ndugu yake na Hashim Lundenga.
Ndio akawa ashazoea kulelewa, hata Kusaga alipompeleka Clouds nako akaanza kulelewa na Faudhia.
Yuko Clouds hadi leo ana nywele za Kisomali hivi, nakumbuka wakati ule alimpa hadi gari ya kutembelea, Mark II box.
Kwa kupenda kulelewa, Gadner baada ya Jide kupiga hela tu ndo akajipeleka kwake na kuleta mgogoro kwa Jide na Faudhia.
Gadner akawa hasomeki mara kwa Faudhia mara kwa Jide, ndio ikaja ngoma ya Wanaume kama Mabinti na ile remix ya Siwema.
Lakini tabu kubwa ya huyu jamaa ni umarioo, na ndio maana baada ya kuachwa na Jide akawa na hali mbaya sana.
Alikuwa hajazoea kujilipia kodi ya nyumba na huduma zingine na hata mkopo wake wa NBC. Yaani Kusaga alifanya kumsaidia tu arudi Clouds.
Kusaga kampa nyumba, kampa gari ya kutembelea ili kumpunguzia makali na aendelee kulipa mkopo wake.

Ova

Usikolijua kama usiku wa kiza,Kumbe Gardner ndo alivyo!
Loh!

Msemo mpya unaorudi kwa kasi

1:-'marioo'

2:-'wanaume kama binti'

Asalaam G
 
Sijui tafsiri yako juu ya taraka, Mama yake Caren ni mzazi mwinziwe, na hata mtoto amelelewa naye. Alikuwa anaishi na wazazi wake, official taraka ni ya juzi iliyotolewa kisheria mahakamani na ndiyo hivyo ikawa Ndi ndi ndi ndii
Usichoelewa ninini juu ya talaka? Hata kama umezaa na mwanamke watoto kumi anaweza kuwa mtalaka wako.kwahiyo huyo mzazi mwenzie Gardner pamoja na JD wote wanaweza kuwa watalaka wa Gardner.
 
Huyu Gadner aliharibiwa na yule mama wa Tanrose ambako Gadner alikuwa anafanyakazi dukani kwake akiuza CD.
Huyu mama ndiye aliyemfundisha umarioo na hadi akamvunjia ndoa yake na mkewe ambaye ndugu yake na Hashim Lundenga.
Ndio akawa ashazoea kulelewa, hata Kusaga alipompeleka Clouds nako akaanza kulelewa na Faudhia.
Yuko Clouds hadi leo ana nywele za Kisomali hivi, nakumbuka wakati ule alimpa hadi gari ya kutembelea, Mark II box.
Kwa kupenda kulelewa, Gadner baada ya Jide kupiga hela tu ndo akajipeleka kwake na kuleta mgogoro kwa Jide na Faudhia.
Gadner akawa hasomeki mara kwa Faudhia mara kwa Jide, ndio ikaja ngoma ya Wanaume kama Mabinti na ile remix ya Siwema.
Lakini tabu kubwa ya huyu jamaa ni umarioo, na ndio maana baada ya kuachwa na Jide akawa na hali mbaya sana.
Alikuwa hajazoea kujilipia kodi ya nyumba na huduma zingine na hata mkopo wake wa NBC. Yaani Kusaga alifanya kumsaidia tu arudi Clouds.
Kusaga kampa nyumba, kampa gari ya kutembelea ili kumpunguzia makali na aendelee kulipa mkopo wake.

Ova
Hivi Gardner huwa anafanya kazi halipwi mshahara.? Mnanishangaza mnaposema huwa anatunzwa wanawake. Lakini si mbaya kama anawakojoza miaka 15 wacha wampatie tu pesa.
 
Hata mwanaume anaweza kuwa na matatizo, kwani wewe una uhakika gani kama yule mtoto ni wa G
Mtoto wa Gardner yule wewe vipi.mama mtoto mwenyewe anakiri kakojozwa akamzaa binti mrembo. JD kakojozwa miaka kama 15 lakini habebi mimba.atafute mwanaume mwingine amkojoze.
 
Usichoelewa ninini juu ya talaka? Hata kama umezaa na mwanamke watoto kumi anaweza kuwa mtalaka wako.kwahiyo huyo mzazi mwenzie Gardner pamoja na JD wote wanaweza kuwa watalaka wa Gardner.
Taraka inatolewa kwa ndoa rasmi, iwe ya dini, au serikali huwezi kuzaa na mtu anayeishi na wazazi wake usimuoe ukaita taraka.
 
Back
Top Bottom