Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

Mambo mengine michosho na vichekesho tupu
Zaidi ya michosho! Huu ni upuuzi. Jide ulichukua mume wa wenyewe sasa unalilia nini? Malipo ni hapa hapa duniani!. Eti kuomba msamaha for what? Acheni ujinga!
 
Kuna vitu vingine kampuni za uwakili ziwe vinawashauri wateja wake kuachana navyo kulinda jina la kampuni maana ni vya kukomoana tu najua Vita ya JD Na mawingu itaendelea kupitia G
kumbe asa vita itaendeleaje hapo mzee mwenzangu
 
Mi mzee wangu si mtu wa kukaa na mimi na kuongea na mimi kwa sana ila anaongeaga kwa ufupi sana. Wakati namaliza chuo naanza kazi akaniambia mwanangu usiwahi kuoa nilishangaa la pili alilo niambia akaniambia mwanangu USITHUBUTU KUMUOA MWANAMKE ALIYE KUZIDI KIPATO mzee wangu akanyanyuka akaingia ndani na kusikiliza zilipendwa kesho yake akaenda morogoro matombo kulima ndizi zake.
Leo hii kupitia ugomvi wa jide na gadner ndio nimegundua kwa nini mzee aliongea vile, gadner alivyokuwa clouds alikuwa analipwa mshahara, alikuwa analipwa kupitia matangazo, alikuwa MC na alikuwa anaandaa matamasha yake yy mwenyewe kwa hiyo kwa kifupi alikuwa anaingiza ela tena ndefu tu, nawashangaa hawa wanao mwita gadner MARIO.
Kosa kubwa la gadner alilolifanya ni KUACHA KAZI CLOUDS na kwenda kuendeleza kazi za mke wake na yy kusahau kuijenga kesho yake, huu ulikuwa upendo mkubwa sana kujitoa kwa ajili ya mwengine na kujisahau ww mwenyewe na kweli gadner alikuwa bega kwa bega kummanage mke wake ktk shughuli zake.
Leo hii gadner ameachaana na mke wake hajadai hata senti tano yoyote mahakamani, ila kama ingekuwa kafanyiwa jide ungesikia taasisi za wanawake zikilalamika na vipindi wangemtengenezea ili wagawane mali iliyopatikana ktk kipindi cha miaka 15 gadner akamua kukaza na kuanza moja upya kama mwanaume.
Jide kama kawaida yake hakumwacha hivi hivi na nyimbo za kejeli, ingawa hakumtaja ktk nyimbo hizo ila maneno na video ukiungaisha na yule jamaa aliyeondoka na CD unapata picha halisi, ila jamaa bado kakaa kimya. Japokuwa wanaume wameubwa na kidaka tonge (koromeo) kwa ajili ya kuvumilia na ndio maana sisi wanaume tuna mengi sana mioyoni mwetu Kutokana na matatizo tunayoyafanyiwa wanawake ila sometime Kuna ukomo gadner nae binadam anaumia,kweli gadner aliteleza lkn nae hakumtaja jina.
Kwanza nashukuru gadner yupo huru jide aliubaka uanamme wake, alishindwa kuijenga kesho yake, gadner naona alivyokuwa na jide alikuwa kama zezeta ila sasa yupo huru. Sio huyo tu gadner mi hapa mtaani Kuna wazee wawili wanafikia miaka zaidi ya hamsini, ukiwaona hawa wazee kama mazezeta wapo wapo wanawategemea wako zao, mmoja mke wake ana saluni mwengine mke wake yupo bank kuu mi tangu nasoma O-Level mpaka namaliza chuo sijawahi kuona wakifanya cha maana wana kazi ya kuzurula tuu leo wakiachwa hawana pa kuanzia bora gadner anapo pakuanzia.
WANAUME TUTAFUTE VYETU KUEPUKA UZEZETA, DHARAU KUTOKA KWA MWANAMKE ALAFU UKIWA NA CHAKO UNAKUWA NA SAUTI NA HUU NDIO UANAUME GADNER SASA HIVI YUPO HURU KWANI AMERUDISHA UANAUMME WAKE KWA KUFIGHT KWA AJILI YA MAISHA YAKE NA FAMILIA YAKE.
 
Gadna kwa wasifu wake hakutakiwa atamke maneno ya kifedhuli vile hadharani. Ukitukana hadharani unashitakiwa na Jamuhuri.
 
tunahitaji maneno ya hekima kama haya
 
Watu mnaosema kua G hakumtaja jina J,
Kwani swali aliloulizwa lilikuaje?

Na wanaosema Ndi ndi ndi kaimbiwa G,
Je ni wapi J alimtaja jina?

Tungeanzia kwenye hayo mambo kwanza, huenda muafaka ukapatikana.
 
kwa mtazamo wangu naona huyu wakili anaishushia heshima fani ya sheria...kila mtu akisema atafsiri neno linalosemwa linakulenga basi mahakamani pangekuwa panajaa watu sana kuliko sokoni....hata huo wa ndi ndi ndi jamaa akisema autafsiri kuwa ulimlenga atakuwa sahihi kabisa,maana ukiangalia video ya hiyo nyimbo haina tofauti hata kidogo na kilichotokea kati yao....

so wakat mwingine kukaa kimya ni hekima kuliko kutaka kuonyesha ujinga wako zaidi either kwa kutumia pesa au umaarufu.
 
sijaelewa hapo mzee mwenzangu kukojoa hewani kukoje
 
SAMAHANI MZEE MWENZANGU KAMA SIJAKUELEWA VILE
 
Gadner anaye mtoto mkubwa tu na nadhan alimjaza mimba demu mwingine karibuni nilimuona na bint mjamzito viwanja,hiyo statement yako labda vice versa is true
Aliwahi kuoa kabisa na kumwacha mke wa kwanza
 
]Kukojozwa sio tusi,wangapi humu mnakojozwa mpaka mara tisa mbona humtaki kuombwa radhi sana sana mnazidi kutengeneza mazingira ya kuzidi kukojozwa,acheni unafiki[/QUOTE]
Nashukuru umekiona hichi kitu. Binafsi sioni tusi hapa maana hiki ni kitendo cha tamati wawiliwapendanao wanapokuwa faragha.
Hivi mwana Mama anaposema jamaa yake ni kibamia,na kama ni kweli jamaa huyo ni kibamia. Utasema huyu bibie kamtusi jamaa yake?!
 
Jide analeta mambo ya kitoto,gadner naye ivyo ivyo na vita hii kuna watu nyuma kwa mgongo wa iyo clip...wait and see
 
Word
 
Yaani mm ndo ninacho shangaa, kwani kamtaja jina?? Labda alikua anamuongelea mchepuko wake jee,mhhh ujinga mtupu ss akiombwa msamaha ndo itamsaidia nn .ujinga!
 
Word
 
Yaani hapo hamna kesi kabisa. Hakuna sehemu yoyote kwenye ile kauli Gadna alitaja jina la mtu. Alitumia neno " yule mtoto wa kike".

Je ikitokea taasisi inayotetea masuala ya jinsia ya kike na wanawake,mfano TAMWA,wakapeleka shauri mahakamani kuhusu kudhalilishwa kwa mwanamke.gadna hawezi kutwa na hatia?.nauliza tu, Mimi sio mjuvi wa sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…