Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

TOKA MAKTABA : 13 Nov 2023

KESI SERIKALI ILIVYOPINGA HUKUMU YA AWALI, NA IKIWA ITASHINDWA NINI KITAFUATA KWA MALI ZA TANZANIA IKIWA HAWATALIPA DENI KWA WAKATI

The Market Bull
Habari kamili, Ofisa Mkuu wa Kampuni ya Indiana Resources ana furaha kuwatangazia wenye hisa matarajio ya matokeo ya pingamizi waliloweka nchi ya Tanzania.

Jukumu la kulipa halikwepeki ikiwa jambo hili litakaziwa na hukumu ya rufaa, kwa kuwa Tanzania ni mwanachama wa taasisi hii yenye nchi zaidi ya 100 na maamuzi ya shauri hili yanaweza kukaziwa katika nchi yoyote mojawapo ya hizi 100, hivyo wenye hisa wasiwe na wasiwasi. Hukumu huambatana na uwezo wa kukamata Mali za sovereign state ya Tanzania ktk nchi yoyote iliyosaini ICSID na itakuwa mara ya kwanza Indiana Resources kuchukua hatua ya kukamata Mali za nchi huru ikiwa rufaa ya Tanzania itakataliwa.

Indiana Resources CEO Indiana Resources (ASX:IDA) Executive Chair Bronwyn Barnes discusses the ongoing dispute with Tanzania💲


View: https://m.youtube.com/watch?v=Pi7criT_QJ8
Source: The Market Bull

Indiana Resources (ASX:IDA) has revealed that the ICSID ad hoc Committee has reached a decision regarding the Stay of Enforcement of the Tanzanian Award, obliging the Tanzanian government to pay the rightful amount to the Claimants after a hearing in October.

History of the Dispute​

In July, Indiana initiated arbitration proceedings against Tanzania with the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID). Following the tribunal’s decision in favour of Indiana, the Tanzanian government is now required to compensate the involved Claimants with an amount exceeding $109.5 million USD, in addition to accrued interest and costs.

The group of Claimants consists of Ntaka Nickel Holdings Ltd, Nachingwea UK Ltd, and Nachingwea Nickel Ltd, where Indiana holds a 62.4% majority stake, putting the Company in line to receive significant financial compensation.

This legal dispute revolves around allegations that the Tanzanian government engaged in an unlawful expropriation of the Ntaka Hill Nickel Project on January 10, 2018, which constitutes a breach of the UK-Tanzania Bilateral Investment Treaty (BIT).

You can read more about the background and timeline of the dispute here.

The initial Award amounted to $76,706,461 USD in damages and additional losses, with an interest rate set at 2% above the USD Prime rate, and legal costs for the Claimants totaling $4,113,581.07 USD, resulting in a total of $113,603,591.83 USD as of August 17.

Following the Tanzanian Government’s appeal on the Award, the costs have risen to $117,180,000 USD, which Tanzania is required to pay to the Claimants within 45 days.

Findings of the ICSID ad hoc Committee​

The ICSID ad hoc Committee has issued a decision to extend the stay of enforcement of the Award provisionally, with specific conditions attached.

Within 45 days, Tanzania must furnish a written undertaking from authorised government officials committing to the following:

  1. Adherence to the annulment decision once delivered by the committee.
  2. Acknowledgment that the Award is final and binding, with compliance to the agreed terms, including the payment of the full amount plus interest to the Claimants within 45 days of the final decision on annulment.
  3. Assurance that the payment of the Award will not be subject to any enforcement proceedings in domestic
If Tanzania fails to provide the written undertaking as outlined above within 45 days, the stay on enforcement will be lifted

You can read more about the committees findings and annulment here.

Company Comments​

Bronwyn Barnes, the Executive Chairman of Indiana Resources, expressed the Company’s anticipation for Tanzania to either adhere to the conditions set by the ICSID ad hoc committee within the 45-day period or not.

“In either circumstance, the Claimants have comfort that ICSID is requiring Tanzania to comply with the Award through providing sufficient comfort through a legally binding commitment that if the Award is not annulled, the Claimants will promptly receive the full amount of the Award to which they are entitled,” she said.

“Indiana shareholders should take comfort in the disciplined legal process that is being followed by the ad hoc Committee, and that Tanzania is clearly engaging in this process to the best of their ability. Put simply, we consider this a victory.”

“Indiana, as the majority shareholder of the Claimants, is comfortable providing a guarantee that if enforcement commences and assets are seized to the value of the Award, and Tanzania’s request for annulment is granted, then the Claimants will return the funds corresponding to the annulled portion of the Award to Tanzania.”

“Indiana is also encouraged by Tanzania’s submission that it has assets both inside and outside Tanzania sufficient to satisfy the Award, and that Tanzania is ready, willing and able to honour the Award if it is not annulled, and that it has sufficient means to pay the amounts due to the Claimants under the Award. Indiana has led the ICSID proceedings on behalf of all of the Claimants’ shareholders and is comfortable to provide this guarantee.
Source : Indiana Resources Progress Toward Receiving Tanzanian Award


View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=PmKNbRsoGlQGCwH3Ouir4w&s=19
 
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.

Daa inauma Sana aisee
---

Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.

Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).

Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.

Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.

Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.

Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.

Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.

Mwananchi
Okay
 
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.

Daa inauma Sana aisee
---

Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.

Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).

Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.

Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.

Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.

Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.

Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.

Mwananchi
Ndio mana halitengwa matrilioni kwenye bajeti kwaajili ya kulipa madeni, na ndio eneo ambalo kwenye bajeti linatekelezwa kwa ufasaha kuliko maendeleo
 
Kwanza kabisa nimshukuru mheshimiwa Rais wetu mtukufu.

Baada ya kushukuru nitarud badae kutoa comment yangu
 
Ndio mana halitengwa matrilioni kwenye bajeti kwaajili ya kulipa madeni, na ndio eneo ambalo kwenye bajeti linatekelezwa kwa ufasaha kuliko maendeleo
Ulitaka wakamate ndege? Kwa Serikali yeyote Duniani kulipa madeni na salary ndio first charge
 
Back
Top Bottom