Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa


View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=PmKNbRsoGlQGCwH3Ouir4w&s=19
 
Okay
 
Ndio mana halitengwa matrilioni kwenye bajeti kwaajili ya kulipa madeni, na ndio eneo ambalo kwenye bajeti linatekelezwa kwa ufasaha kuliko maendeleo
 
Kwanza kabisa nimshukuru mheshimiwa Rais wetu mtukufu.

Baada ya kushukuru nitarud badae kutoa comment yangu
 
Ndio mana halitengwa matrilioni kwenye bajeti kwaajili ya kulipa madeni, na ndio eneo ambalo kwenye bajeti linatekelezwa kwa ufasaha kuliko maendeleo
Ulitaka wakamate ndege? Kwa Serikali yeyote Duniani kulipa madeni na salary ndio first charge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…