Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Yaani wanasiasa tu ndiyo wenye akili zaidi, makundi mengine including wafanyabiashara, wajasiliamali, wanataaluma, watafiti nk wote wanazidiwa akili na wanasiasa? Sikubaliani!
Ndio maana nikatoa option ya kuongezea na tusisahau kuwa huu ni mtazamo binafsi.
 
Kwa ishu ya kuvamia clouds
Makonda anatumia nguvu sio akili
Kwa hyo kwenye hyo list hakupaswa kuwepo
 
Hivi Siku Magufuli akipata maono kama yetu itakuaje?

Fahamu zikimrudia sijui atatamkaje, siku ambayo ataanza kuona kwamba Kumbe kweli huyu ni Bashite.

Atasema mnisamehe Ndg yenu sijui akili zangu zilikua wapi. Nipeni kura zenu miaka hii michache iliyosalia niwafanyie kweli Sasa, utendaji Wangu si mnaujua?
 
Huyo aliyepata ma fa fa fa fa faaaa.....au umetumia vigezo gan? Embu itazame hyo list vizur zn peruzi na kudadis elimu za waliowekwa hapo
Sijatumia kigezo cha elimu zaidi! Na badala yake nimetumia uwezo wa kuthubutu na kutenda.
 
Akili za kuiba cheti au akili za kuvamia redio ukiwa na silaha? Acha kuaibisha watu.
 

Mwenye akili nyingi Tanzania hii ni mtu mmoja tu.

Naye ni Daudi Albert Bashite.

Usiniulize kwanini!
 
Labda ukimtoa namba1 ,

Hebu weka uchanganuzi kwa nini unasema hivyo maana...
Haipendezi sana kufanya uchambuzi hapa! Ila kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo tutajitahidi kuwekana sawa kwa nia njema lakini.
 
Kwa muktadha huo, badili heading isome waliothubutu na sio wenye akili nyingi.
Sawa mkuu! Lakini akili haipimwi kwa kusoma na kukariri vitabu tu! Bali maarifa na ujuzi anaotumia mtu kufanya kitu/jambo fulani! Pia hayo ni matumizi ya akili.
 
Back
Top Bottom