Kwa sakata hili la kuachana na Jide alionyesha kujutia kuachana na mke wake wa kwanza siku moja juzi kati alihojiwaHuyu Gadner aliharibiwa na yule mama wa Tanrose ambako Gadner alikuwa anafanyakazi dukani kwake akiuza CD.
Huyu mama ndiye aliyemfundisha umarioo na hadi akamvunjia ndoa yake na mkewe ambaye ndugu yake na Hashim Lundenga.
Ndio akawa ashazoea kulelewa, hata Kusaga alipompeleka Clouds nako akaanza kulelewa na Faudhia.
Yuko Clouds hadi leo ana nywele za Kisomali hivi, nakumbuka wakati ule alimpa hadi gari ya kutembelea, Mark II box.
Kwa kupenda kulelewa, Gadner baada ya Jide kupiga hela tu ndo akajipeleka kwake na kuleta mgogoro kwa Jide na Faudhia.
Gadner akawa hasomeki mara kwa Faudhia mara kwa Jide, ndio ikaja ngoma ya Wanaume kama Mabinti na ile remix ya Siwema.
Lakini tabu kubwa ya huyu jamaa ni umarioo, na ndio maana baada ya kuachwa na Jide akawa na hali mbaya sana.
Alikuwa hajazoea kujilipia kodi ya nyumba na huduma zingine na hata mkopo wake wa NBC. Yaani Kusaga alifanya kumsaidia tu arudi Clouds.
Kusaga kampa nyumba, kampa gari ya kutembelea ili kumpunguzia makali na aendelee kulipa mkopo wake.
Ova
"anakojoa hewa"... nimeipenda hiyo... team Gadner angalia msijeumbuka... si ajabu dada huyu si mgumba kama wengi tunavyoamini!!!!! muda utaongea. Ni rahisi kwa mwanaume kulea mtoto asiyewako kuliko ilivyo kwa mwanamke.... Gadner alikosea kila mtu anajua. Tuache yale..."kama uliniona nilikuwa nimevaa shati la rangi gani?" GADNER omba msamaha ka mh. Kigwangala alivyokushauri.Huyu dada kila album yake inapokaribia lazima kunakua na court orders, summons and "play a victim" situation.... Nilimsapoti all her previous albums na drama zake but I think this is it
Ukisikiliza lyrics zake hasa za ndi ndi ndi, it is clear kabisa she is directing attack kwa nani, na tena anaita watu vichaa, then kwenye media anasema jamaa anakojoa hewa, then bado anataka apologies.... I think ana kalaana fulani ka vita vita
daah ukishaona mtu anaquote mh waziri wa afya ambaye yuko busy kuhangaika swahiba badala ya shida za muhimu za watoa huduma za afya, then unajua kabisa kwamba akili fupi imegoma kurefuka"anakojoa hewa"... nimeipenda hiyo... team Gadner angalia msijeumbuka... si ajabu dada huyu si mgumba kama wengi tunavyoamini!!!!! muda utaongea. Ni rahisi kwa mwanaume kulea mtoto asiyewako kuliko ilivyo kwa mwanamke.... Gadner alikosea kila mtu anajua. Tuache yale..."kama uliniona nilikuwa nimevaa shati la rangi gani?" GADNER omba msamaha ka mh. Kigwangala alivyokushauri.
Hahahhaaaaa...nimecheka kinoma....Hivi kesi ya namna hii mlalamikaji anadai nini hasa?
1. kwamba alikojoleshwa lakini si kwa miaka kumi na tano?
2. Kwamba hakukojoleshwa na badala yake alikuwa anakojoa mwenyewe?
3. hakua anakojoa kabisaaa?
ππ kusema kweli mi kwenye mkojo sijaona tatizo, shida ingekuwa kama jamaa angedai kamtoa ile haja nyingine miaka kumi na tano, hapo kweli ingekuwa ishu! ππ
Nipo kikazi kivipi.umechanganyikiwa wewe siyo bure. Nimesema ukweli tu kwamba huyo JD keshamrushia sana vijembe Gardner na alinyamaza inakuwaje yeye apigwe scud moja tu atake kufungua kesi? Situmiwi na mtu yeyote ndugu Captain sijui wala na yeye hanijuwi.
Wasalimie huko.Nini shida mkuu? Hujui kuwa "Two wrongs don't make a right?". Pia hufahamu kuwa anayemalizia anaweza aonekane bwege zaidi kuliko yule aliyeanzisha? Simple as that. Nahisi tatizo lako la msingi liko kwenye uelewa. Sioni sababu kwanini huoni perspective ya watu wengine wenye maoni tofauti na ya kwako. Unaishia kutolea mapovu watu ambao kwanza huwajui wala kuwaona. Kila la kheri mkuu kwenye kuendeleza ligi. Am resting my case here!
Kwamba alikojozwa kwa miaka 15 lakini hakushika mimba.Hivi kesi ya namna hii mlalamikaji anadai nini hasa?
1. kwamba alikojoleshwa lakini si kwa miaka kumi na tano?
2. Kwamba hakukojoleshwa na badala yake alikuwa anakojoa mwenyewe?
3. hakua anakojoa kabisaaa?
ππ kusema kweli mi kwenye mkojo sijaona tatizo, shida ingekuwa kama jamaa angedai kamtoa ile haja nyingine miaka kumi na tano, hapo kweli ingekuwa ishu! ππ
Labda huwezi kujua.ila huyu sister ujuaji na ujeuri wake vinachangia yeye kutopata mimba.Eti watu wanasema huyu dada yetu komando alitoa kizazi hili awe msanii bora, kama wanavyosema kwa Diamond kwamba ni freemason,sasa sijui kweli au maneno ya mitaani???mwenye kujua atuambie,ni kweli komando naye ndo wale wale wakupewa masharti hili wawe masusper star??
Labda huwezi kujua.ila huyu sister ujuaji na ujeuri wake vinachangia yeye kutopata mimba.
we acha ubishi si mzazi mwenzie tu bali walikuwa wanandoa na wakaachana.
hivyo ni mtalaka wake pia..ukininukuu tena hakikisha huandiki neno 'taraka' ni talaka
hahhhaha karatas isiyo na mistarYaani hapo hamna kesi kabisa. Hakuna sehemu yoyote kwenye ile kauli Gadna alitaja jina la mtu. Alitumia neno " yule mtoto wa kike". Sasa Jay dee ni mtoto jamani? Gadna komaa kakangu usiombe msamaha wala nini. Tena kama vipi wafungulie kesi kwa kosa la kukuandikia barua kwenye karatasi isiyo na mistari.
Wanapendana bado hao