Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
Angesimama yeye mwenyewe kuliko tumia hawa wapambe .
BAELEZEE MUTOMBO!
hapana chezea wewe bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angesimama yeye mwenyewe kuliko tumia hawa wapambe .
Kwa nini Mengi alishindwa kuongea na waandishi wa habari?
Angesimama yeye mwenyewe kuliko kuwatumia hawa wapambe wake naona walichemka tu nilikuwa siwaelewi kabisa nikaamua kuzima TV.
Ndugu yetu Fidel80 sema tuu ukweli utasikika. Nadhani ukubali tuu kuwa majibu ya Akina Ngalo yapo makini, na hilo linapigia mtari kuwa RA bado ana hoja ya kujibu ili kumtoa katika nyaya za kuwa PAPA na kumleta kwa sijui vipapa au vitoto papa...lakini papa si papa tuu?
"Kuhusu uwekezaji wa NICO, Ngalo alidai kuwa si Mengi wala kamati ya uwekezaji ya NICO ilihusika kwa namna yoyote ili katika mchakato wa maamuzi ya kuwekeza kwenye kampuni ya Interchem kwa kuwa alipogundua hilo alijiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa kamati ya uwekezaji na ujumbe na alifanya hivyo kupitia barua aliyoiandikia NICO Agosti 3 mwaka 2007. Aliwataka wanahabari kwenda NICO kuthibitisha suala hilo."
Kwa kweli mimi nakubali kabisa kwamba sisi ni waDanganyika.
Ati kwa kuwa Mh. Mengi amelipa hela za Import Support December 2008 na yeye alitakuwa kulipa miaka ya 90... in short amekaa na hela za wananchi for a decade/muongo mmoja hivi... ati sio fisadi nyangumi....
Sasa mbona wale wa EPA waliorudisha hela zetu within deadline ya Mh. Rais wamepelekwa mahakamani?
Hizo hela tulikuwa na makubaliano mengi akae nazo muda wote huo...
Wakati nakubaliana kwamba haikuwa lazima Mengi kupelekwa mahakamani kwa hilo deni la import support, lakini ukweli unabaki sio msafi, hana moral authority ya kuzungumzia mafisadi... aache vita ya ufisadi na JF.
Inasikitisha
Hawa watu kama ingekuwa serikali ipo na inatimiza angalau 30% ya katiba ya nchi hawa walitakiwa wakamatwe watiwe lupango harafu uchunguzi ufanyike na mwisho mahakamani.
Mbona mimi nikimtuhumu kalima-nzira kaniibia kuku hapo hapo anafuatwa anapigwa mteke anapigwa pingu na kufikishwa mahakamani??
Mbona huwa hawasubiri wafanye uchunguzi ndio wamkamate kali-manzira ??
Jamani hawa si ndio huwa wanamtia kalima-nzira pingu na kumtia lockup na akiuliza kulikoni na akihoji ushaidi huwa wanamweleza yupo lockup kusaidia upelelezi ,sasa hawa kwanini wasitiwe kolokoloni kusaidia upelelezi?
Lakini swali linabaki kuwa yeye kama Mwenyekiti wa kamati ya uwekezaji, hakuwemo kwenye bodi? Yeye alijiuzulu kama Mwenyekiti, je, alibaki kuwa mjumbe wa kamati hiyo? Au nafasi nyingine ya uongozi katika NICO? Kwenda kuthibitisha kuwa alijiuzulu UENYEKITI hakutoshi.
Amandla.......
Kibaya zaidi siku akiamua kuanza Ughaibhuni for Good kwa unaa tu ataiweka list yake ya Pay Roll hadharani, kwa hiyo nyie mmpao sifa kama mungu wenu jiandani.
FM,
Kufuatana na barua ya resignation iliyosomwa na wakili wake, Mengi alijiuzulu UENYEKITI NA UJUMBE wa kamati ile........!
Ukienda NICO, sio eti ukathibitishe kujiuzulu uenyekiti tu, basi ukadadisi na maswali mengine pia uliyo nayo kuhusu Mengi vs NICO!
Mkuu jamaa wameshindwa kabisa wanatuyumbisha tu hawa wanasheria wa Mengi kama wazalendo si wampleke mahakamani RA kuwa mwizi ameliibia taifa na ushahidi huu sio kuitisha wanahabari eti RA anafanya biashara gani?
Kama wanajua jamaa anafanya biashara flani si wangesema jamaa anapiga dili na CASPIAN amekwepa kodi hivi na hivi huku kavuta hiki na ushahidi huu . Kuliko kuanza kuleta vioja tu wameongea sasa wanasikilizia jamaa atajibu nini.
FM,
Kufuatana na barua ya resignation iliyosomwa na wakili wake, Mengi alijiuzulu UENYEKITI NA UJUMBE wa kamati ile........!
Ukienda NICO, sio eti ukathibitishe kujiuzulu uenyekiti tu, basi ukadadisi na maswali mengine pia uliyo nayo kuhusu Mengi vs NICO!
- Saaafi sana mkuu, tupo pamoja hapa, dawa ni kwenda NICO badala ya speculations zisizokwisha.
FMES!
"Kuhusu uwekezaji wa NICO, Ngalo alidai kuwa si Mengi wala kamati ya uwekezaji ya NICO ilihusika kwa namna yoyote ili katika mchakato wa maamuzi ya kuwekeza kwenye kampuni ya Interchem kwa kuwa alipogundua hilo alijiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa kamati ya uwekezaji na ujumbe na alifanya hivyo kupitia barua aliyoiandikia NICO Agosti 3 mwaka 2007. Aliwataka wanahabari kwenda NICO kuthibitisha suala hilo."
Mwafrika. Angalia na ujifunze. Kusahishana badala ya vijembe visivyo na msingi.
I stand corrected, FMES. Mengi kama mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji asingeweza kumzuia Mwenyekiti wa bodi kupitisha mkataba ulioidhinishwa na bodi yake kwa hiyo ilikuwa hatua sahihi. Lakini swali linabaki kuwa yeye kama Mwenyekiti wa kamati ya uwekezaji, hakuwemo kwenye bodi? Yeye alijiuzulu kama Mwenyekiti, je, alibaki kuwa mjumbe wa kamati hiyo? Au nafasi nyingine ya uongozi katika NICO? Kwenda kuthibitisha kuwa alijiuzulu UENYEKITI hakutoshi.
Amandla.......
fm,
kufuatana na barua ya resignation iliyosomwa na wakili wake, mengi alijiuzulu uenyekiti na ujumbe wa kamati ile........!
Ukienda nico, sio eti ukathibitishe kujiuzulu uenyekiti tu, basi ukadadisi na maswali mengine pia uliyo nayo kuhusu mengi vs nico!
Tuhuma ambazo hazikujibiwa na Mengi ambazo zilitolewa na Rostam ni kuhusu kuwa na akaunti ya fedha za kigeni nje ya nchi, malipo kwa wafanyakazi wake, kuhusu kuwa na ugomvi na baadhi ya viongozi na kutaka matatizo hayo yawe ya kitaifa na tuhuma nyinginezo.