Aiseee hadi na Utapigwa tu hakuna namna na yeye yupo listini??
Ndio maana yake. Si kila binadam ana hekmaEt wenye Hekima, kwahiyo Samia, Kikwete, Jokate, Membe , Wana hekima?
Hekima ni nini?
Hey! Mbona umemsahau Raila na tundulissu na Mu7 na HichilekaMwanancha namba moja.
1. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mh. J.M Kikwete....
Mwanancha namba moja.
1. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mh. J.M Kikwete.
3. Mh. Edward N. Lowasa
4. Mh . Simbachawene.
5. Mh. Mizengo Kayanza Pinda.
6. H. Benard Membe.
7. Mh. Hussein Mwinyi.
8. Mh. Jokate Mwegero.
9. Mh. Masauni.
10. Mh. Dr. Philip Mpango.
Kuna wakati mwananch mwingine alitoa hii Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini Tanzania
hivi CCM kweli kuna kiongoz mwenye hekima? Subiri posho yako mkuuMwanancha namba moja.
1. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mh. J.M Kikwete.
3. Mh. Edward N. Lowasa
4. Mh . Simbachawene.
5. Mh. Mizengo Kayanza Pinda.
6. H. Benard Membe.
7. Mh. Hussein Mwinyi.
8. Mh. Jokate Mwegero.
9. Mh. Masauni.
10. Mh. Dr. Philip Mpango.
Kuna wakati mwananch mwingine alitoa hii Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini Tanzania