Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi iuzwe ili tugawane kilobakia. Kwishne!
Weeeee usiombe, hujikupata hata shilingiNchi iuzwe ili tugawane kilobakia. Kwishne!
Kwani kua na account nje dhambi??? mi ni mwanafunzi na nina account nje kuna ubaya???Natumai atakubali au kukanusha ile changamoto aliyopewa ya kwamba ana account nje.
atasema nini?mkuu wa nchi kimya.....
Redinald Mengi anataka Tanzania iwe kama United States,kwamba fisadi Papa mmoja akiwataja fisadi Papa wenzake,yeye aachiwe huru,wale wengine wakamatwe.
Hiyo account yako si unaweka fedha ulizochuma kwa jasho lako.Hapa hatuzungumzii akaunti halali yenye fedha halali bali akaunti za akina Chenge huko Jersey zenye billions.....Kwani kua na account nje dhambi??? mi ni mwanafunzi na nina account nje kuna ubaya???
Nchi iuzwe ili tugawane kilobakia. Kwishne!